#COVID19 Chanjo za corona zimehakikiwaje?

#COVID19 Chanjo za corona zimehakikiwaje?

Siku moja iliyopita, wazungu wametubwagia furushi la chanjo za misaada. Zinaitwa Johnson Johnson.

Furushi hilo lina chanjo milioni moja ambazo zinapaswa kudungwa chap chap. Na hivi kesho tu, Rais Samia anaenda kudungwa chanjo ya uhamasishaji.

Baada ya hofu kuwa kubwa kuhusu usalama wa hizo chanjo, wameibuka wanasiasa wakisema kwamba chanjo ni salama na zimehakikiwa na TFDA na wakemia wa serikali.

Mimi sio mkemia na sijui chochote kuhusu kemia. Kwanza hata sekondari sikusoma. Nilibangaiza bangaiza tu nikaishia shule ya msingi darasa la saba.

Ningependa kuwauliza hawa wanaoitwa "wataalamu wa UVIKO", Je, hilo furushi la chanjo limehakikiwa kwa methodolojia gani?

Kwa kuchukua sampuli chache na kuzihakiki? Au zote? Na kwa namna gani?

Kwa elimu yangu ya hii ya darasa la saba, ninaelewa kwamba, usalama wa chanjo unapimwa kwa MAJARIBIO YA UBORA (clinical trials) ambayo yanalenga kubaini athari za muda mrefu ama muda mfupi, na majaribio hayo yanaweza kuchukua angalau miaka mpaka mitano au zaidi.

Huyo mkemia anayetuambia kwamba amepima chanjo na kuona ziko salama ametumia njia gani haswa ya kisayansi?

Ghafla Bin Vuu tu ndani ya siku moja kaingia maabara na koti lake kakorokochoa test tubes, anatuambia chanjo ni salama? No trials?

Just mixing stuffs in test tubes, that's all?

Hiyo ndiyo sayansi ya Tanzania?

Mmezipimaje haswa hizo chanjo enyi wataalamu wa UVIKO?

Watanzania wana kiu ya kujua!
Waafrika!! Unaoji kitu hambacho huna uwezo nacho
 
Siku moja iliyopita, wazungu wametubwagia furushi la chanjo za misaada. Zinaitwa Johnson Johnson.

Furushi hilo lina chanjo milioni moja ambazo zinapaswa kudungwa chap chap. Na hivi kesho tu, Rais Samia anaenda kudungwa chanjo ya uhamasishaji.

Baada ya hofu kuwa kubwa kuhusu usalama wa hizo chanjo, wameibuka wanasiasa wakisema kwamba chanjo ni salama na zimehakikiwa na TFDA na wakemia wa serikali.

Mimi sio mkemia na sijui chochote kuhusu kemia. Kwanza hata sekondari sikusoma. Nilibangaiza bangaiza tu nikaishia shule ya msingi darasa la saba.

Ningependa kuwauliza hawa wanaoitwa "wataalamu wa UVIKO", Je, hilo furushi la chanjo limehakikiwa kwa methodolojia gani?

Kwa kuchukua sampuli chache na kuzihakiki? Au zote? Na kwa namna gani?

Kwa elimu yangu ya hii ya darasa la saba, ninaelewa kwamba, usalama wa chanjo unapimwa kwa MAJARIBIO YA UBORA (clinical trials) ambayo yanalenga kubaini athari za muda mrefu ama muda mfupi, na majaribio hayo yanaweza kuchukua angalau miaka mpaka mitano au zaidi.

Huyo mkemia anayetuambia kwamba amepima chanjo na kuona ziko salama ametumia njia gani haswa ya kisayansi?

Ghafla Bin Vuu tu ndani ya siku moja kaingia maabara na koti lake kakorokochoa test tubes, anatuambia chanjo ni salama? No trials?

Just mixing stuffs in test tubes, that's all?

Hiyo ndiyo sayansi ya Tanzania?

Mmezipimaje haswa hizo chanjo enyi wataalamu wa UVIKO?

Watanzania wana kiu ya kujua!

Chanjo za corona zinahakikiwa Kwa kuwachanja viongozi mfano Rais,waziri Mkuu na waziri wa afya bila spika na Makamu wa Rais.​

 
Ni wachache mno watakao kataa zaidi ya ml 500 Usd ...ikifichwa kwenye mfumo wa mkopo!

