dangadunguri
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 1,276
- 1,309
Nasikiaga kuwa mfumo wa elimu yetu ni kama wa uingereza ni kweli.? kama ni kweli je kwenye somo la history ile mambo ya evolution of a man lipo au lilikuwepo kweli.??
usimpotoshe mwenzako, kama kuna cha kujifunza hapa ndio mahali yake. leo hapa tunajadilli k kadika dimension of what you belief. Theories zote zikifeli tuangalie plan B kama inalipa. Sasa mmepewa uwanja wa kuextract all of your academic knowledges naona kama mnakimbiakimbia. This is your arena. Shusha nondo kama zipo tuzichallenge
Unasema unafanya excavation lakini maswali yangu kumi yamekushinda hiyo masters ya pili ungesomea tu uuguzi.Unaposema Archaeology haihusiani na evolution na Darwin una hakika ndugu? Unaposema Mutation inapishana na evolution una uhakika?
Pia sijaongea au kuchangia kuonyesha kwamba ninajua sana nimesema background yangu kujua kwamba ambaye atakuwa na hekima ataniuliza swali ambalo linaendana na concept za Darwin au evolution kwa ujumla na tukaeleweshana.
Nilipochangia ninachangia kwa sababu ninasoma hizi concepts mpaka leo hii. Ni concepts ambazo zina umuhimu kwangu na katika kazi zangu.
Mifupa ya kale ninafanya nayo utafiti mpaka leo hii. Ninachimba maeneo mengi kwa uchimbaji wa kitaalam na vipimo kufukua mifupa ya kale. Ninaona kwa macho yangu. Sizungumzii kwa ubishi au kwa kufanya fulani aonekane muongo. Naamini wapo wanaopenda kujifunza na sipendi wapotoke. Kama wakipotoka mimi nitakuwa sijatoa ushuhuda wangu kuangaza watu.
[emoji120]
Ni kweli viumbe wana Intelligent design,....ila nani ni designer? ushahidi uko wapi? kitu kingine Darwin alikuwa ni mtu kama sisi so ni jambo la kawaida kuwa sahihi au siyo....unataka kusema kabla ya Darwin hapakuwepo na wasioamini kwenye special creation theory na kutokuamini uwepo wa Mungu kwa ujumla? tukutana kesho.
Uzuri wa science ubapingwa kwa science nasio porojo nikweli inamapungufu nandio maana kuna theory zingine ila hii ya Darwin imekua nikama mzizi wabinadamu wengine kuanzia utafiti nahiyo ndo science, ukileta dini na hisia binafsi kweny haya mambo utaona kama imenyweshwa chibuku
Unasema unafanya excavation lakini maswali yangu kumi yamekushinda hiyo masters ya pili ungesomea tu uuguzi.
[emoji120]
Mkuu sio vibaya kitu kama hukijui au hauna uhakika nacho ukakiri.Asante. Pia tazama maswali yako na excavation kama vinahusiana na penda kuuliza swali moja moja kisha ukielewa Au ukimuelewesha mtu ndipo uliza la pili. Sio kila mtu yupo kubishana.
naomba uelewa wako kuhusu Gene mutation in relation to Evolutionary theory.Unaposema Archaeology haihusiani na evolution na Darwin una hakika ndugu? Unaposema Mutation inapishana na evolution una uhakika?
Pia sijaongea au kuchangia kuonyesha kwamba ninajua sana nimesema background yangu kujua kwamba ambaye atakuwa na hekima ataniuliza swali ambalo linaendana na concept za Darwin au evolution kwa ujumla na tukaeleweshana.
Nilipochangia ninachangia kwa sababu ninasoma hizi concepts mpaka leo hii. Ni concepts ambazo zina umuhimu kwangu na katika kazi zangu.
Mifupa ya kale ninafanya nayo utafiti mpaka leo hii. Ninachimba maeneo mengi kwa uchimbaji wa kitaalam na vipimo kufukua mifupa ya kale. Ninaona kwa macho yangu. Sizungumzii kwa ubishi au kwa kufanya fulani aonekane muongo. Naamini wapo wanaopenda kujifunza na sipendi wapotoke. Kama wakipotoka mimi nitakuwa sijatoa ushuhuda wangu kuangaza watu.
[emoji120]
Mkuu sio vibaya kitu kama hukijui au hauna uhakika nacho ukakiri.
Hivi wewe kama msomi wa field hiihii hujapitia articles za maprofessor na maDr. Wakiipinga hii theory kwa article zao?
Usijivunge soma hivyo vitabu Redeemer ameviweka huku usiwe mbishi soma hivyo vitabu ndio uje hapa wewe kama msomi wa hii field.
[emoji120]
naomba uelewa wako kuhusu Gene mutation in relation to Evolutionary theory.
Mkuu Kiranga hapo umewauwa...Kila kiumbe kinabadilika kulingana na mazingira, mfano bacteria na viruses (lower organisms) wanafanya evolution ya haraka kuliko binadamu(higher organisms).Ndio maana kuna aina ( strains) mbali mbali za hawa bacteria na viruses.Angali kitu kama HIV, kuna aina mbali mbali wa HIV, zamani kulikuwa na aina moja(Possibly) ya huyu kirusi lakini kutokana na kubadilika kwa mazingira anayoishi, DNA zake hubadilika(Evolution) ili aweze kuadapt kwenye mazingira mapya.....Kama mtu anasumbuliwa na ugonjwa unaosababishwa na bacteria au virus flani na kutumia dawa, kuna uwezekano wa yule mdudu kujibadili ili aweze kuishi kwenye mazingira yaliyobadilika(baada ya kutumia dawa) na hivyo kumlazimu mgonjwa kutumia dawa nyingine.Hii ndio sababu ya ugonjwa mmoja kuwa na dawa zaidi ya moja.
