Charles Darwin 3rd Degree MM aliefanikiwa kuupotosha ulimwengu kwa Illuminati agenda

Charles Darwin 3rd Degree MM aliefanikiwa kuupotosha ulimwengu kwa Illuminati agenda

Nasikiaga kuwa mfumo wa elimu yetu ni kama wa uingereza ni kweli.? kama ni kweli je kwenye somo la history ile mambo ya evolution of a man lipo au lilikuwepo kweli.??

lipo mpaka wakati huu naandika na Profesa Ndalichako analijua, naomba jf mumuite profesa wetu tubadilishane nae mawazo, ikiwezekana jf waandae mijadala ya wazi na watu wafike pamoja na viongozi weti, hili swala nimoja ya jambo linalotakiwa tumuulize ndalichako anakibaliana na huu UCHWARA wa wapumbavu hawa
 
usimpotoshe mwenzako, kama kuna cha kujifunza hapa ndio mahali yake. leo hapa tunajadilli k kadika dimension of what you belief. Theories zote zikifeli tuangalie plan B kama inalipa. Sasa mmepewa uwanja wa kuextract all of your academic knowledges naona kama mnakimbiakimbia. This is your arena. Shusha nondo kama zipo tuzichallenge

Siwezi kuelezea kitu kwa kutaka challenge au kukusikiliza ili nikuchallenge. Bali tunaangaziana mwanga wa ufahamu. Unatoa concept wako nakusikiliza au naelezea jambo nawe unanisikiliza na mwisho wote kwa pamoja tunatumia akili timamu kuangalia logic ilivyo.
 
[/QUOTE]
[quote uid=292576 name="CHARMILTON" post=17569378]Ina maana wataka kusema raia hawana option ya kuchagua pindi zijapo theories za chanzo cha uhai? Kwani special creation theory haifundishi kwenye jamii?...Evolution ni famous kwa sababu inachunguzika/able to be tested tofauti na hiyo ya Mungu iliyoshushwa from nowhere.Kuwepo kwa wafuasi wengi na makosa/changamoto nyingi kwenye Evolution ni kwa sababu watu wanaweza kuijifunza na kuichambua tofauti na hiyo ya Mungu iliyokuja na vitisho ili kuforce watu waikubali.[/QUOTE]Unazidi kujionesha ulivyomtupu kichwani huo utafiti uliokuonyesha samaki akiwa dinosaur uliufanya wapi na matokeo yalikuaje?

Alafu umeshasema hii theory hauijui (hujaitathmini) unawezaje kuijibia maswali na kuitetea dini yako ambayo bado haujaitathmini?

Pia umesema wakristo tudanganywa na wazungu lakini wewe naona povu linakutoka haswa kumtetea tapeli wako Darwin au ameshabadili uraia? [emoji23] [emoji23] [emoji97] [emoji23]
 
Unaposema Archaeology haihusiani na evolution na Darwin una hakika ndugu? Unaposema Mutation inapishana na evolution una uhakika?

Pia sijaongea au kuchangia kuonyesha kwamba ninajua sana nimesema background yangu kujua kwamba ambaye atakuwa na hekima ataniuliza swali ambalo linaendana na concept za Darwin au evolution kwa ujumla na tukaeleweshana.

Nilipochangia ninachangia kwa sababu ninasoma hizi concepts mpaka leo hii. Ni concepts ambazo zina umuhimu kwangu na katika kazi zangu.

Mifupa ya kale ninafanya nayo utafiti mpaka leo hii. Ninachimba maeneo mengi kwa uchimbaji wa kitaalam na vipimo kufukua mifupa ya kale. Ninaona kwa macho yangu. Sizungumzii kwa ubishi au kwa kufanya fulani aonekane muongo. Naamini wapo wanaopenda kujifunza na sipendi wapotoke. Kama wakipotoka mimi nitakuwa sijatoa ushuhuda wangu kuangaza watu.

[emoji120]
Unasema unafanya excavation lakini maswali yangu kumi yamekushinda hiyo masters ya pili ungesomea tu uuguzi.
[emoji120]
 
Ni kweli viumbe wana Intelligent design,....ila nani ni designer? ushahidi uko wapi? kitu kingine Darwin alikuwa ni mtu kama sisi so ni jambo la kawaida kuwa sahihi au siyo....unataka kusema kabla ya Darwin hapakuwepo na wasioamini kwenye special creation theory na kutokuamini uwepo wa Mungu kwa ujumla? tukutana kesho.

