Chapa gani huifikiria zaidi hata kama hutumii bidhaa zao?

Chapa gani huifikiria zaidi hata kama hutumii bidhaa zao?

Utakuwa unao mpango wa kuimiliki. Vizuri sana. 🤗
Pua yangu inauwezo wa kui-detect hiyo gari kama ipo karibu najua mnyama yupo around hapa.

Nikiiona shingo inakuwa ina unageuka automatcally bila ruhusa yangu mpaka itapopotea ndio shingo itanisikiliza.

Nikiimiliki pale kwenye Plate nitaandika ELENEST jina langu harisi hilo.
 
Nimewaza Sana... Leo nimenunua mafuta ya Sundrop ya Alizeti..Ni mazuri... Lengo lilikuwa kununua Lita moja...ila zimeadimika... nikanunue tatu...

Sundrop mafuta ya Alizetu...ndo Chapa ilokuja kichwani[emoji29]

Kuhusumu Simu...Sina aina Simu naifikiria..hata nikiwaona wenye iPhone Roho hainishtuki.... Wala sijali
Kuna Sunbelt hutojuta
 
Pua yangu inauwezo wa kui-detect hiyo gari kama ipo karibu najua mnyama yupo around hapa.

Nikiiona shingo inakuwa ina unageuka automatcally bila ruhusa yangu mpaka itapopotea ndio shingo itanisikiliza.

Nikiimiliki pale kwenye Plate nitaandika ELENEST jina langu harisi hilo.
Dah! Nimecheka sana mkuu, jitume kwa kadri utaweza kuwa nayo. Hakuna kinachoshindikana weka nadhiri.
 
#WeNeedPayPal #TunatakaPayPal #TufunguliePayPal
Hakika! Mpaka kilio chetu kisikike. Popote pale uwapo ofisini, nyumbani, mtandaoni, barabarani ni #WeNeedPayPal #TunatakaPayPal #TufunguliePayPal
 
Kuna Sunbelt hutojuta
Nimeyaona Mengi..sijui ikraam...namengine...Ila naona Sundrop ndo ilikua. Kichwani..coz mafuta ya Alizeti yalia adimika..nikaenda kupima Yale ya kwanzia hero nikapewa futa la alezi Jeusiiii.... Nikaona Sundrop ya ya litamoja... Nikaona inavyo nga'aaa...nikachana na Yale meusi...nikanunue Sundrop
 
Back
Top Bottom