Chanzo Cha Umaskini Tanzania hiki Hapa. Deep State kazi kwenu

Chanzo Cha Umaskini Tanzania hiki Hapa. Deep State kazi kwenu

uoga wako ndio chanzo cha umaskini wako [emoji205]

acha uvivu, ongeza bidii ya kazi, uskate tamaa na Mungu Mwenyezi atakufanyia wepesi na, atakuonyesha njia [emoji205]
Kwasababu nimemtag, chawa mwenzako "choiceviable" basi acha nikureserve, lakini kwa hakika tumieni akili kwenye arguments za msingi.
 
Hakuna mwafrika anaeweza mletea maendeleo mwafrika mwenzake ipo Africa nzima.
Kosa kubwa ni kudai Uhuru hapa tulibugi.
 
Kwasababu nimemtag, chawa mwenzako "choiceviable" basi acha nikureserve, lakini kwa hakika tumieni akili kwenye arguments za msingi.
endelea kusita, endelea kuona haya, endelea kuona aibu, endelea kuchagua kazi, endelea kuishi nyumbani kwa wazaz, endelea kujifungia magetoni i 🐒

I can assurez you without fear of contradictions kwamba hutoboi, utaishia kulalamika tyuu 🐒

and ofcoz not only you, it is for entire publics 🐒
 
Hata kama ni kada na unatetea chama fulani, tufikiri kwa kutumia akili. Siyo kila kitu ni ushabiki. Chukulia mf. majimbo ya uchaguzi kule Zanzibar mengine hayalingani na kata moja huku bara. Kuendelea kugawa nchi ktk sehemu ndogo za kiutawala ni kuwabebesha mzigo walipa kodi. Ni huduma zipi zimeathiriwa na ongezeko la watu au ukubwa wa maeneo ya kiutawala tuliyonayo sasa hivi? Nilitegemea baadhi ya majimbo ya uchaguzi yapunguzwe kwasababu kipindi hiki huduma za mawasiliano ikiwemo barabara na simu yameimarika badala yake wanayaongeza kisiasa ili watu fulanifulani wapate ajira.

Kuboresha huduma kwa jamii kunaaitaji miundombinu kwa hizo huduma na wataalam, siyo kuongeza wabungu na Wakuu wa wilaya. Nyie chawa sijuhi hamfikiriagi, kazi yenu ni kutetea hadi ujinga.
Tangu lini uwakilishi wa kibunge ukaleta maendeleo? Acheni porojo zisizo na msingi
 
Deep state wanadili na kuhakikisha cxm inadumu madarakani na sio kuinua uchumi.
Ujasusi wa kiuchumi wanafanya weupe na sio sisi,sisi tuachiwe ujasusi wa mbinu za kuiba kura na sio kuiba fursa.
 
Africa uongozi ni ajira na sio wito.
Thus viongozi wanapita lakini shida ni zilezile tangu uhuru.
 
Najua Chadema mnataka kutumia fursa hii ya mgawanyo Mpya wa Majimbo mkiamini kwamba Kwa kuwa mnaungaa mkono na watu wa Mjini basi mtashinda Majimbo mengi Mijini.

Hii logic yenu Haina maana Kwa sababu mara zote kura za ujumla Huwa mnazidiwa bila kujalisha ni mjini au Vijijini.

Mwisho naweza kukubaliana kwamba Baadhi ya vigezo sio sawa kulingana na huo mfano wa Lisu lakini mazingira ya Tanzania kijiografia ni tofauti sana na huko kwingine.

Kwanza Nchi yetu ni kubwa na Ina mtawanyiko mkubwa wa watu so ukifuata idadi tuu bila vigezo vingine sio sawa kabisa.
Mtawanyiko mkubwa ni hoja finyu kabisa. Kinachozungumzwa ni idadi ya watu ambao mbunge anatakiwa kuwawakilisha Bungeni wala siyo ukubwa wa kipande cha ardhi ambao ndiyo mtawanyiko wenyewe unaousema hapa.

Hoja ya idadi sawa ya watanganyika wanaowakilishwa bungeni ni hoja ya msingi na yenye mantiki. Hii ni hadaa kubwa ambayo ni wajibu wetu kuipinga kwa nguvu zote. CCM ni waongooooooooooo siku zote.
 
Mtawanyiko mkubwa ni hoja finyu kabisa. Kinachozungumzwa ni idadi ya watu ambao mbunge anatakiwa kuwawakilisha Bungeni wala siyo ukubwa wa kipande cha ardhi ambao ndiyo mtawanyiko wenyewe unaousema hapa.

Hoja ya idadi sawa ya watanganyika wanaowakilishwa bungeni ni hoja ya msingi na yenye mantiki. Hii ni hadaa kubwa ambayo ni wajibu wetu kuipinga kwa nguvu zote. CCM ni waongooooooooooo siku zote.
Hiyo ni hoja ya kijinga
 
Mtawanyiko mkubwa ni hoja finyu kabisa. Kinachozungumzwa ni idadi ya watu ambao mbunge anatakiwa kuwawakilisha Bungeni wala siyo ukubwa wa kipande cha ardhi ambao ndiyo mtawanyiko wenyewe unaousema hapa.

Hoja ya idadi sawa ya watanganyika wanaowakilishwa bungeni ni hoja ya msingi na yenye mantiki. Hii ni hadaa kubwa ambayo ni wajibu wetu kuipinga kwa nguvu zote. CCM ni waongooooooooooo siku zote.
Sahihi
 
Deep state wanadili na kuhakikisha cxm inadumu madarakani na sio kuinua uchumi.
Ujasusi wa kiuchumi wanafanya weupe na sio sisi,sisi tuachiwe ujasusi wa mbinu za kuiba kura na sio kuiba fursa.
Bahati Mbaya sana
 
Back
Top Bottom