Tetesi: Chanjo za Corona zimetua nchini rasmi

Tetesi: Chanjo za Corona zimetua nchini rasmi

Vipi, mbona zimeingizwa kinyemela sana?

Wamesubiri wakati ambapo sakata la sabaya limekolea na wao wakachomekeamo na chanjo humo humo!

Kama chanjo ni kitu chema, mbona wanakificha ndani ya habari za akina sabaya? ili watu wasitilie maanani ama?

Mimi nilifikiri ujio wa chanjo ulipaswa kuwekwa wazi ili kila mtu atambue kwamba Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania SAMIA SULUHU HASSAN ameridhia kuchanja watu wake!

Hii ingewapa watu ari ya kudungwa hizo chanjo kutoka ulaya ili tudhibiti gonjwa hatari la corona.

Kwanini wameamua kuziingiza chanjo kupitia vichochoroni tena wakati ambapo umma wa watanzania umejikita na drama za sabaya?

Hakuna japo kavideo cha Rais kutoa tamko na kuhimiza watanzania wadungwe chanjo?View attachment 1808167
Chanjo haina tatizo lolote
 
Leo Rais amepokea mpango kazi wa kamati ambapo imeshauri njia mbalimbali zitakazosaidia serikali kushawishi wadau mbalimbali kusaidia upatikanaji wa chanjo chini ya wizara ya afya.

So acha kukurupuka.
 
Times change. Kuna mambo yako kwenye uwezo wetu na mengine yako juu yetu. Sisi waamini tunayaweka yote mikononi mwa Mwenyezi Mungu
 
Vipi, mbona zimeingizwa kinyemela sana?

Wamesubiri wakati ambapo sakata la sabaya limekolea na wao wakachomekeamo na chanjo humo humo!

Kama chanjo ni kitu chema, mbona wanakificha ndani ya habari za akina sabaya? ili watu wasitilie maanani ama?

Mimi nilifikiri ujio wa chanjo ulipaswa kuwekwa wazi ili kila mtu atambue kwamba Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania SAMIA SULUHU HASSAN ameridhia kuchanja watu wake!

Hii ingewapa watu ari ya kudungwa hizo chanjo kutoka ulaya ili tudhibiti gonjwa hatari la corona.

Kwanini wameamua kuziingiza chanjo kupitia vichochoroni tena wakati ambapo umma wa watanzania umejikita na drama za sabaya?

Hakuna japo kavideo cha Rais kutoa tamko na kuhimiza watanzania wadungwe chanjo?View attachment 1808167
Wanafichaje wakati umeambatanisha na barua rasmi? Ebu nieleweshe..
 
Sabaya ameshalala muda huu!!! Sisi bado tunachat!!! Ndo maisha yalivyo!!
 
Afya ni mali yangu.....

Mimi na wenzangu kadhaa niliowashawishi kwa HOJA tunajiandaa Serikali ikianza KUTOA HIZO CHANJO tuwe wa mwanzomwanzo KUCHANJWA na PICHA TUPIGWE tuzirushe humu ndani....

#KaziIendelee
 
Mpaka 2025, karibu wote tutakuwa tumepelekwa MACHINJIONI. Maana saa hizi tunatekeleza yale wanayotaka tutekeleze na si tunayoyataka sisi.
 
Kwaio ulitaka nchi isimame kisa Sabayo? tusubiri yake yaishe ndio tusonge mbele? Kweli waafrika wanachojua ni kucheza ngoma tu.
 
Back
Top Bottom