Latimore Mimo wangeci
JF-Expert Member
- Feb 1, 2019
- 898
- 1,081
haha kenya tunapenda watu you welcome broHiyo basic ina include neno "anasa" ambalo wewe kwa kutokujua kiswahili basic limekupiga chenga. Ofcoz kila mtu anataka kuja Kenya kwa sababu unemployment rate iko chini, hamna issues za kigaidi, vivutio vingi vya kitalii including Mt Kilimanjaro, amani na political stability, chakula cha kutosha, madini na ardhi kubwa yenye kustawisha kila aina ya mimea... the list is endless. Ata mimi nina ongeza ujuzi wa lugha ya Kiswahili ili nije Kenya niweze kuwasiliana na wewe [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Eeh ni hizo,umesahau waruSasa wewe mkamba mkikuyu mbona unakaa hivyo? Ama ni kabegi na maembe yenye unakula Kwa wingi?[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
kam unifunze swahili sanifu na mii nikufunze yetu hahaha inboxUshaanza kutuambukiza kikenya, yaani nikisoma bango lako nalisoma kikenya kenya ndo nakupata...aku nakuelenya enye nasema
Sent using Jamii Forums mobile app
haha i agree na wewe but hio part ya mwisho ni lie,coast chics wanapenda watu kutoka nairobi coz if our swahili na pia kuna dhana kuwa watu watown ni wajanja na oia wanapesa n btw huko coast kumejaa kamba na jaluos na pia few kyuks so hakuna big deal,ukiwa mombasa na umetoka nairobi,immediately unakuwa famous kwa hio mtaaSizani kama kuna Mtz kutoka moyoni anaweza kumwona mkenya yuko chini kwa kua hajui Kiswahili! ila anaeweza mtania tu. Wa Tz kitu ambacho nicha kushangaza tunaweza chekana kwa kutojua kizungu ila siyo Kiswahili. Mabalozi kutoka karibu nchi zote siku hizi wana jifunza Kiswahili au wanakuja tayari wanakijua. Kwenye functions huwa wana toa hotuba kwa kusoma Kiswahili, wanakosea sana ila watu huwa hawa wezi cheka. Mimi sijawahi ona mtu akichekwa kisa hajui Kiswahili hiyo siyo desturi ya wa Tz, uliza wakenya wenzako walio wahi kuja Tz. Ila nachojua mimi Wakenya wa pwani wana wacheka wakenya wa Bara wakiongea Kiswahili ambacho hakijanyooka. Mademu wa pwani ya Kenya kama hujui Kiswahili vizuri unakua umejishushia marks hili nina ushahidi nalo.
Sent using Jamii Forums mobile app
kunao wengi,kuna time kulikuwa na debate about how kenyans hawajui swahili na enyewe mulituingilia tu sana broSizani kama kuna Mtz kutoka moyoni anaweza kumwona mkenya yuko chini kwa kua hajui Kiswahili! ila anaeweza mtania tu. Wa Tz kitu ambacho nicha kushangaza tunaweza chekana kwa kutojua kizungu ila siyo Kiswahili. Mabalozi kutoka karibu nchi zote siku hizi wana jifunza Kiswahili au wanakuja tayari wanakijua. Kwenye functions huwa wana toa hotuba kwa kusoma Kiswahili, wanakosea sana ila watu huwa hawa wezi cheka. Mimi sijawahi ona mtu akichekwa kisa hajui Kiswahili hiyo siyo desturi ya wa Tz, uliza wakenya wenzako walio wahi kuja Tz. Ila nachojua mimi Wakenya wa pwani wana wacheka wakenya wa Bara wakiongea Kiswahili ambacho hakijanyooka. Mademu wa pwani ya Kenya kama hujui Kiswahili vizuri unakua umejishushia marks hili nina ushahidi nalo.
Sent using Jamii Forums mobile app
haha imagine huyu msee sijui waluo walimfanyia?ama mjaluo alikuja huko Tz then akachukua bibi yako ndo maana unaongea mbaya sana kuwahusu,unabahati hii staff si kenyan we tunge ku track then ushikwe ufinywe makende[emoji1] [emoji1]There is nothing like jakadala .... you are just a tribal hatemonger!!! Watu wanaongea kuhusu chapo wewe unaleta your tribal rhetoric!!!
bro karibu kenyaIssue sio kiswanglish ila ni viunganishi kwenye sentensi...enye, iko...nk ndo utamu wa lafudhi ya wakenya. I like it
Mi hupenda kuangalia tamthilia za wakenya ili nisikie ladha ya lugha tu
Sent using Jamii Forums mobile app
ni fact he is tribal sanaWhatever floats your boat!!! I have written you off as a tribalist.
