Inashangaza sana mtu akagoma kula nguruwe ila anamla mla nguruwe 😁Exactly.
Tamu ya nguruwe ni kula TOPE LENYE FUNZA.
Na mwisho wa NGURUWE MLA TOPE ni kubanikwa katika kichanja cha mishkaki.
They are not worthy it.
Kingerza chote hiko hujui jibu , kaa kwa kutulia basi😀😀😀😀Jibu la swali gani?
You are just doing ad hominem attack.
Badala ya kujibu hoja unamshambulia mleta hoja.
Swali gani ambalo sijajibu?
Au unataka mabishano yasiyo na mantiki.
Ubaya ubwela... dadekiii......Inashangaza sana mtu akagoma kula nguruwe ila anamla mla nguruwe 😁
Pointi ipo hapa asikilizwe huyu jamaaMikate haiwezi Kamwe kujua chanzo halisi cha mikate, muoka mikate ndio anajua,,,,
The same kwa dunia na mwanzo wake.
Hakuna chazo cha dunia wala cha uhai. Dunia na uhai ni mabadiliko tu ya vitu ambayo ni lazima na ni asiri. Mabadiliko huwa hayana mwazo wala mwisho. Panya au kiuumbe chochote kikifa hala kikaachwa bila kuguswa uhai wa funza unatokea . So huwezi ukasema fuza wameanzia kwenye kitu kilicho oza. Huwenda fuza wanaisi ndani ya viumbe ila baada ya madiliko nao wakatokea katika form tafauti.Swali: Ukitoa princliple zote za kisayansi unazozijua na usizojijua na Ukitoa imani zote za Dini zote unazozijua na usizozijua Je, Chanzo cha Dunia, Uhai na Ulimwengu ni nini ?
NB; Uzi huu utawekwa kwenye record za Dunia kwamba ndio uzi pekee uliotaja chanzo cha Dunia, Uhai na ulimwengu bila kutaja principle zozote za Kisayansi au Imani (Dini)
Nawasilisha.
Jibu la swali gani?Kingerza chote hiko hujui jibu , kaa kwa kutulia basi😀😀😀😀
wewe unakijua? Na je kama unajua basi mtu huyo mwenye akili ni wewe na kama haujui je utathibitishaje kama jibu lililotolewa ni sahihi?Swali: Ukitoa princliple zote za kisayansi unazozijua na usizojijua na Ukitoa imani zote za Dini zote unazozijua na usizozijua Je, Chanzo cha Dunia, Uhai na Ulimwengu ni nini ?
NB; Uzi huu utawekwa kwenye record za Dunia kwamba ndio uzi pekee uliotaja chanzo cha Dunia, Uhai na ulimwengu bila kutaja principle zozote za Kisayansi au Imani (Dini)
Nawasilisha.
Swal lako mkuu ni sawa na kuuliza! Hi I!!Swali: Ukitoa princliple zote za kisayansi unazozijua na usizojijua na Ukitoa imani zote za Dini zote unazozijua na usizozijua Je, Chanzo cha Dunia, Uhai na Ulimwengu ni nini ?
NB; Uzi huu utawekwa kwenye record za Dunia kwamba ndio uzi pekee uliotaja chanzo cha Dunia, Uhai na ulimwengu bila kutaja principle zozote za Kisayansi au Imani (Dini)
Nawasilisha.
Mada zangu nyingi sana huwa unajibu bila mihemko, una una falsafa yako ambayo si kila mtu anayo. Ahsante sana great thinker at least wewe upo kwenye 20%/100 naamini jubu lazima litapatikana.Nishati (Energy)
Kupitia energy you create everything and universe is operating through energy either positive /negative.
Kama mikate haiwezi kujua mwanzo wake ni nini, itaanzaje kusema ina mwanzo?Mikate haiwezi Kamwe kujua chanzo halisi cha mikate, muoka mikate ndio anajua,,,,
The same kwa dunia na mwanzo wake.
Wewe samia utukome sisi tuliosomea ujinga.Ndiyo nini hiki "princliple"?
Hakuna kitu kama hicho. No principles no questions.Acha ujuaji, Errors ndogo ndogo tu hizi. Jibu swali bila kutumia principles zozote iwe dini ama sayansi, Ahsante sana.
Hili swali ni gumu kinyama na linaonyesha vile tuko weupe nje knowledge ya science na dini.Swali: Ukitoa princliple zote za kisayansi unazozijua na usizojijua na Ukitoa imani zote za Dini zote unazozijua na usizozijua Je, Chanzo cha Dunia, Uhai na Ulimwengu ni nini ?
NB; Uzi huu utawekwa kwenye record za Dunia kwamba ndio uzi pekee uliotaja chanzo cha Dunia, Uhai na ulimwengu bila kutaja principle zozote za Kisayansi au Imani (Dini)
Nawasilisha.
Mwanzo wa dunia na maisha upo,,,,sababu.Kama mikate haiwezi kujua mwanzo wake ni nini, itaanzaje kusema ina mwanzo?
Kama hujui mwanzo wa dunia ni nini, Utasemaje kuna mwanzo?
Kwa nini Unadhani, Mwanzo upo?
Kwa nini Hudhani, Mwanzo haupo?
Kama mwanzo lazima uwepo, Je mwanzo wa mwanzo ni nini?