mayowela
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 2,125
- 1,753
Kidbwoy yuko upande wa Ubunifu na MaudhuiYeah sky mzee anajua sana
Mwamba
Kidbway yupo clouds fm? Anafanya kazi gani pale
Yeah skywalker
Yeah mkuu Fredrick bundala.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kidbwoy yuko upande wa Ubunifu na MaudhuiYeah sky mzee anajua sana
Mwamba
Kidbway yupo clouds fm? Anafanya kazi gani pale
Yeah skywalker
Yeah mkuu Fredrick bundala.
Yeah na Masoud Kipanya pia!Kama Pj na ghabash tu
Clouds INA HR mwanamke ? Yule jamaa wa Arusha alishaacha ,au nimepitwa na mambo ya mjini ?Inasemekana Dozen kilichomuondoa Clouds ni mapenzi.
Aliyekua mpenzi wake ni HR, sasa hawa wadada wakishaachana na mtu figisu za wazi haziishi ndiyo mwamba akaona ajiweke pembeni.
NB: Inasemekana.
Hahahaha, dah hiki kitengo Kitambo kilianzaga na Nchakali na CindyKidbwoy yuko upande wa Ubunifu na Maudhui
Nchakali baada ya kutoka SCANAD ndio karudi kukisimamiaHahahaha, dah hiki kitengo Kitambo kilianzaga na Nchakali na Cindy
I know its Mr KITOIClouds INA HR mwanamke ? Yule jamaa wa Arusha alishaacha ,au nimepitwa na mambo ya mjini ?
Yeah ,mwanzo ndio alianzisha akchukua Cindy toka east Africa, na Ray mshanaNchakali baada ya kutoka SCANAD ndio karudi kukisimamia
Hahahaha, nami najua hivyoI know its Mr KITOI
Na mimi last time kuwafatilia HR alikuwa ni Kitoi... sasa nasikia ni mwanamke!Clouds INA HR mwanamke ? Yule jamaa wa Arusha alishaacha ,au nimepitwa na mambo ya mjini ?
Sio ka shoga kweli kale ka MTU!!!
Ah..Skywalker(sijui km spelling ndio hz) huyo myama sana yule jamaa!
Shadee wakishaachana muda.. huyo HR ni Faudhia.. Halafu sijui kwa nini B12 wasichana wake anachukua Hapo hapo Clouds?
Ha ha haOK kijana
EX=X
Ndo huyu huyu alishikwa kiuno huku akibembelezwa kifo cha broo wakeHuyu si ndie aliyembebelezwa kule bukoba ama?
Yupo clouds mkuu ila Yuko nyuma ya microphone anasuka mipango unayoisikia kwenye burudani.Aisee
Kidbway/ Sandu George kitambo sana pale radio free.
Amekuepo clouds tangu lini?
Saasawa mkuu KimYupo clouds mkuu ila Yuko nyuma ya microphone anasuka mipango unayoisikia kwenye burudani.