Charles Darwin 3rd Degree MM aliefanikiwa kuupotosha ulimwengu kwa Illuminati agenda

Charles Darwin 3rd Degree MM aliefanikiwa kuupotosha ulimwengu kwa Illuminati agenda

Umeandika



Unajuaje kwamba resistance ni lazima ije kwa kuongezeka kwa information? Kwa nini isiwezekane kutokea baada ya kupungua kwa information?

Unajuaje kwamba kama kuna strains 100 za arrangement ya information, na tatu zikawa the weak link in the chain, ziko susceptible kwa antibiotics na kusababisha bacteria kufa akikutana na antibiotic, halafu mutation Fulani ikafanya hizo tatu zisiwepo kwa baadhi ya bacteria, na kwa sababu hiyo bacteria hao wakawa wanaweza kuzaliana Zaidi na kufanya next generations za bacteria ziwe na wanaoweza kuwa resistant mpaka population yote ya bacteria hao ikawa resistant?

The rest of the piece argues kwamba kuna bacteria waliogundulika kabla ya antibiotics kugunduliwa wako resistant kwa antibiotics.

Hili linaonyesha kutojua mambo Fulani.

1. Kwamba hata kama antibiotics zimegunduliwa miaka 40 iliyopita, hili halina maana kwamba hazikuwapo kabla ya miaka 88 iliyopita na Professor wa Bacteriology Alexander Fleming wa St. Mary's Hospital London, hilo halina maana kwamba zile naturally occurring chemicals zilizomo katika antibiotics hazikuwapo kabla ya hapo. Ukigundua kwamba mchaichai unatibu pumu na kutengeneza kidonge cha mchaichai hilo haina maana watu hawajawahi kutumia hiyo dawa ya mchaichai kabla ya kidonge kugunduliwa.

2. Hao bacteria waliokutwa wamekutwa katika miili ya watu ambao hawakuwa katika controlled environment, even though they were frozen, that does not mean that the bacteria were not there because of later contamination.

3.Hata kama bacteria walikuwa intact, kupata bacteria wa zamani walio resistant kwa dawa mpya hakumaanishi kwamba bacteria resistant haisababishwi na mutation. Kunaweza kusababisha kwamba kuna namna moja ya bacteria resistant haisababishwi na mutation.

4.Hata kama bacteria walikuwa intact, kupata bacteria wa zamani walio resistant kwa dawa mpya hakumaanishi kwamba bacteria hao hawaja mutate na mutation hizo over the years kusababisha resistance kwa dawa mpya.Utajuaje kama kuna biological arrow of time inayofanya bacteria wa evolve from being less resistant to being more resistant to antibiotics hata kama hawajakutana nazo?

5.Kinachotakiwa kuoneshwa ni kwamba hawa bacteria ambao wanadaiwa kuwa wamekuwa resistsnt to antibiotics, hawajawa resistant kutokana na mutation. Mimi nikisema "Nyumba hii kuna watu wamekunywa pombe kwa muda mrefu, zamani pombe ilikuwa inawalewesha, lakini siku hizi pombe ile ile haiwaleweshi, inabidi mpaka tuwatafutie pombe mpya ili walewe, hawa watu wamekuwa walevi sugu, vichwa vyao vimeweza kuhimili pombe Zaidi" huwezi kuniambia "Hao kuweza kao kuhimili pombe hiyo Zaidi hakutokani na vichwa vyao kuwa sugu kwa sababu kuna watu wengine hawajawahi kunywa pombe tangu wazaliwe na pombe hiyo hiyo haiwaleweshi". Unajuaje kama hao wengine hawajala chakula ambacho kinawafanya wasilewe na hivyo kufanya comparison yako isiwe na maana kwa sababu hailinganishi vinavyolingana?
Unajuaje kwamba resistance ni lazima ije kwa kuongezeka kwa information? Kwa nini isiwezekane kutokea baada ya kupungua kwa information?
Swali hili linaonyesha theory ya evolution na facts around it hujaifanyia homework vizuri.
Ukirudi kuisoma upya utagundua sasa, Mutation/resisitveness ya bacteria haina uhusiano wowote na evolution.
Ili iwe evolution inabidi awe ni bakteria mpya kabisa mwingine. Ni sawa na wewe upate mtoto kutokana na MUTATION azaliwe hana Meno. Maana yake naturally hawezi kuugua ugonjwa wa meno maana hayapo. Mtoto wako akienda kucheza na wenzake wenye meno haimaanishi mtoto wako ni kiumbe kipya. Bakteria kuwa resisitive to abtiobiotics haimaanishi ameundergo evolution,
 
