Chanzo cha Saratani Kanda ya Ziwa ni majitaka yenye Zebaki (Mercury)kutoka migodini siyo maji ya maiti!

Chanzo cha Saratani Kanda ya Ziwa ni majitaka yenye Zebaki (Mercury)kutoka migodini siyo maji ya maiti!

Unauhakika na unalolisema..umesahau kuna underground water contamination.

#MaendeleoHayanaChama
Mkuu unafahamu vyema ujenzi wa tsf...baada ya bwawa kujengwa chini hutandazwa liners(kama carpet gumu sana) lenye ubora wa hali ya juu in terms of GSM,there is a very low possibility ya underground contamination.

Lakini kitu cha pili kabla hujaruhusu material kwenda tsf concentration ya cyanide hupimwa na kama imezidi kiwango (above 50ppm) bas material hayo hufanyiwa dilution kabla ya kua disposed tsf
 
S
Nimesema heavy metals Sio lazima iwe mercury PEKEE hata lead inaweza,hata cyanide pia!!

Go back to school boy!!!
Turudi hapa, tukubaliane hapa cyanide sio heavy metal...lakini kingine Sodium au potassium cyanide ni very soluble in water na one of the products iki react under acidic conditions (PH below 7) ni HCN ambayo ni highly volatile.

Juu hapo umetuambia kitu kikiwa volatile hakina madhara kiivo are you sure mtaalamu wetu??.
 
Chanzo cha kansa ni heavy metal zinazo toka migodini samaki wana digest na binadam anakula kula samaki zenye heavy metal mwisho wa siku ni kansa mwanzo mwisho niliogopa watu elfu 70 kila mwaka wanatibiwa kansa wanatoka kanda ya ziwa, makamo alipotosha kwakweli

Sasa Kama Makamu wa rais anapotisha nani atasema ukweli?
 
Wewe nawe ni mtupu kwenye sekta ya madini. Ni mgodi gani wa mwekezaji unaotumia mercury? Kama hujui, hakuna mgodi hata mmoja wa wawekezaji unaotumia mercury.

Mercury hutumika, tena kwa kiasi kidogosana, na wachimbaji wadogo.
Kanda ya ziwa ni mineralized land ,na asilimia kubwa wananchi wanategemea uchimbaji wa madini (small scale miners) na hawa ndio mara zote hutumia mercury katika kukamatisha dhahabu
 
Formalin nimewahi kuisikia kua mbali na kutumika kuhifadhia maiti,huwa inatumika pia kuhifadhia samaki,hivyo mwisho wa siku huleta madhara kwa mtumiaji wa samaki,kwa kumsababishia upofu n.k.
Ni kweli inatumika lakini ni kwa viwango vinavyokubalika.

Mfano, Marekani waliwatahadharisha wananchi wake kuepukana na samaki wa kutoka nje sababu tafiti zao zilibaini kuwa samaki hao wana kiwango kikubwa cha formalin.
 
Hakuna mgodi mkubwa unayotumia mercury kuchakata madini. Inaonekana mwandishi na wewe unapengo ubongoni.

Mercury wanatumia watanzania na vimigodi vyetu vidogovidogo vingi.

Kule wanatumia Cyanide zaidi.
MKUU cyanide ni poisonous in nature hasa Ili react na heavy metals yoyote ile kama mercury ii cyanide ambayo ikiyeyuka kwenye maji ni most toxic KWA watumiaji!!

Cyanide kama cyanide ni poisonous kama iki react na heavy metals na kuyeyuka kwenye maji Basi watumiaji wa maji hayo wapo kwenye risk ya cancer!!
 
Kuhusu dawa za kuhifadhia maiti kutumika kuhifadhi vitoweo ikiwemo nyama na samaki hata Uganda mwaka jana uliwaka moto kwa wafanyabiashara wa hivyo vitu ni kweli wanatumia.
 
Nawe pia ni wale wale kasoro tarehe tu!

Formaline na chlorofoam zihifadhie samaki halafu mlaji asipate madhara kweli!

Ukisikia wasomi vihiyo na wewe ni mmojawapo.

Kilichoongelewa si zebaki wala dhahabu hapa ni formaline kuhifadhia samaki!

La zebaki na dhahabu lifungulie uzi wake kueleza madhara yake, lakini si hili la maji taka na kemikal za kuhifadhia maiti.

Akili za hovyo kabisa hizi!
Hoja ni maji ya maiti!je Yana impact kwenye kuhifadhi samaki!!?

Wataalamu wa mochwari wanasema maji ya maiti ninya kawaida tu yanatumia sabuni za kawaida tu hayawezi kuhifadhi samaki!!?

Kwanini ahusishe na maji ya maiti!!?

Kama lengo ni kuelezea saratani angekuwa specific kabisa Kuwa chemicals zote za kuhifadhia samaki zinasababisha kansa na sio maji ya maiti!!

Kama ni kweli kemikali za formaline na chloroform zinasababisha Basi saratani ingesambaa nchi nzima na sio kanda ya ziwa pekee!!kama kanda hii imeathirika Basi kuna tatizo jingine sio samaki PEKEE!!!

Kama ni samaki hata mimi wa mkoani ninaekula sangara KWA kununua ningekuwa KWENYE risk ya kansa!!

Nadhani umenipata!!
 
MKUU cyanide ni poisonous in nature hasa Ili react na heavy metals yoyote ile kama mercury ii cyanide ambayo ikiyeyuka kwenye maji ni most toxic KWA watumiaji!!

Cyanide kama cyanide ni poisonous kama iki react na heavy metals na kuyeyuka kwenye maji Basi watumiaji wa maji hayo wapo kwenye risk ya cancer!!
Cynide Kwa theory ninayoijua Mimi ni off it react with hydrogen ya kwenye hewa inatengeneza hcn ambayo ni hewa yenye uwezo wa kuua ndani ya sekunde. Risk yake kwenye solid au liquid form sijawahi kusoma hiyo theory na hiyo threat sijawahi kuisikia

Maana hata miogo Ina Cyanide na Sugar pia lakini form yake chemical ly Haina effects hata hivyo mleta Uzi analalamikia heavy metal ambayo huleta hata ugonjwa wa akili sio Kansas tu (minamata disease).

Heavy metal sijawahi kuisikia katika migodi Ile mikubwa na sidhani hata Kwa wachimbaji wadogo wanavibali kutumia.
 
Cynide Kwa theory ninayoijua Mimi ni off it react with hydrogen ya kwenye hewa inatengeneza hcn ambayo ni hewa yenye uwezo wa kuua ndani ya sekunde. Risk yake kwenye solid au liquid form sijawahi kusoma hiyo theory na hiyo threat sijawahi kuisikia

Maana hata miogo Ina Cyanide na Sugar pia lakini form yake chemical ly Haina effects hata hivyo mleta Uzi analalamikia heavy metal ambayo huleta hata ugonjwa wa akili sio Kansas tu (minamata disease).

Heavy metal sijawahi kuisikia katika migodi Ile mikubwa na sidhani hata Kwa wachimbaji wadogo wanavibali kutumia.
Nasikia migodi midogo midogo ya wachimbaji wadogo wadogo wanatumia mercury!what if HIZO mercury zikaenda kureact na cyanide wanayoitumia migodi mikubwa kwa mfumo wa NACN Na kupata HgCN hii compound haiwezi kuwa na effect ikiwa kwenye MAJI!?
 
Back
Top Bottom