Hivi huna cha kuandika?????? Kenya imegawanyika kuna mwambao wa pwani ambapo sherehe zao zinaambatana na aina ya vyakula ambavyo nina uhakika hata wabongo wengi ukiondoa Tanga na Unguja hawavifahamu. Kwenye mikoa ya kati hasa Nairobi, inategemea unaenda kwenye sherehe ya aina gani kwani kwa wenye nazo hasa Nbi siku hizi kuna vyakula vya ki thai na vyenginevyo ambavyo hata huku kwetu ni nadra sana kuviona kwenye sherehe. Mikoa ya Magharibi, wengi wao ni wale wanaotukuza vyakula vya mila zao pamoja na pilau,chapatii, maandasi kwa kuku/nyama karanga.Nimeshuhudia kwenye maharusi mengi ya Kenya,chapati ni sehemu ya chakula chao cha anasa sana wakati tz chapati zinauzwa kila kona kwa bei chee tu.
Hii ikoje wakenya???
haha same nashanga jakadala tena,this guy ametupa tu mbao tu sana,aende akalaleAkuna jakadala na wewe...plus I come from Nyanza migori county kwa border ya kenya na tz so kiswahili tunaitambua vizuri tunaeza ongea both dialects ya kenya na ya TZ.I prefer kenyan one, jakadala was a hoax
hate speech,hio uliona wapi bro?Hawa jamaa wanachanganya mpaka unahisi kutapika watakupa wali wameeka dagaa , maharage na njegere pia eti ule.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mi naona ingekuwa nasty lakini mujitahidi juu muongee vile proper Swahili inataka siyo kukakaa kwa kochi kisha useme sijui swahili ilianzia Kenya wakati wajua kabisa hii mambo ya Swahili home kwake ni Tz hahahaaaaThats what i grew up listening too ,nikama kulaumu mzungu kuongea kizungu na alizaliwa akapata wakiongea ivyo,so pia si kenyan tulizaliwa na tukapata hio 'vilugha' as you call it,n i thank God coz its a good language and it makea me kenyan,coz nikikam Tz watajua immediately am not Tanzanian atleast hio lugha ilileta diffrence yetu na yenu,imagine ka mtu hangeweza juwa diffrence ya mkenya na mtanzania?ingekuwa nasty
Nitakufunza neno la Kiswahili la waru,waru ni kikikuyu sijui ila Kiswahili ni mbatata.Eeh ni hizo,umesahau waru
haha siezi kataa mko poa swah hapo no debate,lakini afadhali sisi acceny yetu ya swahiki huwa poa,bro ushaiskia m Congo akibonga kiswahili?afadhali sisi utashinda ukicheka broHata mi naona ingekuwa nasty lakini mujitahidi juu muongee vile proper Swahili inataka siyo kukakaa kwa kochi kisha useme sijui swahili ilianzia Kenya wakati wajua kabisa hii mambo ya Swahili home kwake ni Tz hahahaaaa
Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
We kilaza vipi? Kiswahili home kwake Tanzania vipi?Hata mi naona ingekuwa nasty lakini mujitahidi juu muongee vile proper Swahili inataka siyo kukakaa kwa kochi kisha useme sijui swahili ilianzia Kenya wakati wajua kabisa hii mambo ya Swahili home kwake ni Tz hahahaaaa
Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
sawa mswahili nime mark hio,mbatata ni waruNitakufunza neno la Kiswahili la waru,waru ni kikikuyu sijui ila Kiswahili ni mbatata.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa wewe ni mkenya usijilinganishe na mcongo , chimbuko la Kiswahili ni Kenya na Tanzania litakua Jambo la aibu ujilinganishe na mcongo wakati anajifunza kutoka kwako ,haha siezi kataa mko poa swah hapo no debate,lakini afadhali sisi acceny yetu ya swahiki huwa poa,bro ushaiskia m Congo akibonga kiswahili?afadhali sisi utashinda ukicheka bro
Tembea hii dunia ni kubwa usijifungie sehemu moja ukadhani unajua.hate speech,hio uliona wapi bro?
Totally agree i just cant see the relationship between the tribal hate nigga is spewing here na chapati!!!ni fact he is tribal sana
ilikua story ya kutisha watu my maternal side wanatoka karibu na macalder mines so I pass there sometimes.ulikua unasemekana ugonjwa huo upo Migori mjini baada ya msanii fulani aitwae jakadala alikuja kuigiza huko ndipo uvumi huo ukasambaa na ulithibitishwa na wizara ya afya kua haupo.lakini watu walitulia sana wakati huo aisee.lakini si uongo ile sekete iko uko mines si mchezo kwanza hao wake za watu thats why HIV prevalence is high ukoKule Kwa migodi iliisha? Unajua wewe upo upande wa sirare,jaribu kule Kwa akina junet. Bado ipo ,watu hawali bata kama ilivyo desturi ya watu wa migori. Wakuria kule kwenu kupo Sawa.
Sent using Jamii Forums mobile app