Chapa gani huifikiria zaidi hata kama hutumii bidhaa zao?

Utakuwa unao mpango wa kuimiliki. Vizuri sana. 🤗
Pua yangu inauwezo wa kui-detect hiyo gari kama ipo karibu najua mnyama yupo around hapa.

Nikiiona shingo inakuwa ina unageuka automatcally bila ruhusa yangu mpaka itapopotea ndio shingo itanisikiliza.

Nikiimiliki pale kwenye Plate nitaandika ELENEST jina langu harisi hilo.
 
Kuna Sunbelt hutojuta
 
Dah! Nimecheka sana mkuu, jitume kwa kadri utaweza kuwa nayo. Hakuna kinachoshindikana weka nadhiri.
 
#WeNeedPayPal #TunatakaPayPal #TufunguliePayPal
Hakika! Mpaka kilio chetu kisikike. Popote pale uwapo ofisini, nyumbani, mtandaoni, barabarani ni #WeNeedPayPal #TunatakaPayPal #TufunguliePayPal
 
Kuna Sunbelt hutojuta
Nimeyaona Mengi..sijui ikraam...namengine...Ila naona Sundrop ndo ilikua. Kichwani..coz mafuta ya Alizeti yalia adimika..nikaenda kupima Yale ya kwanzia hero nikapewa futa la alezi Jeusiiii.... Nikaona Sundrop ya ya litamoja... Nikaona inavyo nga'aaa...nikachana na Yale meusi...nikanunue Sundrop
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…