Chanzo cha Dunia, Uhai na Ulimwengu ni nini?

Chanzo cha Dunia, Uhai na Ulimwengu ni nini?

Jibu la swali gani?

You are just doing ad hominem attack.

Badala ya kujibu hoja unamshambulia mleta hoja.

Swali gani ambalo sijajibu?

Au unataka mabishano yasiyo na mantiki.
Kingerza chote hiko hujui jibu , kaa kwa kutulia basi😀😀😀😀
 
Swali: Ukitoa princliple zote za kisayansi unazozijua na usizojijua na Ukitoa imani zote za Dini zote unazozijua na usizozijua Je, Chanzo cha Dunia, Uhai na Ulimwengu ni nini ?

NB; Uzi huu utawekwa kwenye record za Dunia kwamba ndio uzi pekee uliotaja chanzo cha Dunia, Uhai na ulimwengu bila kutaja principle zozote za Kisayansi au Imani (Dini)

Nawasilisha.
Hakuna chazo cha dunia wala cha uhai. Dunia na uhai ni mabadiliko tu ya vitu ambayo ni lazima na ni asiri. Mabadiliko huwa hayana mwazo wala mwisho. Panya au kiuumbe chochote kikifa hala kikaachwa bila kuguswa uhai wa funza unatokea . So huwezi ukasema fuza wameanzia kwenye kitu kilicho oza. Huwenda fuza wanaisi ndani ya viumbe ila baada ya madiliko nao wakatokea katika form tafauti.
 
Swali: Ukitoa princliple zote za kisayansi unazozijua na usizojijua na Ukitoa imani zote za Dini zote unazozijua na usizozijua Je, Chanzo cha Dunia, Uhai na Ulimwengu ni nini ?

NB; Uzi huu utawekwa kwenye record za Dunia kwamba ndio uzi pekee uliotaja chanzo cha Dunia, Uhai na ulimwengu bila kutaja principle zozote za Kisayansi au Imani (Dini)

Nawasilisha.
wewe unakijua? Na je kama unajua basi mtu huyo mwenye akili ni wewe na kama haujui je utathibitishaje kama jibu lililotolewa ni sahihi?
 
Unauliza hivi we kama nani Yani!? Anyway...

Mtazamo wangu ni huu

Haya maneno kiswahili chake hakijitoshelezi kumaanisha kile ninachotaka kumaanisha hivyo nitatumia lugha ya kingeleza;

INTELLIGENCE+ENERGY AU INTELLIGENCE OPERATING ON ENERGY.
 
Swali: Ukitoa princliple zote za kisayansi unazozijua na usizojijua na Ukitoa imani zote za Dini zote unazozijua na usizozijua Je, Chanzo cha Dunia, Uhai na Ulimwengu ni nini ?

NB; Uzi huu utawekwa kwenye record za Dunia kwamba ndio uzi pekee uliotaja chanzo cha Dunia, Uhai na ulimwengu bila kutaja principle zozote za Kisayansi au Imani (Dini)

Nawasilisha.
Swal lako mkuu ni sawa na kuuliza! Hi I!!

Ukiondoa Baba, mama na Mungu ni nini Chanzo cha mtoto?

Ukipata hlo jibu ndo utapata jibu hlo hapo
 
Nishati (Energy)

Kupitia energy you create everything and universe is operating through energy either positive /negative.
Mada zangu nyingi sana huwa unajibu bila mihemko, una una falsafa yako ambayo si kila mtu anayo. Ahsante sana great thinker at least wewe upo kwenye 20%/100 naamini jubu lazima litapatikana.
 
Mikate haiwezi Kamwe kujua chanzo halisi cha mikate, muoka mikate ndio anajua,,,,
The same kwa dunia na mwanzo wake.
Kama mikate haiwezi kujua mwanzo wake ni nini, itaanzaje kusema ina mwanzo?

Kama hujui mwanzo wa dunia ni nini, Utasemaje kuna mwanzo?

Kwa nini Unadhani, Mwanzo upo?

Kwa nini Hudhani, Mwanzo haupo?

Kama mwanzo lazima uwepo, Je mwanzo wa mwanzo ni nini?
 
Hata ukipewa jibu la hilo swali na maybe ikawa ni sahihi bado halitaleta maana yoyote kwako bali kwa mwenye hilo jibu tu. Hili swali linahitaji self realisation na si kuambiwa.
 
Swali: Ukitoa princliple zote za kisayansi unazozijua na usizojijua na Ukitoa imani zote za Dini zote unazozijua na usizozijua Je, Chanzo cha Dunia, Uhai na Ulimwengu ni nini ?

NB; Uzi huu utawekwa kwenye record za Dunia kwamba ndio uzi pekee uliotaja chanzo cha Dunia, Uhai na ulimwengu bila kutaja principle zozote za Kisayansi au Imani (Dini)

Nawasilisha.
Hili swali ni gumu kinyama na linaonyesha vile tuko weupe nje knowledge ya science na dini.

Kabla ya kupata chanzo mimi nawaza, hivi mwanzo wa muda ni nini?
 
Kama mikate haiwezi kujua mwanzo wake ni nini, itaanzaje kusema ina mwanzo?

Kama hujui mwanzo wa dunia ni nini, Utasemaje kuna mwanzo?

Kwa nini Unadhani, Mwanzo upo?

Kwa nini Hudhani, Mwanzo haupo?

Kama mwanzo lazima uwepo, Je mwanzo wa mwanzo ni nini?
Mwanzo wa dunia na maisha upo,,,,sababu.
1. Jinsi dunia na maisha yalivyosukwa kwa mipangilio ambayo hakuna uwezekano ukatokea kwa bahati mbaya,,,, ntakupa maelezo na mifano michache Tazama viumbe wote, mpangilio wa maisha yao kuzaliwa, kuzaliana, kula, kukua na kufa kwao,,, ni vitu vilivyopamgiliwa kwa mtiririko sahihi, hakuna uwezekano ikatokea kwa bahati mbaya.

2. ntarejea mfano wAngu wa mikate na muokajiiii,,,, mikate imepewa uwezo wa kutambua kwamba imetengenezwa au imeletwa ila haijapewa njia au uwezo wa uhakika Nani kaitengeneza na kwa vipi imetengenezwa,,,, ni sawa na sisi binadamu hatuna jibu la uhakika Mwanzo wetu, ila tunajua tuna Mwanzo.
 
Back
Top Bottom