Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka kunambia you don't feel the super natural power? Hata wewe ni part and parcel katika equilibrium iliyopo ulimwenguni, that's why ukijikwaa unaanguka, ukilewa unayumba. Ukitaka kufahamu vitu vingi unatakiwa uwe skeptical hata katika vitu vidogoBinadamu wa kawaida kama mimi na wewe tunawezaje kuwa karibu au kuivuta hiyo super natural power ili iwe part and parcel ya maisha yetu ya kila siku ? At least ningekuwa mwalimu wako ningekup 15%/100% Ahsante sana mkuu
Hiyo nguvu iliishi kwenye nini, kama haina chanzo?Nguvu ya asili isiyo na chanzo inayoratibu ulimwengu
Uhai, Dunia, na ulimwengu vyote vilianza kutajwa na (Dini na Sayansi).Swali: Ukitoa princliple zote za kisayansi unazozijua na usizojijua na Ukitoa imani zote za Dini zote unazozijua na usizozijua Je, Chanzo cha Dunia, Uhai na Ulimwengu ni nini ?
NB; Uzi huu utawekwa kwenye record za Dunia kwamba ndio uzi pekee uliotaja chanzo cha Dunia, Uhai na ulimwengu bila kutaja principle zozote za Kisayansi au Imani (Dini)
Nawasilisha.
Mkuu nadhani hujanielewa na unataka kunivuta kwenye Imani au Sayansi ndio utaridhika, Basi ngoja niachane na chanzo cha Dunia, nikuulize swali dogo tu nione utakavyo jibu Blah Blah.Newton alitumia rejea. Mgoogle mtu anaitwa Galileo Galilei na uhusiano wake na Newton law of motion. Kwa ufupi Newton hakuumba swali, alitengeneza swali akaja na majibu.
tukiachana na Newton tukarudi kwako brojust wa Tanganyika, Wewe hujaumba wala hujatengeneza swali, umeleta swali ambalo lilishaumbwa tayari katika historia na unataka majibu yasiyohusisha historia na huna nyenzo za kuthibitisha majibu ya kufikirika utakayopewa. Hii kwa lugha fupi unataka blah blah.
Hili ufanyalo ndo blah, blah boss.
Hichi unachofanya ni sawa na wale wa Tandale wanaotengeneza helkopta zao kwa tech ya zamani ambayo dunia ilishaiacha miaka 1000 nyuma huku wakisifiwa mbuyu ulianza kama mchicha.
Karne nyingi zimepita na swali limetolewa majibu mengi tayari mpaka kufikia leo hii, ruhusu rejea kisha zikisolewe na kujadiliwa ndo kunaweza kutokea jibu jipya.
Nakuelewa vizuri tu boss. Unataka tutengeneza ndege wenyewe kwa kuanza moja kama vile ndege haijawahi kutengenezwa before na ukihojiwa kwanini tusiichunguze tech ambayo ipo tayari tukaja na kitu kipya unasema ni blah blah.Mkuu nadhani hujanielewa na unataka kunivuta kwenye Imani au Sayansi ndio utaridhika, Basi ngoja niachane na chanzo cha Dunia,
Chanzo cha jua ni muunganiko wa vumbi kubwa jingi lenye gesi ya hydrogen na hellium ambapo muunganiko wake ukatengeneza joto kali sana katikati na baada ya muda mlipuko wa nuclear ambao ndo tunaita mwanga wa Jua.nikuulize swali dogo tu nione utakavyo jibu Blah Blah.
Swali; Chanzo cha Jua (Sun) ni nini ? Jibu kwa kutumia rejea za imani yoyote au principle ya sayansi unayoijua.
Chanzo cha akili nininiSwali: Ukitoa principles zote za kisayansi unazozijua na usizojijua na Ukitoa imani zote za Dini zote unazozijua na usizozijua Je, Chanzo cha Dunia, Uhai na Ulimwengu ni nini ?
NB; Uzi huu utawekwa kwenye record za Dunia kwamba ndio uzi pekee uliotaja chanzo cha Dunia, Uhai na ulimwengu bila kutaja principle zozote za Kisayansi au Imani (Dini)
Nawasilisha.
