#COVID19 Chanjo za corona zimehakikiwaje?

#COVID19 Chanjo za corona zimehakikiwaje?

Chanjo za corona zinahakikiwa Kwa kuwachanja viongozi mfano Rais,waziri Mkuu na waziri wa afya bila spika na Makamu wa Rais.​

Spika ameshapigwa chapa ya mnyama🐒
20210802_201441.jpg
 
Siku moja iliyopita, wazungu wametubwagia furushi la chanjo za misaada. Zinaitwa Johnson Johnson.

Furushi hilo lina chanjo milioni moja ambazo zinapaswa kudungwa chap chap. Na hivi kesho tu, Rais Samia anaenda kudungwa chanjo ya uhamasishaji.

Baada ya hofu kuwa kubwa kuhusu usalama wa hizo chanjo, wameibuka wanasiasa wakisema kwamba chanjo ni salama na zimehakikiwa na TFDA na wakemia wa serikali.

Mimi sio mkemia na sijui chochote kuhusu kemia. Kwanza hata sekondari sikusoma. Nilibangaiza bangaiza tu nikaishia shule ya msingi darasa la saba.

Ningependa kuwauliza hawa wanaoitwa "wataalamu wa UVIKO", Je, hilo furushi la chanjo limehakikiwa kwa methodolojia gani?

Kwa kuchukua sampuli chache na kuzihakiki? Au zote? Na kwa namna gani?

Kwa elimu yangu ya hii ya darasa la saba, ninaelewa kwamba, usalama wa chanjo unapimwa kwa MAJARIBIO YA UBORA (clinical trials) ambayo yanalenga kubaini athari za muda mrefu ama muda mfupi, na majaribio hayo yanaweza kuchukua angalau miaka mpaka mitano au zaidi.

Huyo mkemia anayetuambia kwamba amepima chanjo na kuona ziko salama ametumia njia gani haswa ya kisayansi?

Ghafla Bin Vuu tu ndani ya siku moja kaingia maabara na koti lake kakorokochoa test tubes, anatuambia chanjo ni salama? No trials?

Just mixing stuffs in test tubes, that's all?

Hiyo ndiyo sayansi ya Tanzania?

Mmezipimaje haswa hizo chanjo enyi wataalamu wa UVIKO?

Watanzania wana kiu ya kujua!
Sasa badala ya kujibiwa kwa hoja, wataanza kukukejeli, hapa ndipo wanapo niacha hoi hawa madalali wa Chanjo
 
Sasa mkuu unataka tukupitishe step by step au?

Na kama hukusoma nan alikuambia chanjo lazima ifanyiwa majaribio miaka 5+

Unajua technology iliyotumika ? Any way kama unataka kujua imehakikiwaje ni somo pana mana inabidi iwe step by step na hivyo either ugoogle tu au unilipe nije physically kukufundisha na kukupa michoro na baadhi ya practical zinazohusika

NB: Ni course kabisa hii
Kwanini wewe usigoogle halafu ukatuletea mrejesho jinsi wanavyohakiki chanjo ndani ya siku1?
 
Siku moja iliyopita, wazungu wametubwagia furushi la chanjo za misaada. Zinaitwa Johnson Johnson.

Furushi hilo lina chanjo milioni moja ambazo zinapaswa kudungwa chap chap. Na hivi kesho tu, Rais Samia anaenda kudungwa chanjo ya uhamasishaji.

Baada ya hofu kuwa kubwa kuhusu usalama wa hizo chanjo, wameibuka wanasiasa wakisema kwamba chanjo ni salama na zimehakikiwa na TFDA na wakemia wa serikali.

Mimi sio mkemia na sijui chochote kuhusu kemia. Kwanza hata sekondari sikusoma. Nilibangaiza bangaiza tu nikaishia shule ya msingi darasa la saba.

Ningependa kuwauliza hawa wanaoitwa "wataalamu wa UVIKO", Je, hilo furushi la chanjo limehakikiwa kwa methodolojia gani?

Kwa kuchukua sampuli chache na kuzihakiki? Au zote? Na kwa namna gani?

Kwa elimu yangu ya hii ya darasa la saba, ninaelewa kwamba, usalama wa chanjo unapimwa kwa MAJARIBIO YA UBORA (clinical trials) ambayo yanalenga kubaini athari za muda mrefu ama muda mfupi, na majaribio hayo yanaweza kuchukua angalau miaka mpaka mitano au zaidi.

