Charles Darwin 3rd Degree MM aliefanikiwa kuupotosha ulimwengu kwa Illuminati agenda



Charles Darwin, Friedrich Nietzsche na Rockefeller hawakuwa wayahudi ama kwa asili ama kuadopt uyahudi. Ili hii story inoge hebu leta ushahidi kuwa hao watu walikuwa Wayahudi kwanza
 
kuna watu humu ndani wana DNA za Faru John
 
Kwanza avatar tu yenyewe ni ya Kiranga pili aina yako ya reply kwa kuuliza maswali badala ya kutoa majibu tatu Imani yenu ya atheism nne kufikiria kwamba kuhoji uwepo wa Mungu ndio kuwa na akili nyingi sana.

Wapo wenye michango mikubwa hapa duniani waliomwamini Mungu lakini hata kama wasingekaa wamwamini Mungu wasingefanya uwepo wa Mungu kutetereka kwa namna yeyote iwayo.

Here is a quick list of Christians who were famous scientists or scientific thinkers:
  1. William Ockham
  2. Francis Bacon
  3. J Kepler
  4. Rene Decartes
  5. Blaise Pascal
  6. Robert Boyle
  7. Gottfried Leibniz
  8. Issac Newton
  9. Carlolus Linneas
  10. Daniel Bernoulli
  11. Louis Pasteur
  12. Lord Kelvin
  13. George Washington Carver
  14. William Henry Bragg
  15. Robert Millikan
  16. John Boyd Orr
  17. Agnes Gilberne
  18. John Eccles
  19. Max Plank
  20. John Polkinghorne
 
MKUU UNGEANDIKA KWA LUGHA MOJA MBONA UNGEELEWEKA TU,KULIKO KUCHANGANYA MALUGHA HAPA,YANI KWA HILO PAMOJA NA ANDIKO LAKO KUWA ZURI UMECHEMKA NA KUTOKOTA KABISA
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] Eti kiazi kitamu, na hivyo viroboto mbona hawaendelei kuwa binadamu!!!
 
MKUU UNGEANDIKA KWA LUGHA MOJA MBONA UNGEELEWEKA TU,KULIKO KUCHANGANYA MALUGHA HAPA,YANI KWA HILO PAMOJA NA ANDIKO LAKO KUWA ZURI UMECHEMKA NA KUTOKOTA KABISA
 
Umekosea kila kitu....Eti avatar ni ya Kiranga, kwahiyo Dunia ni ya Kiranga?
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] Eti kiazi kitamu, na hivyo viroboto mbona hawaendelei kuwa binadamu!!!
Hapo sasa waulize hawa mazombie wanaoamini hizi hekaya kama wana jibu lolote zaidi ya pumba lori
 
Niliwahi kumuuliza mwalimu wa history inakuaje tena manyani hayageuki na kuwa binadamu alishindwa kujibu wote tukaangua kicheko.

Ajabu upuuzi huu bado unafundishwa tuu.
Hilo swali ili mwalimu wa history alijibu inatakiwa awe deep pia kwenye biology(science) kitu ambacho ni ngumu, na tatizo ni kurelay ktk source moja tu. Elimu yetu tunasoma na kukariri ili kujibia mitihani tu, sio kutafakari.
 
Hivi wewe si ndiye yule uliyefanya utafiti wa miaka 16 kugundua makazi ya Mungu?
Kama ni hivyo nitakuwa napoteza energy bure kulumbana na wewe.
Ndio Mimi naamini hata wewe kwa kuwa hauna hekima kujua Ukweli wa Mungu utatoweka kama mwenzio Kiranga
Umekosa hekima huwezi kuwa na utashi
 
Hauna hoja za kushindana na Mimi bora umekubali kushindwa.
 
We hili jambo umedhihirisha kuwa hulielewi,
Kumbe unajua kitu kinahitaji proof eeh?....sasa ni nani aliyethibitisha uwepo wa Mungu?
You are much know on earthly things, am trying to let you know heavenly things, only by faith you can believe on
 
Aisee vipi mbona viroboto hawaoti miguu siku hizi au hawapati virutubisho natural?
Evolution[changes] ni moja kati ya tabia za viumbe hai.
Ni kama zilivyo excretion, growth ama Mvt.
Tofauti na tabia nyingine, evolution inakuwa influenced by environmental changes, viumbe hawabadiliki bila sababu bali ili waendane na mazingira yaliyobadilika.

Mabadiliko ya kimazingira yanatokea kwa kasi ndogo mno kana kwamba ni vigumu kugundua hayo mabadiliko kwa muda mfupi.Vivyo hivyo mabadiliko ya viumbe hai yanatokea kwa kasi ndogo pia.
Hata hivyo, evolution inatazamwa kama nadharia, ndiyo maana evolutionists wanakusanya ushahidi kila wakati.
Kitu kingine, viumbe wanapobadilika hawabadiliki intentionally kuwa form watakayokuwa bali kuwa katika form yenye features zitakazo wawezesha ku-cope na namna ambavyo mazingira yamebadilika.

Kinachonishangaza ni jinsi ambavyo wafia dini mnavyoichukulia evolution kama counterattack ya creationism na kuipinga kwa kusema ni mpango wa Shetani badala ya kuichukulia kama research question kujua kama lisemwalo ni kweli ama lah!.Siwezi kuwalaumu kwa hilo maana hizo dini zenu zinahimiza kuamini badala ya kutafiti[chanzo cha ujinga].

Watu wajinga wajinga kama wewe ndio mnakuja kuuliza maswali ya kipumbavu baada ya kuaminishwa kuwa evolution ni mpango wa Shetani.
Eti mtu unauliza kwanini viroboto hawaoti miguu?....kwani viroboto hawana miguu?....Miguu aliyonayo haimtoshi?
Hukuona aibu kuuliza hilo swali?.....au wewe ndo mbuzi wa kafara kwenye 1:4?
 
You are much know on earthly things, am trying to let you know heavenly things, only by faith you can believe on
If God plus all what you call Heavenly things are known by faith, how were they injected into the physical world?
Can you prove the existence of those Heavenly things?
 
Ndio Mimi naamini hata wewe kwa kuwa hauna hekima kujua Ukweli wa Mungu utatoweka kama mwenzio Kiranga
Umekosa hekima huwezi kuwa na utashi
Inaonekana Kiranga ameyatawala zaidi mawazo yako.
 
Common ancestor!!! Sasa mbona unabisha au unamaanisha nyani alianza kuwa binadamu akadevelop kuwa nyani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…