Chanzo cha B. Dozen kuhama Clouds

Nchakali baada ya kutoka SCANAD ndio karudi kukisimamia
Halafu clouds tv imebadilika sana nahisi kuna mkono wa nchakali maana mwanzoni ilikuwa haina vipindi sana wala mvuto kama saa hii
 
Hizi zote ni story tu,bottom line,kijana ametafuta "greener pasture"
Penda kazi yako,usipende kampuni
 
Siyo mbYa ni mawazo yako atuwez kupinga umefikir ulichowaza na ukaamua kutujuza ila maisha ni safari iliyo na mwisho kijanaa hivyo [emoji4][emoji4] sizani kama hoja yako Ina mashiko Sana
 
Umemsahau Abubakar Sadick
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…