Chanzo cha Saratani Kanda ya Ziwa ni majitaka yenye Zebaki (Mercury)kutoka migodini siyo maji ya maiti!

Chanzo cha Saratani Kanda ya Ziwa ni majitaka yenye Zebaki (Mercury)kutoka migodini siyo maji ya maiti!

Kwani maji ya maiti inakuwaje? Kwamba yanamwagwa ziwa victoria? Je maji hayafanyiwi treatment?
 
Wewe nawe ni mtupu kwenye sekta ya madini. Ni mgodi gani wa mwekezaji unaotumia mercury? Kama hujui, hakuna mgodi hata mmoja wa wawekezaji unaotumia mercury.

Mercury hutumika, tena kwa kiasi kidogosana, na wachimbaji wadogo.
Ni mgeni wa sekta ya madini,na anaongelea issue ya madini kwa mtazamo hasi sana, wawekezaji wote wakubwa na medium scale hutumia leaching methods ku process gold na ni Sodium Cyanide ndio hutumika zaidi as the most common chemical reagent (lixiviant) na sio Mercury as you claimed.

Kingine moja ya legal requirement kwa processing plant ni kuwa na Tailing Storage facility (Tsf) ambalo ni bwawa kwa ajili ya kuhifadhia taka za mgodini (including chemicals), hakuna mahali unaweza ona chemicals zinasambaa ovyo kwenda ziwani.
 
S
Huyu hana utaalam wowote. Ni mgodi gani wa mwekezaji, wewe uliwahi kuambiwa unatumia mercury?

Huyu anazungumziae ti hizo chemicals za kuhifadhia maiti ni volatile, kitu asichokijua ni kuwa toxic material inaweza kuwa volatile ikiwa kwenye open air, lakini haiwezi kuwa volatile ndani ya mwili wa mwanadamu.
Nimesema heavy metals Sio lazima iwe mercury PEKEE hata lead inaweza,hata cyanide pia!!

Go back to school boy!!!
 
Binafsi napinga kauli ya makamu wa Rais kuhusu chanzo cha saratani kanda ya ziwa kuwa maji ya maiti yenye chloroform.

Ni heavy metals pekee kama mercury, lead, zinc na nyinginezo ambazo zinaweza kukaa kwa muda mrefu kwenye maji na ardhini hadi kuyeyuka kwenye maji na kudhuru watumiaji wa maji hayo...
Uko sahihi kabisa, saratani itasababishwa na heavy metals ambazo mostly zitazalishwa na shughuli za migodi na viwanda na labda kutumia kemikali za kilimo kwenye maeneo karibu na vyanzo vya maji kama mito na mabwawa yanayotumika na binadamu na wanyama.

Hivi vingine sijui formalin na maji ya kuosha maiti ni speculations tu..​
 
Ni mgeni wa sekta ya madini,na anaongelea issue ya madini kwa mtazamo hasi sana, wawekezaji wote wakubwa na medium scale hutumia leaching methods ku process gold na ni Sodium Cyanide ndio hutumika zaidi as the most common chemical reagent (lixiviant) na sio Mercury as you claimed.

Kingine moja ya legal requirement kwa processing plant ni kuwa na Tailing Storage facility (Tsf) ambalo ni bwawa kwa ajili ya kuhifadhia taka za mgodini (including chemicals), hakuna mahali unaweza ona chemicals zinasambaa ovyo kwenda ziwani.
Kilichotokea kule nyamongo hadi watu kubabuka ngozi ilikuwa ni nini kama siyo kemikali za migodini kuingia kwenye vyanzo vya maji kwa matumizi ya binadamu, acheni kuleta siasa kwenye maisha ya watu..
 
Binafsi napinga kauli ya makamu wa Rais kuhusu chanzo cha saratani kanda ya ziwa kuwa maji ya maiti yenye chloroform.

Ni heavy metals pekee kama mercury, lead, zinc na nyinginezo ambazo zinaweza kukaa kwa muda mrefu kwenye maji na ardhini hadi kuyeyuka kwenye maji na kudhuru watumiaji wa maji hayo.

Kuhusu formaline na chloroform hizo ni volatile in nature, haziwezi kuishi kwa muda mrefu hewani kwenye joto la kawaida hadi kumfikia mlaji. Yaani huyeyuka kutokana na joto na kuwa gesi hivyo haziwezi kuishi kwenye kiumbe kwa muda mrefu na kusababisha madhara makubwa kiasi hicho.