Mda ni mchache... ..na hakuna uhakika wa future.. ..
 
Wakemia walishapitisha zilikotoka.

Dawa ngapi zinatumika huulizi, au chanjo ngapi watu wamechanjwa ukiwemo!
Acha upuuzi. Dawa na chanjo zinazotumika zilipitia taratibu za majaribio yote kabla ya kuidhinishwa. Kwa chanjo ya Corona imekuwa ni kinyume, mambo yote yamekwenda fasta. Na kwa bahati mbaya wataalamu tulio nao tofauti yao na wanasiasa haipo. Hawaaminiki.
 
Acha upuuzi. Dawa na chanjo zinazotumika zilipitia taratibu za majaribio yote kabla ya kuidhinishwa. Kwa chanjo ya Corona imekuwa ni kinyume, mambo yote yamekwenda fasta. Na kwa bahati mbaya wataalamu tulio nao tofauti yao na wanasiasa haipo. Hawaaminiki.
Hatuna chanjo yetu..zote za wazungu..upuuzi uko kwako unaehoji..
 
Muhimu ni ile form tu ukishajaza kukubali kuchanjwa basi hayo mengine ya kuwa ni salama au si salama hayana nafasi tena, na hata sielewi hao wanaosema wamehakiki na ni salama sijui ni usalama upi huo wanaouzungumzia.

nashukuru vile ntakuw wa mwisho
 
Siku moja iliyopita, wazungu wametubwagia furushi la chanjo za misaada. Zinaitwa Johnson Johnson.

Furushi hilo lina chanjo milioni moja ambazo zinapaswa kudungwa chap chap. Na hivi kesho tu, Rais Samia anaenda kudungwa chanjo ya uhamasishaji.

Baada ya hofu kuwa kubwa kuhusu usalama wa hizo chanjo, wameibuka wanasiasa wakisema kwamba chanjo ni salama na zimehakikiwa na TFDA na wakemia wa serikali.

Mimi sio mkemia na sijui chochote kuhusu kemia. Kwanza hata sekondari sikusoma. Nilibangaiza bangaiza tu nikaishia shule ya msingi darasa la saba.

Ningependa kuwauliza hawa wanaoitwa "wataalamu wa UVIKO", Je, hilo furushi la chanjo limehakikiwa kwa methodolojia gani?

Kwa kuchukua sampuli chache na kuzihakiki? Au zote? Na kwa namna gani?

Kwa elimu yangu ya hii ya darasa la saba, ninaelewa kwamba, usalama wa chanjo unapimwa kwa MAJARIBIO YA UBORA (clinical trials) ambayo yanalenga kubaini athari za muda mrefu ama muda mfupi, na majaribio hayo yanaweza kuchukua angalau miaka mpaka mitano au zaidi.

Huyo mkemia anayetuambia kwamba amepima chanjo na kuona ziko salama ametumia njia gani haswa ya kisayansi?

Ghafla Bin Vuu tu ndani ya siku moja kaingia maabara na koti lake kakorokochoa test tubes, anatuambia chanjo ni salama? No trials?

Just mixing stuffs in test tubes, that's all?

Hiyo ndiyo sayansi ya Tanzania?

Mmezipimaje haswa hizo chanjo enyi wataalamu wa UVIKO?

Watanzania wana kiu ya kujua!
Hao ni madalali tu, wanabwabwaja wala hawajui nini kinadungwa kwa wadanganyika!
 
Muhimu ni ile form tu ukishajaza kukubali kuchanjwa basi hayo mengine ya kuwa ni salama au si salama hayana nafasi tena, na hata sielewi hao wanaosema wamehakiki na ni salama sijui ni usalama upi huo wanaouzungumzia.
Serikali imejitoa kabisa haitaki kuhusika na matatizo yoyote yatakayokupata [emoji23][emoji23][emoji23]

Mwenye macho haambiwi TAZAMA!

Huu ni mtego wa hatari sana kwa wale nyumbu wanaopenda kufakamia fakamia vitu hovyo!
 
Back
Top Bottom