Chanzo cha B. Dozen kuhama Clouds

Chanzo cha B. Dozen kuhama Clouds

Inasemekana Dozen kilichomuondoa Clouds ni mapenzi.

Aliyekua mpenzi wake ni HR, sasa hawa wadada wakishaachana na mtu figisu za wazi haziishi ndiyo mwamba akaona ajiweke pembeni.

NB: Inasemekana.
Clouds INA HR mwanamke ? Yule jamaa wa Arusha alishaacha ,au nimepitwa na mambo ya mjini ?
 
Clouds INA HR mwanamke ? Yule jamaa wa Arusha alishaacha ,au nimepitwa na mambo ya mjini ?
Na mimi last time kuwafatilia HR alikuwa ni Kitoi... sasa nasikia ni mwanamke!
 
Kidbwoy kama kweli yupo mawingu nilikuwa sijui kabisa. Nilikuwa napenda sana nyimbo alizotengeneza yeye jinsi anavyocharaza vinanda.
Hebu tupate mmoja hapa wa Kwa ajili yako-Hussein machozi 2009
 
Nataka kujua huyo mtangazaji akifika huko anapokwenda atakaa karantini au atapimwa joto tu?
 
Aisee

Kidbway/ Sandu George kitambo sana pale radio free.

Amekuepo clouds tangu lini?
Yupo clouds mkuu ila Yuko nyuma ya microphone anasuka mipango unayoisikia kwenye burudani.
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Yupo clouds mkuu ila Yuko nyuma ya microphone anasuka mipango unayoisikia kwenye burudani.
Saasawa mkuu Kim

Kwa sehemu ni fair kusema clouds wana deserve mafanikio waliyopata.

Wamejitahidi sana kuwa na ile cream ya Tanzania nje na ndani ya uwanja
 
Back
Top Bottom