Tena MTU MPUMBAVU kuliko kiumbe chochote alichowaki kuumba MWENYE ENZI NA WAKUDUMU DAIMA.
 
Uzuri wa science ubapingwa kwa science nasio porojo nikweli inamapungufu nandio maana kuna theory zingine ila hii ya Darwin imekua nikama mzizi wabinadamu wengine kuanzia utafiti nahiyo ndo science, ukileta dini na hisia binafsi kweny haya mambo utaona kama imenyweshwa chibuku

Kuwa chanzo cha theories haiipi uhalali wa kuwa yakweli, unaweza ukaleta uongo kuwa ubungo inawaka moto kwa sasa, watu wakaenda kuthibitisha wakaja kukwambia wewe ni muongo
 
Unasema unafanya excavation lakini maswali yangu kumi yamekushinda hiyo masters ya pili ungesomea tu uuguzi.
[emoji120]

Asante. Pia tazama maswali yako na excavation kama vinahusiana na penda kuuliza swali moja moja kisha ukielewa Au ukimuelewesha mtu ndipo uliza la pili. Sio kila mtu yupo kubishana.
 
Asante. Pia tazama maswali yako na excavation kama vinahusiana na penda kuuliza swali moja moja kisha ukielewa Au ukimuelewesha mtu ndipo uliza la pili. Sio kila mtu yupo kubishana.
Mkuu sio vibaya kitu kama hukijui au hauna uhakika nacho ukakiri.

Hivi wewe kama msomi wa field hiihii hujapitia articles za maprofessor na maDr. Wakiipinga hii theory kwa article zao?

Usijivunge soma hivyo vitabu Redeemer ameviweka huku usiwe mbishi soma hivyo vitabu ndio uje hapa wewe kama msomi wa hii field.
[emoji120]
 
Unaposema Archaeology haihusiani na evolution na Darwin una hakika ndugu? Unaposema Mutation inapishana na evolution una uhakika?

Pia sijaongea au kuchangia kuonyesha kwamba ninajua sana nimesema background yangu kujua kwamba ambaye atakuwa na hekima ataniuliza swali ambalo linaendana na concept za Darwin au evolution kwa ujumla na tukaeleweshana.

Nilipochangia ninachangia kwa sababu ninasoma hizi concepts mpaka leo hii. Ni concepts ambazo zina umuhimu kwangu na katika kazi zangu.

Mifupa ya kale ninafanya nayo utafiti mpaka leo hii. Ninachimba maeneo mengi kwa uchimbaji wa kitaalam na vipimo kufukua mifupa ya kale. Ninaona kwa macho yangu. Sizungumzii kwa ubishi au kwa kufanya fulani aonekane muongo. Naamini wapo wanaopenda kujifunza na sipendi wapotoke. Kama wakipotoka mimi nitakuwa sijatoa ushuhuda wangu kuangaza watu.

[emoji120]
naomba uelewa wako kuhusu Gene mutation in relation to Evolutionary theory.
 
Mkuu sio vibaya kitu kama hukijui au hauna uhakika nacho ukakiri.

Hivi wewe kama msomi wa field hiihii hujapitia articles za maprofessor na maDr. Wakiipinga hii theory kwa article zao?

Usijivunge soma hivyo vitabu Redeemer ameviweka huku usiwe mbishi soma hivyo vitabu ndio uje hapa wewe kama msomi wa hii field.
[emoji120]

Okay. Labda nikuambie ukweli. Mpaka sasa katika Sayansi hakuna Theory yoyote inayopingana na Evolution na inayoelezea asili ya viumbe labda Creationism. Mfano creation haikubaliki katika science na haina ushahidi kuwa ni kweli mpaka sasa na sidhani kama ni Theory.

Kama mwanadamu wa kwanza walikuwa ni wawili walioishi somewhere kwanini kuna races? Kwanini wanaoishi equatorial ni wana rangi fulani na wanaoishi kwenye poles wana rangi fulani? Lets say Adam na Hawa walikuwa Waafrika then Mchina ametoka wapi? Mzungu na Wahindi? Okay lets say mwanadamu wa kwanza alikuwa muafrika halafu akabadilika kutokana na Mazingira basi hapo utakuwa umeunga mkono Evolution. Tunashare genes sawa na 50% ya kufanana kwa Dna na Mmea wa Ndizi, 37% na uyoga na 98% na Chimpanzee that means something. Before life was one na mabadiliko yametubadilisha lakini genes bado haijabadilika sana kutokana na kuwa ndio kitu cha mwisho kubadilika.

