Chanzo cha B. Dozen kuhama Clouds

Chanzo cha B. Dozen kuhama Clouds

Sijui wengine huwa mnaangalia vipi uwezo wa watangazaji.

Iko hivi kwa show za mchana Tanzania yote hakuna kama Twangala.

Hao kina crispin ni wapiga kelele tu hawajui kitu.

Mtu aliyekuwa anamuweza Dozen kwa show za mchana alikuwa Kidbway na mwamba mmoja nimemsahau wa RFA miaka hiyo now days namuona yupo na online radio.
Kidbway yupo Clouds saiv kwenye kamati ya Fiesta na kina Seba Maganga,,uyo mwengine unaemzungumzia ni Frederick Bundala Sky Walker au?
 
Sijui wengine huwa mnaangalia vipi uwezo wa watangazaji.

Iko hivi kwa show za mchana Tanzania yote hakuna kama Twangala.

Hao kina crispin ni wapiga kelele tu hawajui kitu.

Mtu aliyekuwa anamuweza Dozen kwa show za mchana alikuwa Kidbway na mwamba mmoja nimemsahau wa RFA miaka hiyo now days namuona yupo na online radio.
Skywalker
 
Boss mwenyewe alimpigia jamaa simu live, pia wanafanya biashara pamoja.Sasa wasielewane na mfanyakazi wake kisa kamtaja huyo jamaa si angeenda huko alikotaja


Hii kauli aliizungumza wiki iliyopita kwa 90% inaweza kuwa sababu ya kuhama.

Mngt baada kusikia kauli yake labda wakaamua waifanyie kazi kali yake.
 
Boss mwenyewe alimpigia jamaa simu live, pia wanafanya biashara pamoja.Sasa wasielewane na mfanyakazi wake kisa kamtaja huyo jamaa si angeenda huko alikotaja
Kwani huko alikotaja wamemtaka?
 
Back
Top Bottom