Knowledge is empirical. Surprisingly the weakness of Darwin's theory of evolution is also its strength. We can talk about the flaws of this theory only because there are testable proofs and experiments to dislodge the theory of evolution and that is where its strength emanates. This is contrary to the creation theory which relies on intuition to justify it.
 
Ningewaambia wasome kitabu cha "Sapiens: A Brief History Of Humankind" cha Yuval Noah Harari

Ni kitabu kizuri sana kwa mtu anayetaka kujifunza.Ukitaka kuwa na mengi ya kusema, soma sana, sikiliza sana. Wengine wanataka kusema sana tu, hawasomi, hawasikilizi.

Kwa kila jambo moja unalosema, uwe na mia moja uliyosoma au kusikia.

Nakisoma sasa. Ona zaidi hapa

Kwa wanaojua kiingereza na uwezo wa kusoma wakitafute, tatizo unabishana na wengine hawajui hata Kiingereza na kitabu pekee wanachosoma ni Biblia au Quran.

sapiens-akilucu-673x1024.jpg

Asante mkuu. Nitakisoma.
 
Darwin's excuse is totally ridiculous! Literally hundreds of millions of fossils have been extracted from all fossil-bearing rock strata and none of them are "transitional forms" or missing links--they all obviously belong to a definite species! In fact, it is estimated that over 100,000 different, distinct species of fossils have been found! In which sense the theory has lost all factual remains of it's existence?

Achana na hayo mapichapicha hata mimi naweza kuyabuni mbwa kufanana na simba hakumfanyi kuwa alikua mbwa awali where are the fossils in transitional forms?

Usije ukaniambia hizi chuma za Dr Leakey hapo olduvai.

[emoji107]
 
Mutation yenyewe ni DELETERIOUS, Inasababisha aging, cancer na Infectious deseases. Mutation haiboreshi kiumbe wala kusababisha kiumbe kipya kinachojitegemea. Na hakuna kipya kinachoongezeka badala kupungua kwa kilichokuwepo.
uthibitisho wa evolution kwa kupitia mutation ni outdated version of current scientific findings. Na kama ingekuwa hivyo viumbe wasingekuwepo.

Darwinists claim we evolved from the simplest form of bacterial life to ever more complex forms of life. The most basic bacteria had less than 500 genes; man has over 22 thousand. In order for bacteria to evolve into man, organisms would have to be able to add genes. But there is no genetic mechanism that adds a gene. (Mutations change an existing gene but never add a gene.) This means there is no mechanism for Darwinian Evolution and this is a fatal flaw in the Theory of Evolution.

Uliweza kweli kusoma links nilizokupa? Au imesearch tu "lies of darwin" na kuchukua copy and paste?

ALRIGHT, lets say evolution is damn wrong, how will you explain the origin of species? Whats your paradigm then?

Enlighten me.
 