Lakini kwa kuwa hawa wafia dini wana viazi mbatata juu ya shingo, subiri kupewa jibu lililo nje ya swali au kuulizwa swali lililo nje ya mada.
Hujajibu swali langu, kama hujui jibu sema huji ili uelezwe, usijitie ubishi unaozidi kuanika ujinga wako.Vinasaba vya viumbe hai vinahusiana nini na madawa?
Hapa nataka majibu kumekuaje na variations in genetic characteristics kutoka kwa kiumbe kimoja kilichojigawanya kwenye maumbile tofauti.?
Darwin's excuse is totally ridiculous! Literally hundreds of millions of fossils have been extracted from all fossil-bearing rock strata and none of them are "transitional forms" or missing links--they all obviously belong to a definite species! In fact, it is estimated that over 100,000 different, distinct species of fossils have been found! In which sense the theory has lost all factual remains of it's existence?
Hawa wasaidizi wa Mungu wanaanza kuichafua evolution kwa sababu ina maelezo ya kutosha na inajaribika....wanaona ile ya kwao iliyookotwa kule milimani inakaribiwa kupigwa knock out....Kila mtu alete theory yake nasi tuzichambue kwa uwazi bila unazi....hivi ndivyo tutakavyopata ukweli.Ndugu, nashukuru sana kwa kuwa free-minded. Kila la kheri katika kujifunza mengi [emoji120]
Do not try to mixup topix zingatia my primary argument about DNA.Hujajibu swali langu, kama hujui jibu sema huji ili uelezwe, usijitie ubishi unaozidi kuanika ujinga wako.
Kama vinasaba vya viumbe hai haviusiani na madawa inakuwaje bacteria wanaweza ku develop resistance ya antibiotics?
Unaweza kunieleza hilo?
Sio result ya Mutation. Mutation inapelekea upungufu wa Genetic information sio kuja kwa information mpya by chance.
Alafu ukumbuke genes (gene-pools) zinamabilions of information ambazo unapomuona bacteria haimaanishi ametumia information zote alizonazo. Haya yote darwin alikufa hayajui.
soma na hapa
"Bacteria taken from the frozen bodies of 19th-century explorers are resistant to certain types of antibiotics. Antibiotics came into general use 40 years ago, so the discovery challenges the view that only the widespread use and abuse of antibiotics has built up resistance to them. Kay Kowalewska-Grochowska and coleagues from the University of Alberta Hospital at Edmonton in Canada, isolated six strains of bacteria of the genus Clostridium from the bodies of William Braine and John Hartnell, members of the Franklin expedition to the Artctic in 1845.
Kowalewska-Grochowska grew the bacteria, which are part of the normal flora present in people's intestines, and tested the mocrobes' resistance to various antibiotics... surprisingly, the 140 year-old bacteria were resistant to two other antibiotics, cefoxitin and clindamycin."
-Rhonda Siddal, "Ancient Bacteria Resistant to Some Antibiotics,"New Scientist, Feb 11, 1989, p. 34
Explorers (led by Sir John Franklin in 1845) were sent north to look for a faster water-based trade route which would be better than having to sail all the way around the southern tip of South America to trade between the east coast and west coast of North America, and in a nutshell, they died in their search. The frozen bodies of dead men were discovered preserved in the waters north of Canada, and the bacteria tested in their system was found to be resistant to antibiotics that would not have been invented for another 120 years.
When reading the entire article from New Scientist Magazine, it forced the researchers to look for another explanation for how the bacteria were becoming resistant outside of the "new information" idea. The hilarious thing about this article is that they are listing out many possibilities, but the one they don't consider is that it's just a recessive trait (that causes damage and information loss to the ribosome). They won't consider a simple recessive gene because it doesn't help their religious evolutionary presuppositions.
"In 1988, researchers did autopsies on three of the Northwest Passage explorers whofroze to death in the Arctic in 1845. Bacteria from their colons were carefully cultured, andmany were already resistant to the most powerful modern antibiotics."
-Dr. Carl Wieland, "Antibiotic Resistance in Bacteria," CEN Tech Journal, Vol. 8, No. 1, 1994, p. 2
Keep in mind, if you show this article to evolutionists, they will simply ignore the information because they have a presuppositional bias in their hearts that needs evolution to be true. For this reason, one of the more common dismissals of the documentation will be, "They must have had contaminated samples," but according to research done by the Medical Tribune, contamination was eliminated as a possibility.
"Well-preserved bodies of members of the Franklin expedition, frozen in the Canadian Arctic in 1845, contain bacteria resistant to antibiotics. Because the first antibiotics were developed in the early 1940s, these resistant bacteria could not have evolved in response to antibiotics. Contamination has been eliminated as a possibility."
-Rick McGuire, "Eerie: Human Arctic Fossils Yield Resistant Bacteria," Medical Tribune, Dec 29, 1988, p. 1
If an evolutionist wants to believe with all his heart and soul that evolution is true, then he is welcome to his beliefs. I don't care what he wants to believe. Evolution is a religious presupposition built on a tower of faith-based assumptions, and I just don't have enough faith to believe in it.
Sio result ya Mutation. Mutation inapelekea upungufu wa Genetic information sio kuja kwa information mpya by chance.
Do not try to mixup topix zingatia my primary argument about DNA.
Natural selection can never extend outside of the DNA limit. DNA cannot be changed into a new species by natural selection. The same process of selective breeding is done with flowers, fruits, and vegetables.
How lowness the theory explained about the natural selection imekuje viumbe tofautitofauti ndani ya kiumbe kimoja?
How lowness the theory explained about the natural selection imekuje viumbe tofautitofauti ndani ya kiumbe kimoja??