Theory ya evolution sio kuhusiana na mwanadamu ametoka katika nyani. Swala la kusema mwanadamu, nyani na masokwe wametoka katika uzao mmoja ni tokeo la kufahamu theory ya mageuzi lakini sio kwamba ndio kiini cha theory.

Evolution ni mabadiliko ya taratibu kutoka kizazi mpaka kizazi kutokana na Natural selection, gene shuffle, mazingira na adaptation kwa kipindi kirefu cha miaka na taratibu. Na ina ushahidi katika Genes, DNA tests, mifupa ya zamani, wanyama wanaofanana lakini species tofauti na races.

66 Interesting Facts about Evolution

Lakini kumbuka kuwa ni Theory na sio principle au law. Hata kama ina ushahidi lakini wanasayansi wanaacha iendelee kuchunguzwa sana na kuhitimisha ukweli.
 
IMG_1473522397.173874.jpg


IMG_1473522413.474078.jpg
 
Mkuu Kiranga hapo umewauwa...Kila kiumbe kinabadilika kulingana na mazingira, mfano bacteria na viruses (lower organisms) wanafanya evolution ya haraka kuliko binadamu(higher organisms).Ndio maana kuna aina ( strains) mbali mbali za hawa bacteria na viruses.Angali kitu kama HIV, kuna aina mbali mbali wa HIV, zamani kulikuwa na aina moja(Possibly) ya huyu kirusi lakini kutokana na kubadilika kwa mazingira anayoishi, DNA zake hubadilika(Evolution) ili aweze kuadapt kwenye mazingira mapya.....Kama mtu anasumbuliwa na ugonjwa unaosababishwa na bacteria au virus flani na kutumia dawa, kuna uwezekano wa yule mdudu kujibadili ili aweze kuishi kwenye mazingira yaliyobadilika(baada ya kutumia dawa) na hivyo kumlazimu mgonjwa kutumia dawa nyingine.Hii ndio sababu ya ugonjwa mmoja kuwa na dawa zaidi ya moja.


Lakini kwa kuwa hawa wafia dini wana viazi mbatata juu ya shingo, subiri kupewa jibu lililo nje ya swali au kuulizwa swali lililo nje ya mada.

Ningewaambia wasome kitabu cha "Sapiens: A Brief History Of Humankind" cha Yuval Noah Harari

Ni kitabu kizuri sana kwa mtu anayetaka kujifunza.Ukitaka kuwa na mengi ya kusema, soma sana, sikiliza sana. Wengine wanataka kusema sana tu, hawasomi, hawasikilizi.

Kwa kila jambo moja unalosema, uwe na mia moja uliyosoma au kusikia.

Nakisoma sasa. Ona zaidi hapa

Kwa wanaojua kiingereza na uwezo wa kusoma wakitafute, tatizo unabishana na wengine hawajui hata Kiingereza na kitabu pekee wanachosoma ni Biblia au Quran.

sapiens-akilucu-673x1024.jpg
 
Vinasaba vya viumbe hai vinahusiana nini na madawa?

Hapa nataka majibu kumekuaje na variations in genetic characteristics kutoka kwa kiumbe kimoja kilichojigawanya kwenye maumbile tofauti.?
Hujajibu swali langu, kama hujui jibu sema huji ili uelezwe, usijitie ubishi unaozidi kuanika ujinga wako.

Kama vinasaba vya viumbe hai haviusiani na madawa inakuwaje bacteria wanaweza ku develop resistance ya antibiotics?

Unaweza kunieleza hilo?
 
Darwin's excuse is totally ridiculous! Literally hundreds of millions of fossils have been extracted from all fossil-bearing rock strata and none of them are "transitional forms" or missing links--they all obviously belong to a definite species! In fact, it is estimated that over 100,000 different, distinct species of fossils have been found! In which sense the theory has lost all factual remains of it's existence?

Achana na hayo mapichapicha hata mimi naweza kuyabuni mbwa kufanana na simba hakumfanyi kuwa alikua mbwa awali where are the fossils in transitional forms?

Usije ukaniambia hizi chuma za Dr Leakey hapo olduvai.
 
Ndugu, nashukuru sana kwa kuwa free-minded. Kila la kheri katika kujifunza mengi [emoji120]
Hawa wasaidizi wa Mungu wanaanza kuichafua evolution kwa sababu ina maelezo ya kutosha na inajaribika....wanaona ile ya kwao iliyookotwa kule milimani inakaribiwa kupigwa knock out....Kila mtu alete theory yake nasi tuzichambue kwa uwazi bila unazi....hivi ndivyo tutakavyopata ukweli.
 
Hujajibu swali langu, kama hujui jibu sema huji ili uelezwe, usijitie ubishi unaozidi kuanika ujinga wako.

Kama vinasaba vya viumbe hai haviusiani na madawa inakuwaje bacteria wanaweza ku develop resistance ya antibiotics?

Unaweza kunieleza hilo?
Do not try to mixup topix zingatia my primary argument about DNA.

Natural selection can never extend outside of the DNA limit. DNA cannot be changed into a new species by natural selection. The same process of selective breeding is done with flowers, fruits, and vegetables.

How lowness the theory explained about the natural selection imekuje viumbe tofautitofauti ndani ya kiumbe kimoja?
 
resistance06.jpg

Sio result ya Mutation. Mutation inapelekea upungufu wa Genetic information sio kuja kwa information mpya by chance.
Alafu ukumbuke genes (gene-pools) zinamabilions of information ambazo unapomuona bacteria haimaanishi ametumia information zote alizonazo. Haya yote darwin alikufa hayajui.


soma na hapa

"Bacteria taken from the frozen bodies of 19th-century explorers are resistant to certain types of antibiotics. Antibiotics came into general use 40 years ago, so the discovery challenges the view that only the widespread use and abuse of antibiotics has built up resistance to them. Kay Kowalewska-Grochowska and coleagues from the University of Alberta Hospital at Edmonton in Canada, isolated six strains of bacteria of the genus Clostridium from the bodies of William Braine and John Hartnell, members of the Franklin expedition to the Artctic in 1845.
Kowalewska-Grochowska grew the bacteria, which are part of the normal flora present in people's intestines, and tested the mocrobes' resistance to various antibiotics... surprisingly, the 140 year-old bacteria were resistant to two other antibiotics, cefoxitin and clindamycin."
-Rhonda Siddal, "Ancient Bacteria Resistant to Some Antibiotics,"New Scientist, Feb 11, 1989, p. 34

Explorers (led by Sir John Franklin in 1845) were sent north to look for a faster water-based trade route which would be better than having to sail all the way around the southern tip of South America to trade between the east coast and west coast of North America, and in a nutshell, they died in their search. The frozen bodies of dead men were discovered preserved in the waters north of Canada, and the bacteria tested in their system was found to be resistant to antibiotics that would not have been invented for another 120 years.

When reading the entire article from New Scientist Magazine, it forced the researchers to look for another explanation for how the bacteria were becoming resistant outside of the "new information" idea. The hilarious thing about this article is that they are listing out many possibilities, but the one they don't consider is that it's just a recessive trait (that causes damage and information loss to the ribosome). They won't consider a simple recessive gene because it doesn't help their religious evolutionary presuppositions.
"In 1988, researchers did autopsies on three of the Northwest Passage explorers whofroze to death in the Arctic in 1845. Bacteria from their colons were carefully cultured, andmany were already resistant to the most powerful modern antibiotics."
-Dr. Carl Wieland, "Antibiotic Resistance in Bacteria," CEN Tech Journal, Vol. 8, No. 1, 1994, p. 2
resistance01.jpg

Keep in mind, if you show this article to evolutionists, they will simply ignore the information because they have a presuppositional bias in their hearts that needs evolution to be true. For this reason, one of the more common dismissals of the documentation will be, "They must have had contaminated samples," but according to research done by the Medical Tribune, contamination was eliminated as a possibility.

"Well-preserved bodies of members of the Franklin expedition, frozen in the Canadian Arctic in 1845, contain bacteria resistant to antibiotics. Because the first antibiotics were developed in the early 1940s, these resistant bacteria could not have evolved in response to antibiotics. Contamination has been eliminated as a possibility."
-Rick McGuire, "Eerie: Human Arctic Fossils Yield Resistant Bacteria," Medical Tribune, Dec 29, 1988, p. 1

If an evolutionist wants to believe with all his heart and soul that evolution is true, then he is welcome to his beliefs. I don't care what he wants to believe. Evolution is a religious presupposition built on a tower of faith-based assumptions, and I just don't have enough faith to believe in it.

Umeandika

Sio result ya Mutation. Mutation inapelekea upungufu wa Genetic information sio kuja kwa information mpya by chance.

