Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Kipi, hebu tuwekee hapa tafadhaliKwenye kijarida cha msigwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipi, hebu tuwekee hapa tafadhaliKwenye kijarida cha msigwa.
Hilo Swali nimemuachia Lengai Ole Sabaya alijibu.Mtu wa kimya kimya au dhaifu?
Magufuli alimtuma kabudi sense Madagascar, akafika akanywa mataputapu Yale, mengine akampelekea magufuli kule rubondo mafichoniVipi, mbona zimeingizwa kinyemela sana?
Wamesubiri wakati ambapo sakata la sabaya limekolea na wao wakachomekeamo na chanjo humo humo!
Kama chanjo ni kitu chema, mbona wanakificha ndani ya habari za akina sabaya? ili watu wasitilie maanani ama?
Mimi nilifikiri ujio wa chanjo ulipaswa kuwekwa wazi ili kila mtu atambue kwamba Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania SAMIA SULUHU HASSAN ameridhia kuchanja watu wake!
Hii ingewapa watu ari ya kudungwa hizo chanjo kutoka ulaya ili tudhibiti gonjwa hatari la corona.
Kwanini wameamua kuziingiza chanjo kupitia vichochoroni tena wakati ambapo umma wa watanzania umejikita na drama za sabaya?
Hakuna japo kavideo cha Rais kutoa tamko na kuhimiza watanzania wadungwe chanjo?View attachment 1808167
Nimegundua kuwa unaumwa ugonjwa wa akili!Aisee we jamaa nina swali moja kwako:
Kwanini unapenda kudungwa chanjo za makalio?
Majitu majinga yaliyokuwa yanashangilia ujinga uliofanya na awamu ya mwenda zakeMataga ndo kitu gani?
Lakini Kuna Sheria ya kudhibiti magonjwa ya mlipuko ( pamdmic) inalazimisha watu wote kupata chanjo, labda tunengie Sheria kwanzaHata Matibabu ni hiyari
Kulazimisha watu kuchanja Chanjo ya Corona si sahihi kama ilivyokuwa kulazimisha watu wasijichanje pia sio sahihi
Weka ukiona sahihi kuchanja , basi chanjwa, ukiona sio sahihi acha
Kwa ufupi tusilazimishane wala kupangiana
Mie sichanji lakin pia naunga mkono kuletwa chanjo ili wenye kutaka kuchanja na wachanjwe
Chanjo si lazima!! Ni hiari ya mtu! Labda itakuwa lazima kwa anayelazimika kusafiri nje ya nchi. Lakini sisi ambao hatuna mpango wa kwenda kwa nchi za wenzetu waliohalalisha hata ngon* za jinsia moja, hizo chanjo ni sawa na tak*tak*.Chanzo ni lazima mkuu hakuna namna.
tuwalinde wengone wasiambukizwe
Umegunduaje?Nimegundua kuwa unaumwa ugonjwa wa akili!
Sabaya ndo nani?Hilo Swali nimemuachia Lengai Ole Sabaya alijibu.
Ndio LengaiSabaya ndo nani?