Chapati ni chakula cha anasa kenya?

Chapati ni chakula cha anasa kenya?

No Kenyan knows Swahili? This is really sad. did you say you are from Nairobi? Indigenous wa Nairobi sio makaa kama wewe,sasa wewe mtu wa kariobangi Kiswahili utakijulia wapi,unachokijua nikupiga watu ngeta, unapokuja hapa kusema wakenya hawajui Kiswahili hilo nikuonesha ulivyo mpumbavu tu ila sina muda wako ewe kilava.

Sent using Jamii Forums mobile app
first of all have never been to that place secondly am from donny,and kitu ingine am sure we si mkenya 100% umesema maybe am from nyanza nigga my last names are mumo wangeci ushaiskia mjaka anitwa ivyo,enyewe we si mkenya,ni mdomo tu unapiga sema ushaitembea kenya but we si mkenya,whi doesnt know kenya hawajui swahili,hata sisi huku tunajua TZ wanajua swahili kutuliko no debate hapo
 
Kiswahili ni kiswahili, wewe sema hujui Kiswahili vizuri. Anasa ni neno la Kiswahili lilo rasmi kabisa. Nai Kiswahili kimechezewa na kutokea kwa lugha ambayo ni ya kimtaa. Bahati mbaya itabaki kutumika ki kimtaa (Mostly Wakora na machokoraa) milele kwa sababu haiwezi fundishwa mashuleni wala kutumika kwenye sehemu rasmi. Mimi nimekutana na wakenya wanao jua Kiswahili ila bado utawatambua kwa matamshi yao kwahiyo hoja yako ya kujivunia kuto jua Kiswahili fasaha ili utambulike kuwa ni Mkenya haina mashiko. Ata Tz tunajuana maeneo tunayotoka kwa kusikiliza tu matamshi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwambie, hawa watu ambao wanazaliwa katika kipindi hichi cha magufuli na Uhuru wanajifanya wajuaji ila hamna wanachokielewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiswahili ni kiswahili, wewe sema hujui Kiswahili vizuri. Anasa ni neno la Kiswahili lilo rasmi kabisa. Nai Kiswahili kimechezewa na kutokea kwa lugha ambayo ni ya kimtaa. Bahati mbaya itabaki kutumika ki kimtaa (Mostly Wakora na machokoraa) milele kwa sababu haiwezi fundishwa mashuleni wala kutumika kwenye sehemu rasmi. Mimi nimekutana na wakenya wanao jua Kiswahili ila bado utawatambua kwa matamshi yao kwahiyo hoja yako ya kujivunia kuto jua Kiswahili fasaha ili utambulike kuwa ni Mkenya haina mashiko. Ata Tz tunajuana maeneo tunayotoka kwa kusikiliza tu matamshi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante. Comment nzuri sana hili.
 
Thats what i grew up listening too ,nikama kulaumu mzungu kuongea kizungu na alizaliwa akapata wakiongea ivyo,so pia si kenyan tulizaliwa na tukapata hio 'vilugha' as you call it,n i thank God coz its a good language and it makea me kenyan,coz nikikam Tz watajua immediately am not Tanzanian atleast hio lugha ilileta diffrence yetu na yenu,imagine ka mtu hangeweza juwa diffrence ya mkenya na mtanzania?ingekuwa nasty
Mi hupenda kuskiza kugha ya mkenya, na enjoy matamshi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwambie, hawa watu ambao wanazaliwa katika kipindi hichi cha magufuli na Uhuru wanajifanya wajuaji ila hamna wanachokielewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
peleka utanzanj huko,i hate when pple here act kenyan and its clear to see they not,,,,ww umetoka sijui arusha hivi,and kunashida kuzaliwa time ya kenyatta?juu ww ulizaliwa time ya jomo kenyatta umesaidia nini kenya?
 
hata afunzwe kiswahili atajua tu ile basic yenye kila mkenya anajua and FYI wanajifunza swahili juu wanataka kuja kenya and they know swahili is from kenya and thats why wako eager kusoma and si lazima nijue kiswahili sanifu bro,kenya we have our own swahili
Hiyo basic ina include neno "anasa" ambalo wewe kwa kutokujua kiswahili basic limekupiga chenga. Ofcoz kila mtu anataka kuja Kenya kwa sababu unemployment rate iko chini, hamna issues za kigaidi, vivutio vingi vya kitalii including Mt Kilimanjaro, amani na political stability, chakula cha kutosha, madini na ardhi kubwa yenye kustawisha kila aina ya mimea... the list is endless. Ata mimi nina ongeza ujuzi wa lugha ya Kiswahili ili nije Kenya niweze kuwasiliana na wewe [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom