Chanzo cha Dunia, Uhai na Ulimwengu ni nini?

Chanzo cha Dunia, Uhai na Ulimwengu ni nini?

Tulia usome acha ubishi 😀 😀 😀 mpaka watu kufika bilion 8 basi kulikuwana chanzo mpaka idadi ikafika hapa.
Sasa taja, eleza na thibitisha hicho chanzo nini?

Sio kufosi fosi tu chanzo kipo, Halafu kukithibitisha hicho chanzo huwezi.

Unafosi fosi tu.
 
Kama hujui mpangiliaji na yeye kapangiliwa au la, Sasa ulijuaje yupo?

Au unafosi tu kwamba kuna mpangiliaji, ilhali hata hujui huyo mpangiliaji mwenyewe katoka wapi?🤷

Kwani lazima mpangilio uliopo uwe umepangiliwa?

Kwa nini unadhani mpangilio uliopo, lazima uwe umepangiliwa?

Kwa nini hudhani kwamba, mpangilio uliopo umejipangilia wenyewe tu?

Kama mpangilio huu uliopo lazima uwe umepangiliwa, Hata huyo mpangiliaji mwenyewe lazima awe amepangiliwa.

Mpangiliaji huyo hawezi kuwepo tu from no where.

Na kama si lazima kwamba mpangilio uliopo umepangiliwa, Basi pia hakuna haja ya kuwepo mpangiliaji wa mpangilio huu uliopo.

Kwani lazima viumbe hai wote viwe na mwanzo?

Kama ulazima huo upo, Hata huo mwanzo wa viumbe hai wote, Lazima uwe na mwanzo wake mwingine. Hivyo hivyo to infinity

Pasiwepo kitu chochote kile kilicho jitokeza chenyewe pasipo mwanzo maana kitazua maswali ya kiliwezaje kuwepo tu chenyewe, pasipo mwanzo.

Na kama si lazima kwamba kila kitu kilichopo kina mwanzo, Hata viumbe hai wote hatuna na hatuhitaji tuwe na mwanzo.

Je huyo mtengenezaji wa mikate, yeye alitengenezwa na nani?

Na huyo aliye mtengeza, alitengenezwa na nani?

Unapoweka ulazima wa kwamba lazima awepo mtengenezaji, Je huoni kwamba hapa kutakuwa na watengenezaji endless, wasio na mwisho?
Sawa mkuu….
Mimi sikubishiiiii vile unavyowaza na ndio maana ya kutumia akili uko,,,,
Hongera sana. 👍🏿👍🏿👍🏿👍🏿👍🏿👍🏿👍🏿
 
Swali: Ukitoa princliple zote za kisayansi unazozijua na usizojijua na Ukitoa imani zote za Dini zote unazozijua na usizozijua Je, Chanzo cha Dunia, Uhai na Ulimwengu ni nini ?

NB; Uzi huu utawekwa kwenye record za Dunia kwamba ndio uzi pekee uliotaja chanzo cha Dunia, Uhai na ulimwengu bila kutaja principle zozote za Kisayansi au Imani (Dini)

Nawasilisha.
Hiyo Marking scheme ya hili swali ipo Kwa mujibu wa principle gani?🤣🤣🤣🤣
 
Habari wakuu

Kwanza kabisa niombe shukrani kwa kunipa nafasi ya kujibu swali hili kama ifuatavyo;
1;dunia
Hakuna kitu kinaitwa dunia bali dunia ni ni human mind perception moja kwa moja hakuna chanzo cha dunia wakamua kuita dunia

2;kuhusu uhai niseme kwamba ,hakuna kitu kinaitwa uhai na hakuna uhai bali uhai neno ambalo limeundwa na mwanadamu kutokana na human mind perception yaan mind concious ya mwanadamu ambayo inaamini kuna kitu kinaitwa uhai na kiumbe kisicho hai, wakati kiuhalisia hakuna kiumbe kisicho hai bali concious mind ya mwanadamu imeishia hapo nakuamini kua kuna viumbe hai na visivyo hai kitu ambacho si sahihi