Wewe unajibu kama umeulizwa : kwa nn lugha ni sauti za nasibu? Uko nje kabisa ya mada .Habari wakuu
Kwanza kabisa niombe shukrani kwa kunipa nafasi ya kujibu swali hili kama ifuatavyo;
1;dunia
Hakuna kitu kinaitwa dunia bali dunia ni ni human mind perception moja kwa moja hakuna chanzo cha dunia wakamua kuita dunia
2;kuhusu uhai niseme kwamba ,hakuna kitu kinaitwa uhai na hakuna uhai bali uhai neno ambalo limeundwa na mwanadamu kutokana na human mind perception yaan mind concious ya mwanadamu ambayo inaamini kuna kitu kinaitwa uhai na kiumbe kisicho hai, wakati kiuhalisia hakuna kiumbe kisicho hai bali concious mind ya mwanadamu imeishia hapo nakuamini kua kuna viumbe hai na visivyo hai kitu ambacho si sahihi
3;ulimwengu kwa kimombo ni universe ni miongoni wa maneno ambayo yaliundwa kutokana na ufahamu wa mwanadamu kuhusu mazingira yanayomzunguka
JIBU.
hakuna kitu kinautwa uhai,dunia na ulimwengu in real world bali ni ni perception of human mind yaani concious mind
💥hakuna dunia ,hakuna uhai,hakuna ulimwengu bali hivyo vyote ni illision tu na propaganda za wanadamu
👉No sources for nothing
Wahi MirembeSwali: Ukitoa principles zote za kisayansi unazozijua na usizojijua na Ukitoa imani zote za Dini zote unazozijua na usizozijua Je, Chanzo cha Dunia, Uhai na Ulimwengu ni nini ?
NB; Uzi huu utawekwa kwenye record za Dunia kwamba ndio uzi pekee uliotaja chanzo cha Dunia, Uhai na ulimwengu bila kutaja principle zozote za Kisayansi au Imani (Dini)
Nawasilisha.
Jibu zuri sana, kwahyo lile vumbi lilitokana na nini ? na Je, Kati ya hizo theories za Bing bang kwa upande wa sayansi na zile za imani, mzani wako wewe unaangukia wapi ? Assume una alama 100% je, Kuhusu chanzo cha dunia, uhai na ulikwengu utazigawaje kwa akili yako binafsi kwamba at least upande huu una ukweli ili tuanze kulijibu swali letu kwa ufasaha.Chanzo cha jua ni muunganiko wa vumbi kubwa jingi lenye gesi ya hydrogen na hellium ambapo muunganiko wake ukatengeneza joto kali sana katikati na baada ya muda mlipuko wa nuclear ambao ndo tunaita mwanga wa Jua.
Inasemekana kwenye space kuna eneo lina hayo mavumbi yanajulikana kama GMC ambao ni mchanganyiko wa hydrogen na Helium, Ni kama tu kule kijijini kwenu kulivyo na tope au vumbi. Unajua chanzo cha vumbi pale kijijini?Jibu zuri sana, kwahyo lile vumbi lilitokana na nini ?
Kwa upande wangu, Mwanzo wa imani ni mwisho wa Sayansi. Naikubali Sayansi ila pale inapokosa majibu sina ninachopoteza ninapogeukia imani, ila za kuambiwa huwa nachanganya na zangu.na Je, Kati ya hizo theories za Bing bang kwa upande wa sayansi na zile za imani, mzani wako wewe unaangukia wapi ?
Angalau hapa sasa umeruhusu rejea za sayansi na dini.Assume una alama 100% je, Kuhusu chanzo cha dunia, uhai na ulikwengu utazigawaje kwa akili yako binafsi kwamba at least upande huu una ukweli ili tuanze kulijibu swali letu kwa ufasaha.
MmhMada za hivi huwa wanaonekana wanaume tu sijuu kwanini??😂😂😂😂😂
We angalia hapo wanawake waliotoa mchango wao hawafiki watano
Hakuna duniaSwali: Ukitoa principles zote za kisayansi unazozijua na usizojijua na Ukitoa imani zote za Dini zote unazozijua na usizozijua Je, Chanzo cha Dunia, Uhai na Ulimwengu ni nini ?
NB; Uzi huu utawekwa kwenye record za Dunia kwamba ndio uzi pekee uliotaja chanzo cha Dunia, Uhai na ulimwengu bila kutaja principle zozote za Kisayansi au Imani (Dini)
Nawasilisha.
AiseeIlikuwepo tu nawatu ndani yake chanzo ni Yesu ndi baba yake aliumba
Kivipi mwezi unahusika na muda mkuuMwezi
Sijui babe kichwa kiko moto 🤣maswali gani aya