Unajuaje kwamba resistance ni lazima ije kwa kuongezeka kwa information? Kwa nini isiwezekane kutokea baada ya kupungua kwa information?
Swali hili linaonyesha theory ya evolution na facts around it hujaifanyia homework vizuri.
Ukirudi kuisoma upya utagundua sasa, Mutation/resisitveness ya bacteria haina uhusiano wowote na evolution.
Ili iwe evolution inabidi awe ni bakteria mpya kabisa mwingine. Ni sawa na wewe upate mtoto kutokana na MUTATION azaliwe hana Meno. Maana yake naturally hawezi kuugua ugonjwa wa meno maana hayapo. Mtoto wako akienda kucheza na wenzake wenye meno haimaanishi mtoto wako ni kiumbe kipya. Bakteria kuwa resisitive to abtiobiotics haimaanishi ameundergo evolution,

I will let Berkeley speak for me

Antibiotic resistance: delaying the inevitable

Applying our knowledge of evolution
Evolutionary theory predicted that bacterial resistance would happen. Given time, heredity, and variation, any living organisms (including bacteria) will evolve when a selective pressure (like an antibiotic) is introduced. But evolutionary theory also gives doctors and patients some specific strategies for delaying even more widespread evolution of antibiotic resistance. These strategies include:
 
Kuna kitu kinaitwa CENTRAL DOGMA OF MOLECULAR BIOLOGY(CDMB): kwenye hiyo CDMB kuna DNA, RNA na PROTEIN.Kazi ya DNA ni kutengeneza RNA na kuiwekea formular ya kutengeneza PROTEIN, na kazi ya RNA ni kutengeneza PROTEIN.Kazi ya PROTEIN ni kutengeneza phenotypic features yaani physical body parts of an organism.Kama mazingira yatasababisha mfumo wa DNA ubadilike, ina maana mfumo wa RNA ni lazima utabadilika na mwishowe shape ya PROTEIN lazima itabadilika.Haya mabadiliko yatasababisha phenotypic changes zitokee.Kwa hiyo viumbe wawili wa jamii moja, wanaweza kuwa tofauti kama watawekwa kwenye mazingira tofauti na kuathiriwa nayo.Nia ya Bacteria kubadilika siyo awe kama panya bali aweze kuadapt kwenye mazingira yaliyobadilika.Sasa kama unakubali kuwa kuna mabadiliko ya DNA, yanayoleta mabadiliko ya RNA ambayo yatasababisha mabadiliko ya PROTEIN,...na mabadiliko ya PROTEIN yatasababisha Phenotypic changes yaani kiumbe kuonekana tofauti na jamii ya mwanzo, je wewe huungi mkono Evolution?


Je unaamini hii kitu:

ORIGINAL ORGANISM--->DNA CHANGES--->RNA CHANGES--->PROTEIN CHANGES--->PHENOTYPIC CHANGES--->NEW ORGANISM?
Back to basics za EVOLUTION.


Gene-duplication.png

There is nothing new in Dublication instead a copy of origin gene. According to ancient evolution Theories, we expected a new gene to evolve by itself. Ukichukua Picha yako Ukaitoa copy alafu ukaziunganisha utasema huyo ni dada yako au au utabaki wewe huyo huyo. sema sasa unaonekana katika mfumo tofauti.
Ndio maana nilikwambia Hapa wanalazimisha tu, lakini. Nionyeshe Molecule (SIJUI ILITOKA WAPI) iliwezaje kubadilika kuwa MTU by GENE dublication miaka 100 Millioni iliyopita. Na najua Miaka inakimbizwa huku mbali ili Iachie mwanya wa meaningless assumptions.
Pia Nilikuuliza A BLAND NEW GENE na SIo Combination of a copy of present GEne With same information.
Hii ni sawa na Uji unapokuwa Ugali yote ogininally ni Muunganiko wa MAJI NA UNGA.

Katika case nyingi kwa mwili wa mwanadamu ikitokea dublication, ilapelekea magonjwa na udhaifu, Mfumo huu dhaifu unawezaje kutumika kama ushahidi wa kutengeneza kitu bora kabisa mfano mwanadamu kutoka kwenye single Cell, Kitu ambacho si kweli badala yake Iyo Cell ingekuwa dhaifu na dhaifu hadi kufa sio bora na bora hadi kuwa mtu.
Mfano mzuri kwa binadamu Ni Pale Mtoto anapozaliwa na Three copies of Chormosomes badala ya Mbili kama iliyokawaida na madhala anayopata.

