Kivumishi Kielezi
JF-Expert Member
- Nov 1, 2019
- 1,028
- 2,451
- Thread starter
- #101
Juice ni kitu gani?Kwani zile Juice za Madagascar hazikuingia kinyemela
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Juice ni kitu gani?Kwani zile Juice za Madagascar hazikuingia kinyemela
Enzi za kuabudu mabeberu na kufanya ujanja ujanja.Saa hizi tumeingia kwenye enzi za kipumbavu kabisa.
Kabudi ndo nani?Alitaka Kabudi akazifuate.
Chanjo ni kitu gani?Juice ni kitu gani?
Ukadungwe wewe na mmeo.Afya ni mali yangu.....
Mimi na wenzangu kadhaa niliowashawishi kwa HOJA tunajiandaa Serikali ikianza KUTOA HIZO CHANJO tuwe wa mwanzomwanzo KUCHANJWA na PICHA TUPIGWE tuzirushe humu ndani....
#KaziIendelee
Mungu wabariki WazunguVipi, mbona zimeingizwa kinyemela sana?
Wamesubiri wakati ambapo sakata la sabaya limekolea na wao wakachomekeamo na chanjo humo humo!
Kama chanjo ni kitu chema, mbona wanakificha ndani ya habari za akina sabaya? ili watu wasitilie maanani ama?
Mimi nilifikiri ujio wa chanjo ulipaswa kuwekwa wazi ili kila mtu atambue kwamba Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania SAMIA SULUHU HASSAN ameridhia kuchanja watu wake!
Hii ingewapa watu ari ya kudungwa hizo chanjo kutoka ulaya ili tudhibiti gonjwa hatari la corona.
Kwanini wameamua kuziingiza chanjo kupitia vichochoroni tena wakati ambapo umma wa watanzania umejikita na drama za sabaya?
Hakuna japo kavideo cha Rais kutoa tamko na kuhimiza watanzania wadungwe chanjo?View attachment 1808167
Kitu gani ndo nini?Chanjo ni kitu gani?
Ni professor mmoja aliokotwa majalalani na mwendazake yohana.Kabudi ndo nani?
Mungu mbariki ErythrocyteMungu wabariki Wazungu
Ananihusu vipi mimi?Ni professor mmoja aliokotwa majalalani
😆😆😆Mungu mbariki Erythrocyte
Labda ungependa akalete Ile mizizi ya kutoka Madagascar mkuu.Ananihusu vipi mimi?
Mizizi gani?Labda ungependa akalete Ile mizizi ya kutoka Madagascar mkuu.
Ni kile kilichotelekezwa chato kwenye mabatiKitu gani ndo nini?
Eti jamani,Ni wapi hapo wamesema chanjo zimekuja?
Kwahiyo?Ni kile kilichotelekezwa chato
Mitano tena! Akikataa tumlazimisheKwahiyo?
NdioUmelewa?