Channel Ten plus mna matatizo gani?

Channel Ten plus mna matatizo gani?

Kwangu sio sawa ila hawa vijana wana maelezo zaidi , hawa kwao mishangazi ni fursa. Yaani kazi yao ni kua na engine ya kasongo tu, shangazo akiridhika na show anatoa maokoto.
Cc
Poor Brain
PSL god
Jordy05
Mishangazi kukuhudumia ni kitu cha kawaida si mshakuwa wapenzi na mapenzi ni kusaidiana. Mapenzi sio umri mbona mabinti wanaolewa na watu wakubwa umri wa baba zao na hamshangai....
 
Mimi pia nilimuona Muheshimiwa mchungaji kwa hiyo chanell kavaa suti ya maguniaa nikacheka sanaa...
 
Mimi pia nilimuona Muheshimiwa mchungaji kwa hiyo chanell kavaa suti ya maguniaa nikacheka sanaa...
ina bendera ya Tanzania mbele, leo pia alikuwepo kavaa vizur nywele zimeshindiliana utasema msitu wa amazon
 
Back
Top Bottom