Karibu, Kwa maarifa zaidi
 
Uliweza kweli kusoma links nilizokupa? Au imesearch tu "lies of darwin" na kuchukua copy and paste?

ALRIGHT, lets say evolution is damn wrong, how will you explain the origin of species? Whats your paradigm then?

Enlighten me.
Nimesoma,
Kuhusu Orgin of species Mimi naamini THEY WERE NOT BY CHANCE but BY DESIGN.
Na Pia naungana Mkono kabisa na Modern scientists/baadhi katika hili. baada ya kuangalia sio dunia tu bali UNIVERSE yote, Solar Systems, GAlaxies, The balancing of oxygen and other gases to support living for years on earth etc, Na kugundua it was not by chance to have All these creatures arranged in a interrelated manner, With billions of genes containing trillions of information to support these organisms in adapting different enviroments. A single CEll or molecule cannot grow to Billions of cells with different Fuctions, Amazing communication and interrelation between them haikuwa by chance bali INTELLIGENT DESIGN.
Na hapa ndipo naanzia kufikiri na kuamini Sio njia hiyo ambayo wengi mmeichagua. Na intelligent deigner must be something Supernatural. God the CREATOR OF HEAVEN AND EARTH.
Hapa sitasema sana maana mzizi wa Thead hii ni Huku kwenye Evolution. Nitakuja na THREAD How the universe it self prove it was Created and not EVOLVED nikitumia hata baadhi ya Material unayosomea. Tutajadili pia kwa undani.
 
I will let Berkeley speak for me

Antibiotic resistance: delaying the inevitable

Applying our knowledge of evolution
Evolutionary theory predicted that bacterial resistance would happen. Given time, heredity, and variation, any living organisms (including bacteria) will evolve when a selective pressure (like an antibiotic) is introduced. But evolutionary theory also gives doctors and patients some specific strategies for delaying even more widespread evolution of antibiotic resistance. These strategies include:
If They were able to predict posibility of a romantic Bacteria to be come Resistive na hii mkaiita EVOLUTION.
Kwa nini huyo bakteria asievolve akawa kirusi ili ashindikane kabisa ila anapiga marktime tu hapohapo. Wakati mnatufundisha ni bakteria ndiye aliyebadilika na kuwa mtu. Kwa nini leo awe kama gari lilikwama kwenye matope anazunguka hapohapo.
Unatakiwa usome wewe uelewe alafu uelimishe jamii inayosoma hoja zako. Haina faida kama utasoma kutu utaelewa alafu huwezi kukieleza kwa jamii.
 
If They were able to predict posibility of a romantic Bacteria to be come Resistive na hii mkaiita EVOLUTION.
Kwa nini huyo bakteria asievolve akawa kirusi ili ashindikane kabisa ila anapiga marktime tu hapohapo. Wakati mnatufundisha ni bakteria ndiye aliyebadilika na kuwa mtu. Kwa nini leo awe kama gari lilikwama kwenye matope anazunguka hapohapo.
Unatakiwa usome wewe uelewe alafu uelimishe jamii inayosoma hoja zako. Haina faida kama utasoma kutu utaelewa alafu huwezi kukieleza kwa jamii.

Kwa nini unaipangia evolution unavyotaka wewe bacteria awe kirusi wakati the main idea behind evolution is based on random mutation na natural selection?

Umesoma hiyo habari? Umeelewa kwa nini wanasema "delaying the inevitable"?

Kwa nini unafikiri anapiga mark time hapo hapo wakati process ya kubadilika inatumia mabilioni ya miaka?