Huyo mkemia anayetuambia kwamba amepima chanjo na kuona ziko salama ametumia njia gani haswa ya kisayansi?

Ghafla Bin Vuu tu ndani ya siku moja kaingia maabara na koti lake kakorokochoa test tubes, anatuambia chanjo ni salama? No trials?

Just mixing stuffs in test tubes, that's all?

Hiyo ndiyo sayansi ya Tanzania?

Mmezipimaje haswa hizo chanjo enyi wataalamu wa UVIKO?

Watanzania wana kiu ya kujua!

Hos 4:6 SUV​

Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa; kwa kuwa wewe umeyakataa maarifa, mimi nami nitakukataa wewe, usiwe kuhani kwangu mimi; kwa kuwa umeisahau sheria ya Mungu wako, mimi nami nitawasahau watoto wako.
 
Siku moja iliyopita, wazungu wametubwagia furushi la chanjo za misaada. Zinaitwa Johnson Johnson.

Furushi hilo lina chanjo milioni moja ambazo zinapaswa kudungwa chap chap. Na hivi kesho tu, Rais Samia anaenda kudungwa chanjo ya uhamasishaji.

Baada ya hofu kuwa kubwa kuhusu usalama wa hizo chanjo, wameibuka wanasiasa wakisema kwamba chanjo ni salama na zimehakikiwa na TFDA na wakemia wa serikali.

Mimi sio mkemia na sijui chochote kuhusu kemia. Kwanza hata sekondari sikusoma. Nilibangaiza bangaiza tu nikaishia shule ya msingi darasa la saba.

Ningependa kuwauliza hawa wanaoitwa "wataalamu wa UVIKO", Je, hilo furushi la chanjo limehakikiwa kwa methodolojia gani?

Kwa kuchukua sampuli chache na kuzihakiki? Au zote? Na kwa namna gani?

Kwa elimu yangu ya hii ya darasa la saba, ninaelewa kwamba, usalama wa chanjo unapimwa kwa MAJARIBIO YA UBORA (clinical trials) ambayo yanalenga kubaini athari za muda mrefu ama muda mfupi, na majaribio hayo yanaweza kuchukua angalau miaka mpaka mitano au zaidi.

Huyo mkemia anayetuambia kwamba amepima chanjo na kuona ziko salama ametumia njia gani haswa ya kisayansi?

Ghafla Bin Vuu tu ndani ya siku moja kaingia maabara na koti lake kakorokochoa test tubes, anatuambia chanjo ni salama? No trials?

Just mixing stuffs in test tubes, that's all?

Hiyo ndiyo sayansi ya Tanzania?

Mmezipimaje haswa hizo chanjo enyi wataalamu wa UVIKO?

Watanzania wana kiu ya kujua!

Hivi chanjo zingine kama za surua, malaria au polio watu huwa wanajaza form maalum kabla ya kuchanjwa? Au ni hii chanjo pekee ndiyo unatakiwa kujaza form, na ni kwa sababu gani? Na je, wote waliochanjwa siku ya uzinduzi walichanjwa hii hii Johnson and Johnson au wengine walichanjwa za aina nyingine? Maana hizi chanjo zipo za aina nyingi sana na ubora wake upo tofauti!
 
Hivi chanjo zingine kama za surua, malaria au polio watu huwa wanajaza form maalum kabla ya kuchanjwa? Au ni hii chanjo pekee ndiyo unatakiwa kujaza form, na ni kwa sababu gani? Na je, wote waliochanjwa siku ya uzinduzi walichanjwa hii hii Johnson and Johnson au wengine walichanjwa za aina nyingine? Maana hizi chanjo zipo za aina nyingi sana na ubora wake upo tofauti!
Hii consent form nimeiona kwenye haya machanjo ya corona tu. Which means, there is a problem.
 

Hos 4:6 SUV​

Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa; kwa kuwa wewe umeyakataa maarifa, mimi nami nitakukataa wewe, usiwe kuhani kwangu mimi; kwa kuwa umeisahau sheria ya Mungu wako, mimi nami nitawasahau watoto wako.

"Money is numbers and numbers never end. If it takes money to be happy, your search for happiness will never end."
~ Bob Marley.
 
Back
Top Bottom