3;ulimwengu kwa kimombo ni universe ni miongoni wa maneno ambayo yaliundwa kutokana na ufahamu wa mwanadamu kuhusu mazingira yanayomzunguka

JIBU.
hakuna kitu kinautwa uhai,dunia na ulimwengu in real world bali ni ni perception of human mind yaani concious mind

💥hakuna dunia ,hakuna uhai,hakuna ulimwengu bali hivyo vyote ni illision tu na propaganda za wanadamu

👉No sources for nothing
 
Swali: Ukitoa princliple zote za kisayansi unazozijua na usizojijua na Ukitoa imani zote za Dini zote unazozijua na usizozijua Je, Chanzo cha Dunia, Uhai na Ulimwengu ni nini ?

NB; Uzi huu utawekwa kwenye record za Dunia kwamba ndio uzi pekee uliotaja chanzo cha Dunia, Uhai na ulimwengu bila kutaja principle zozote za Kisayansi au Imani (Dini)

Nawasilisha.
Unajuaje kuna chanzo?

Na nitatoaje principles nisizozijua?

Nitatoaje dini nisizozijua?
 
Unathibitishaje kwamba dunia na maisha yalisukwa kwa mipangilio?

Je dunia na maisha haviwezi kujipangilia vyenyewe tu?

Kwa nini unadhani dunia na maisha vilipangiliwa?

Kwa nini Hudhani dunia na maisha havija pangiliwa?

Kama dunia na maisha lazima viwe vimepangiliwa, Je huyo mpangiliaji wa dunia na maisha, Yeye alipangiliwa na nani?

Kwanza mikate🍞haina uwezo wa kutambua kitu.

Mikate si kiumbe hai chenye fikra na ufahamu.

Kufananisha mkate 🍞 usio na ufahamu wowote ule na binadamu mwenye ufahamu ni kufanya, Logical non sequitur.

Unaunganisha vitu viwili tofauti visivyo na uhusiano wowote ule, kuunda hitimisho potofu.

Ulijuaje dunia ina mwanzo na unathibitishaje kwamba dunia na binadamu tuna mwanzo?
Mfano mototo mchanga achukuliwe na awekwe katikati ya msitu akisha kuwa ukimfata na kumuuliza nani amekuweka hapa hato kupa jibu sahihi na atajibu hakuna alie nileta nipo tuu, kwasababu wakati analetwa hakuwa na ufahamu wa kujuwa ni wapi ametoka so ni ngumu kujuwa. Chanzo cha binadamu na dunia kwa ujumla.
Tume futwa kumbukumbu ni wapi tumetoka na atufahamu ni wapi tunakwenda.
 
Napenda mijadala ya hivi na nondo ninazo za kutosha,ila tukipeana elimu hapa jf,kuna vivuruga wataharibu mjadala,..weekend moja tuunde group chat PM watu kumi
Mko tayari na majibu kuhusu chanzo cha ulimwengu huu?

Maana nikiwaangalia hawa manyumbu wa humu sidhani kama yupo hata mmoja anayeweza kuhimili majibu nitakayoyatoa?

Msitusumbue, msije kuanza kuhara kwa hofu hapa. Ngoja tujikalie kimya tu.

Cc: DR Mambo Jambo min -me mshamba_hachekwi Lamomy Poor Brain
Sema tu mkuu,na natumaini wote waliopo hapa wanakiu sana kufahamu
 
Sawa mkuu….
Mimi sikubishiiiii vile unavyowaza na ndio maana ya kutumia akili uko,,,,
Hongera sana. 👍🏿👍🏿👍🏿👍🏿👍🏿👍🏿👍🏿
Yani ukishaanza kuweka ulazima wa kwamba kila kitu lazima kiwe na mtengenezaji, Hata huyo mtengenezaji mwenyewe huwezi kumu exclude kwenye kutengenezwa.

Na kama hakuna ulazima huo, Hata vitu vyote vilivyopo havihitaji kuwa na mtengenezaji wake.
 