Wewe unakuwa kama wale wanaouliza kwa nini hatuoni nyani akibadilika kuwa mtu kama vile evolution inatumia miaka michache wakati inachukua mabilioni ya miaka.

Ni kama vile ubishie continental drift theory kwa kuuliza "kama continents zime drift na zina drift, mbona hatuoni Afrika na South Amerika zikigongana?

Wakati rate ya movement ya continents ni 2 centimeters per year!
 
Kwa nini unaipangia evolution unavyotaka wewe bacteria awe kirusi wakati the main idea behind evolution is based on random mutation na natural selection?

Umesoma hiyo habari? Umeelewa kwa nini wanasema "delaying the inevitable"?

Kwa nini unafikiri anapiga mark time hapo hapo wakati process ya kubadilika inatumia mabilioni ya miaka?

Wewe unakuwa kama wale wanaouliza kwa nini hatuoni nyani akibadilika kuwa mtu kama vile evolution inatumia miaka michache wakati inachukua mabilioni ya miaka.

Ni kama vile ubishie continental drift theory kwa kuuliza "kama continents zime drift na zina drift, mbona hatuoni Afrika na South Amerika zikigongana?

Wakati rate ya movement ya continents ni 2 centimeters per year!
kwa hiyo mnatumia miaka millioni ngapi kutengeneza antibiotic mpya kama na yeye anachukua miaka million kubadilika ili awe ressistive(If resitiveness is due to evolution). Ukiendelea mbele utachanganyikiwa mkuu hawa jamaa wakajisifu wamefanikiwa project yao.
System yenyewe ya kuthibitisha hizo miaka million mnazojivunia assumptions zake zina zinamapungufu mamillion, nikiweka hapa utashangaa japo ni grobally acceptable maana evolutionists wako kila kona.
 
kwa hiyo mnatumia miaka millioni ngapi kutengeneza antibiotic mpya kama na yeye anachukua miaka million kubadilika ili awe ressistive(If ressitiveness id due to evolution). Ukiendelea mbele utachanganyikiwa mkuu hawa jamaa wakajisifu wamefanikiwa project yao.
System yenyewe ya kuthibitisha hizo miaka million mnazojivunia assumptions zake zina zinamapungufu mamillion, nikiweka hapa utashangaa japo ni grobally acceptable maana evolutionists wako kila kona.
Unauliza swali halafu unajijibu mwenyewe au unataka nikujibu mimi?

Kitu gani hakina mapungufu dunia hii?
 
Back to basics za EVOLUTION.


Gene-duplication.png

There is nothing new in Dublication instead a copy of origin gene. According to ancient evolution Theories, we expected a new gene to evolve by itself. Ukichukua Picha yako Ukaitoa copy alafu ukaziunganisha utasema huyo ni dada yako au au utabaki wewe huyo huyo. sema sasa unaonekana katika mfumo tofauti.
Ndio maana nilikwambia Hapa wanalazimisha tu, lakini. Nionyeshe Molecule (SIJUI ILITOKA WAPI) iliwezaje kubadilika kuwa MTU by GENE dublication miaka 100 Millioni iliyopita. Na najua Miaka inakimbizwa huku mbali ili Iachie mwanya wa meaningless assumptions.
Pia Nilikuuliza A BLAND NEW GENE na SIo Combination of a copy of present GEne With same information.
Hii ni sawa na Uji unapokuwa Ugali yote ogininally ni Muunganiko wa MAJI NA UNGA.

Katika case nyingi kwa mwili wa mwanadamu ikitokea dublication, ilapelekea magonjwa na udhaifu, Mfumo huu dhaifu unawezaje kutumika kama ushahidi wa kutengeneza kitu bora kabisa mfano mwanadamu kutoka kwenye single Cell, Kitu ambacho si kweli badala yake Iyo Cell ingekuwa dhaifu na dhaifu hadi kufa sio bora na bora hadi kuwa mtu.
Mfano mzuri kwa binadamu Ni Pale Mtoto anapozaliwa na Three copies of Chormosomes badala ya Mbili kama iliyokawaida na madhala anayopata.