Unajuaje kwamba resistance ni lazima ije kwa kuongezeka kwa information? Kwa nini isiwezekane kutokea baada ya kupungua kwa information?

Unajuaje kwamba kama kuna strains 100 za arrangement ya information, na tatu zikawa the weak link in the chain, ziko susceptible kwa antibiotics na kusababisha bacteria kufa akikutana na antibiotic, halafu mutation Fulani ikafanya hizo tatu zisiwepo kwa baadhi ya bacteria, na kwa sababu hiyo bacteria hao wakawa wanaweza kuzaliana Zaidi na kufanya next generations za bacteria ziwe na wanaoweza kuwa resistant mpaka population yote ya bacteria hao ikawa resistant?

The rest of the piece argues kwamba kuna bacteria waliogundulika kabla ya antibiotics kugunduliwa wako resistant kwa antibiotics.

Hili linaonyesha kutojua mambo Fulani.

1. Kwamba hata kama antibiotics zimegunduliwa miaka 40 iliyopita, hili halina maana kwamba hazikuwapo kabla ya miaka 88 iliyopita na Professor wa Bacteriology Alexander Fleming wa St. Mary's Hospital London, hilo halina maana kwamba zile naturally occurring chemicals zilizomo katika antibiotics hazikuwapo kabla ya hapo. Ukigundua kwamba mchaichai unatibu pumu na kutengeneza kidonge cha mchaichai hilo haina maana watu hawajawahi kutumia hiyo dawa ya mchaichai kabla ya kidonge kugunduliwa.

2. Hao bacteria waliokutwa wamekutwa katika miili ya watu ambao hawakuwa katika controlled environment, even though they were frozen, that does not mean that the bacteria were not there because of later contamination.

3.Hata kama bacteria walikuwa intact, kupata bacteria wa zamani walio resistant kwa dawa mpya hakumaanishi kwamba bacteria resistant haisababishwi na mutation. Kunaweza kusababisha kwamba kuna namna moja ya bacteria resistant haisababishwi na mutation.

4.Hata kama bacteria walikuwa intact, kupata bacteria wa zamani walio resistant kwa dawa mpya hakumaanishi kwamba bacteria hao hawaja mutate na mutation hizo over the years kusababisha resistance kwa dawa mpya.Utajuaje kama kuna biological arrow of time inayofanya bacteria wa evolve from being less resistant to being more resistant to antibiotics hata kama hawajakutana nazo?

5.Kinachotakiwa kuoneshwa ni kwamba hawa bacteria ambao wanadaiwa kuwa wamekuwa resistsnt to antibiotics, hawajawa resistant kutokana na mutation. Mimi nikisema "Nyumba hii kuna watu wamekunywa pombe kwa muda mrefu, zamani pombe ilikuwa inawalewesha, lakini siku hizi pombe ile ile haiwaleweshi, inabidi mpaka tuwatafutie pombe mpya ili walewe, hawa watu wamekuwa walevi sugu, vichwa vyao vimeweza kuhimili pombe Zaidi" huwezi kuniambia "Hao kuweza kao kuhimili pombe hiyo Zaidi hakutokani na vichwa vyao kuwa sugu kwa sababu kuna watu wengine hawajawahi kunywa pombe tangu wazaliwe na pombe hiyo hiyo haiwaleweshi". Unajuaje kama hao wengine hawajala chakula ambacho kinawafanya wasilewe na hivyo kufanya comparison yako isiwe na maana kwa sababu hailinganishi vinavyolingana?
 
Do not try to mixup topix zingatia my primary argument about DNA.

Natural selection can never extend outside of the DNA limit. DNA cannot be changed into a new species by natural selection. The same process of selective breeding is done with flowers, fruits, and vegetables.

How lowness the theory explained about the natural selection imekuje viumbe tofautitofauti ndani ya kiumbe kimoja?

Umeandika

How lowness the theory explained about the natural selection imekuje viumbe tofautitofauti ndani ya kiumbe kimoja??

Hili swali halieleweki. Limechanganya lugha, halina sarufi,halina mpangilio wa maneno kiasi cha kuleta maana, ni gumu kueleweka unachouliza ni nini.

Hebu andika vizuri kwa namna inayoweza kueleweka halafu niulize tena. Nina nia ya kukuelewa na kukujibu, lakini pale usipoeleweka kwa kuwa umeandika vibaya nina wajibu wa kukuuliza uandike vizuri ili nielewe.

Maana siwezi kujibu kitu ambacho hakieleweki.
 
Back
Top Bottom