Hakuna chazo cha dunia wala cha uhai. Dunia na uhai ni mabadiliko tu ya vitu ambayo ni lazima na ni asiri. Mabadiliko huwa hayana mwazo wala mwisho. Panya au kiuumbe chochote kikifa hala kikaachwa bila kuguswa uhai wa funza unatokea . So huwezi ukasema fuza wameanzia kwenye kitu kilicho oza. Huwenda fuza wanaisi ndani ya viumbe ila baada ya madiliko nao wakatokea katika form tafauti.
Ni kweli mkuu kwa kiasi chake
 
Mkuu inaonekana ww jibu unalijua maana umesema atakayepatia jibu atakua mtu mwenye akili zaidi duniani kwahiyo kwa sasa mtu mwenye akili zaidi dunian n wewe
 
Swali: Ukitoa princliple zote za kisayansi unazozijua na usizojijua na Ukitoa imani zote za Dini zote unazozijua na usizozijua Je, Chanzo cha Dunia, Uhai na Ulimwengu ni nini ?

NB; Uzi huu utawekwa kwenye record za Dunia kwamba ndio uzi pekee uliotaja chanzo cha Dunia, Uhai na ulimwengu bila kutaja principle zozote za Kisayansi au Imani (Dini)

Nawasilisha.
Nguvu ya asili isiyo na chanzo inayoratibu ulimwengu
 
Kama nitakosea naomba kusahihishwa. Bwana Newton kwenye ile third law of motion alisema "In every action there is equal and opposite reaction" Je alifanya rejea wapi ?
Newton alitumia rejea. Mgoogle mtu anaitwa Galileo Galilei na uhusiano wake na Newton law of motion. Kwa ufupi Newton hakuumba swali, alitengeneza swali akaja na majibu.

tukiachana na Newton tukarudi kwako brojust wa Tanganyika, Wewe hujaumba wala hujatengeneza swali, umeleta swali ambalo lilishaumbwa tayari katika historia na unataka majibu yasiyohusisha historia na huna nyenzo za kuthibitisha majibu ya kufikirika utakayopewa. Hii kwa lugha fupi unataka blah blah.
Swali la msingi ? Tumia akili yako kujibu na kuja na jibu ambalo sio la kumezeshwa kwenye Dini au sayansi. Ndio maana nimesema Acha blablah jibu swali kwa kutumia akili yako, Njoo na principle yako iishi miaka Mia mbele.
Hili ufanyalo ndo blah, blah boss.

Hichi unachofanya ni sawa na wale wa Tandale wanaotengeneza helkopta zao kwa tech ya zamani ambayo dunia ilishaiacha miaka 1000 nyuma huku wakisifiwa mbuyu ulianza kama mchicha.

Karne nyingi zimepita na swali limetolewa majibu mengi tayari mpaka kufikia leo hii, ruhusu rejea kisha zikisolewe na kujadiliwa ndo kunaweza kutokea jibu jipya.
 
Mfano mototo mchanga achukuliwe na awekwe katikati ya msitu akisha kuwa ukimfata na kumuuliza nani amekuweka hapa hato kupa jibu sahihi na atajibu hakuna alie nileta nipo tuu, kwasababu wakati analetwa hakuwa na ufahamu wa kujuwa ni wapi ametoka so ni ngumu kujuwa. Chanzo cha binadamu na dunia kwa ujumla.
Tume futwa kumbukumbu ni wapi tumetoka na atufahamu ni wapi tunakwenda.
Binadamu hana chanzo.

Binadamu ndio chanzo chenyewe cha ubinadamu.

Vivyo hivyo kwa viumbe wote.

Na universe kwa ujumla.

Wala hakuna aliyetufuta kumbukumbu, Ni wewe tu unadhani na kuhisi hivyo.

Kwamba kuna kitu kilitufuta kumbukumbu.

Ila in reality, hakipo.
 
Hiyo Marking scheme ya hili swali ipo Kwa mujibu wa principle gani?🤣🤣🤣🤣
Marking scheme yake ipo pale tu utakapo ruhusu ubongo wako kutoa jibu nnje ya Imani na Sayansi. Ahsante
 
Back
Top Bottom