Karibu, Kwa maarifa zaidi

Umepewa mfano mzuri wa bacteria, ungeuelewa kwanza kujibu hayo maswali yako.

Pia tukumbuke evolution sio theory inayoelezea origin of life bali inaelezea kuhusu origin of species. Origin of life hiyo ni mada nyingine na sio maelezo ya evolution. Evolution inaelezea how species zinapotokea na jinsi mabadiliko katika viumbe inasababishwaje.

[emoji837]Nimekuomba utupatie theory yako juu ya asili ya viumbe na jinsi mageuzi yalivyo.
 
Eti molecule inachukua miaka bilioni kubadilika kuwa kitu fulani kwahyo unataka tuendelee kuamini miungu yenu michafu hata tunapokufa huku tukiwa na tumaini feki kuwa ipo siku baada ya miaka bilioni moja binadamu atabadilika kuwa kiumbe kingine! acheni udanganyifu na Darwinism yenu, kwanza hiyo molecule hadi kutokea na kusogea hadi kwenye maji ya bahari, je ni nguvu gani zilipelekea kuibuka kwake na kusogea hadi baharini na sio sehemu nyingine? Je hayo maji ya bahari yalitokea wapi au yaliumbwa na nani? Na kwanini hayo maji ya bahari yalikuwa na mipaka, je nani aliyawekea hiyo mipaka ya kuyazuia kusogea nchi kavu? Kitu gani kilipelekea hiyo molecule kuibukia nchi kavu na sio baharini moja kwa moja? Usiniambie yalitokea by chance! Tafakari Chukua hatua MUNGU MUUMBAJI NDIYE MUUMBAJI WETU, angalia usifungwe na dhana ya kishetani yaani Darwinism.
 
Huo ni ukweli uliopo wazi inawezekana vipi mwanadamu atokane na nyani alafu DNA zao ziwe tofauti hata hazina chembe ya uwiiano kila kiumbe vinasaba vyake vinatofautiana.

Lakini huyu Freemason anasema wanyama woote wametoka baharini hata tembo naye zamani alikua konono[emoji15] [emoji15]
Ninachofahamu mimi ni kwamba binadamu na hao nyani walikuwa na common ancestor... Hii habari ya binadamu kutokana na nyani sijui huwa mnaitoa wapi??
 
Mkuu Kiranga hapo umewauwa...Kila kiumbe kinabadilika kulingana na mazingira, mfano bacteria na viruses (lower organisms) wanafanya evolution ya haraka kuliko binadamu(higher organisms).Ndio maana kuna aina ( strains) mbali mbali za hawa bacteria na viruses.Angali kitu kama HIV, kuna aina mbali mbali wa HIV, zamani kulikuwa na aina moja(Possibly) ya huyu kirusi lakini kutokana na kubadilika kwa mazingira anayoishi, DNA zake hubadilika(Evolution) ili aweze kuadapt kwenye mazingira mapya.....Kama mtu anasumbuliwa na ugonjwa unaosababishwa na bacteria au virus flani na kutumia dawa, kuna uwezekano wa yule mdudu kujibadili ili aweze kuishi kwenye mazingira yaliyobadilika(baada ya kutumia dawa) na hivyo kumlazimu mgonjwa kutumia dawa nyingine.Hii ndio sababu ya ugonjwa mmoja kuwa na dawa zaidi ya moja.


Lakini kwa kuwa hawa wafia dini wana viazi mbatata juu ya shingo, subiri kupewa jibu lililo nje ya swali au kuulizwa swali lililo nje ya mada.
Kwa kupigwa kwake sisi tumepona, yeye aliyachukua magonjwa yetu. Kwa mungu wa Ibrahim, Isack, na yakobo hakuna ukimw
 
Back
Top Bottom