Kauli ya Makamu ni ya kisiasa wala siyo ya kikemia. Ni kawaida kwa wanasiasa wetu kuleta taharuki kwenye jamii kwa malengo fulani.

Najua kauli hiyo imelenga kuua uchumi wa samaki na kuwabeba wawekezaji wa migodi nchini, kama ile kamati iliyokuja na majibu ya kizembe. Eti kinyesi cha ng'ombe na mkojo ndiyo vilivyosababisha maji ya Mto Mara kuchafuka! Kamati ile na majibu yake ni muendelezo wa siasa chafu kwa wakazi wa Kanda ya Ziwa dhidi ya wamiliki wa migodi wa kanda ile.

Hatujui kauli ya Makamu wa Rais inaspin kitu gani hasa wakati huu wa maumivu ya Tozo, lakini sisi kama wasomi wa kemia hatuwezi kukubali taaluma yetu kudharaulika kisiasa!
Hakuna mgodi mkubwa unayotumia mercury kuchakata madini. Inaonekana mwandishi na wewe unapengo ubongoni.

Mercury wanatumia watanzania na vimigodi vyetu vidogovidogo vingi.

Kule wanatumia Cyanide zaidi.
 
Binafsi napinga kauli ya makamu wa Rais kuhusu chanzo cha saratani kanda ya ziwa kuwa maji ya maiti yenye chloroform.

Ni heavy metals pekee kama mercury, lead, zinc na nyinginezo ambazo zinaweza kukaa kwa muda mrefu kwenye maji na ardhini hadi kuyeyuka kwenye maji na kudhuru watumiaji wa maji hayo.

Kuhusu formaline na chloroform hizo ni volatile in nature, haziwezi kuishi kwa muda mrefu hewani kwenye joto la kawaida hadi kumfikia mlaji. Yaani huyeyuka kutokana na joto na kuwa gesi hivyo haziwezi kuishi kwenye kiumbe kwa muda mrefu na kusababisha madhara makubwa kiasi hicho.

Kauli ya Makamu ni ya kisiasa wala siyo ya kikemia. Ni kawaida kwa wanasiasa wetu kuleta taharuki kwenye jamii kwa malengo fulani.

Najua kauli hiyo imelenga kuua uchumi wa samaki na kuwabeba wawekezaji wa migodi nchini, kama ile kamati iliyokuja na majibu ya kizembe. Eti kinyesi cha ng'ombe na mkojo ndiyo vilivyosababisha maji ya Mto Mara kuchafuka! Kamati ile na majibu yake ni muendelezo wa siasa chafu kwa wakazi wa Kanda ya Ziwa dhidi ya wamiliki wa migodi wa kanda ile.

Hatujui kauli ya Makamu wa Rais inaspin kitu gani hasa wakati huu wa maumivu ya Tozo, lakini sisi kama wasomi wa kemia hatuwezi kukubali taaluma yetu kudharaulika kisiasa!
Nawe pia ni wale wale kasoro tarehe tu!

Formaline na chlorofoam zihifadhie samaki halafu mlaji asipate madhara kweli!

Ukisikia wasomi vihiyo na wewe ni mmojawapo.

Kilichoongelewa si zebaki wala dhahabu hapa ni formaline kuhifadhia samaki!

La zebaki na dhahabu lifungulie uzi wake kueleza madhara yake, lakini si hili la maji taka na kemikal za kuhifadhia maiti.

Akili za hovyo kabisa hizi!
 
Ni mgeni wa sekta ya madini,na anaongelea issue ya madini kwa mtazamo hasi sana, wawekezaji wote wakubwa na medium scale hutumia leaching methods ku process gold na ni Sodium Cyanide ndio hutumika zaidi as the most common chemical reagent (lixiviant) na sio Mercury as you claimed.

Kingine moja ya legal requirement kwa processing plant ni kuwa na Tailing Storage facility (Tsf) ambalo ni bwawa kwa ajili ya kuhifadhia taka za mgodini (including chemicals), hakuna mahali unaweza ona chemicals zinasambaa ovyo kwenda ziwani.
Unauhakika na unalolisema..umesahau kuna underground water contamination.

#MaendeleoHayanaChama
 
Hakuna mgodi mkubwa unayotumia mercury kuchakata madini. Inaonekana mwandishi na wewe unapengo ubongoni.

Mercury wanatumia watanzania na vimigodi vyetu vidogovidogo vingi.

Kule wanatumia Cyanide zaidi.
Sawa wanatumia cyanide..je hiyo cyanide haina madhara kwa afya za viumbe hai??

Msipotoshe..hizo kemikali zote na hatari sana kwa binadamu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom