Tetesi: Chanjo za Corona zimetua nchini rasmi

Tetesi: Chanjo za Corona zimetua nchini rasmi

Afya ni mali yangu.....

Mimi na wenzangu kadhaa niliowashawishi kwa HOJA tunajiandaa Serikali ikianza KUTOA HIZO CHANJO tuwe wa mwanzomwanzo KUCHANJWA na PICHA TUPIGWE tuzirushe humu ndani....

#KaziIendelee
Ukadungwe wewe na mmeo.

Usiwashawishi watu wasio na hatia kwenda kudungwa sumu.

Wewe na mmeo hata mkiganda damu haina shida sana.

The two of you don't really matter — Losing two fools is not too bad.

What matters is the future generation that we have sworn to protect.
 
Vipi, mbona zimeingizwa kinyemela sana?

Wamesubiri wakati ambapo sakata la sabaya limekolea na wao wakachomekeamo na chanjo humo humo!

Kama chanjo ni kitu chema, mbona wanakificha ndani ya habari za akina sabaya? ili watu wasitilie maanani ama?

Mimi nilifikiri ujio wa chanjo ulipaswa kuwekwa wazi ili kila mtu atambue kwamba Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania SAMIA SULUHU HASSAN ameridhia kuchanja watu wake!

Hii ingewapa watu ari ya kudungwa hizo chanjo kutoka ulaya ili tudhibiti gonjwa hatari la corona.

Kwanini wameamua kuziingiza chanjo kupitia vichochoroni tena wakati ambapo umma wa watanzania umejikita na drama za sabaya?

Hakuna japo kavideo cha Rais kutoa tamko na kuhimiza watanzania wadungwe chanjo?View attachment 1808167
Mungu wabariki Wazungu
 
Back
Top Bottom