chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 13,277
- 40,924
Defeated [emoji817] [emoji818]Umeandika
Hili swali halieleweki. Limechanganya lugha, halina sarufi,halina mpangilio wa maneno kiasi cha kuleta maana, ni gumu kueleweka unachouliza ni nini.
Hebu andika vizuri kwa namna inayoweza kueleweka halafu niulize tena. Nina nia ya kukuelewa na kukujibu, lakini pale usipoeleweka kwa kuwa umeandika vibaya nina wajibu wa kukuuliza uandike vizuri ili nielewe.
Maana siwezi kujibu kitu ambacho hakieleweki.
Jibu haya maswali kila moja nipe naelezo yanayojitosheleza.
1. Which came first? Time, Space, Matter or energy?
2.Where did the necessary materials to create the universe come from and
where did they exist if there was no space?
3. Where did life originally come from if it can not appear spontaneously?
4. Which came first? Male or Female?
5. Why do we find petrified trees standing up through supposedly “millions” of years worth of geological layers?
6. What were the first elements to be formed?
7. When and how did the stars come to be?
8. When did the laws of nature(i.e. Gravity) first come into effect?
9. Why is an unproven theory used as fact?
10. How did the universe start(please provide specified details)?
Defeated [emoji817] [emoji818]
Wewe na nani?😡😡😡😡😡😡😡😡😡
ni kwasababu tunaelekea kuwa SUNGURA PORI badala ya kuwa NYANI NGABU
The change is so gradual that you cannot notice in a single life time. And anyway kuna evidences nyingi kama fossils record, embrology, comperative biochemistryKweli imekuwaje hakuna samaki tena wanaobadilika saivi na kuwa kiboko au tembo au nyau au mwewe au nyani na hakuna nyani anayebadilika na kuwa mwanadamu nini kimekuwepo zamani saivi hakipo???
Kiranga tunataka majibu tafadhali.
Evolution, and science in general, has a lot to cover.Mambo ya evolution....bado kabisa sijashawishika nayo.
Unaweza kuthibitisha?Sifa Za ALLAH(SUBHANAH WA'TAALA).
1.Hajazaa
2.Hajazaliwa
3.Hakuna anaefananae hata mmoja.
4.Yeye peke ndo anastahiki kuabidiwa.
5.Halali(usingizi) wala hasinzii
6.Hanywi,hali chochote kile
@@@@Sifa zote ni za ALLAH@@@
Having said that, on a scale of 'ridiculousness to soundness", evolution is much more plausible than creation by this omniscient, omnipotent, Omni benevolent godhead.
Unaweza kuthibitisha?
Unaweza kuthibitisha?
Unaweza kuthibitisha?
Unaweza kuthibitisha?
Hata nikikupa uthibitisho kama umekalia kubisha utabisha tu.Unaweza kuthibitisha?
I am comfortable with a theory not having all the answers right now, as long as it is converging towards an answer in a coherent, testable, predictable, logical and margin of error reducing way.Couldn't agree with you more on that one!
Creationism is laughable.
Hujathibitisha, umethibitisha huwezi kuthibitisha.Hata nikikupa uthibitisho kama umekalia kubisha utabisha tu.
NB.Subiri kifo ndiyo Utaamini yote.
bacteria anabadirika kuwa aaina nyingine ya bacteria na hata DNA zao zinabadirika ili wakabiriane na mazingira,sasa kwanini hizo bacteria au virus hazibadiriki hata ziwe panya?uyo darwin ni kiazi mbatata na wewe unaekubaliana nae ni kiazi ccmMkuu Kiranga hapo umewauwa...Kila kiumbe kinabadilika kulingana na mazingira, mfano bacteria na viruses (lower organisms) wanafanya evolution ya haraka kuliko binadamu(higher organisms).Ndio maana kuna aina ( strains) mbali mbali za hawa bacteria na viruses.Angali kitu kama HIV, kuna aina mbali mbali wa HIV, zamani kulikuwa na aina moja(Possibly) ya huyu kirusi lakini kutokana na kubadilika kwa mazingira anayoishi, DNA zake hubadilika(Evolution) ili aweze kuadapt kwenye mazingira mapya.....Kama mtu anasumbuliwa na ugonjwa unaosababishwa na bacteria au virus flani na kutumia dawa, kuna uwezekano wa yule mdudu kujibadili ili aweze kuishi kwenye mazingira yaliyobadilika(baada ya kutumia dawa) na hivyo kumlazimu mgonjwa kutumia dawa nyingine.Hii ndio sababu ya ugonjwa mmoja kuwa na dawa zaidi ya moja.
Lakini kwa kuwa hawa wafia dini wana viazi mbatata juu ya shingo, subiri kupewa jibu lililo nje ya swali au kuulizwa swali lililo nje ya mada.
Kuna kitu kinaitwa CENTRAL DOGMA OF MOLECULAR BIOLOGY(CDMB): kwenye hiyo CDMB kuna DNA, RNA na PROTEIN.Kazi ya DNA ni kutengeneza RNA na kuiwekea formular ya kutengeneza PROTEIN, na kazi ya RNA ni kutengeneza PROTEIN.Kazi ya PROTEIN ni kutengeneza phenotypic features yaani physical body parts of an organism.Kama mazingira yatasababisha mfumo wa DNA ubadilike, ina maana mfumo wa RNA ni lazima utabadilika na mwishowe shape ya PROTEIN lazima itabadilika.Haya mabadiliko yatasababisha phenotypic changes zitokee.Kwa hiyo viumbe wawili wa jamii moja, wanaweza kuwa tofauti kama watawekwa kwenye mazingira tofauti na kuathiriwa nayo.Nia ya Bacteria kubadilika siyo awe kama panya bali aweze kuadapt kwenye mazingira yaliyobadilika.Sasa kama unakubali kuwa kuna mabadiliko ya DNA, yanayoleta mabadiliko ya RNA ambayo yatasababisha mabadiliko ya PROTEIN,...na mabadiliko ya PROTEIN yatasababisha Phenotypic changes yaani kiumbe kuonekana tofauti na jamii ya mwanzo, je wewe huungi mkono Evolution?bacteria anabadirika kuwa aaina nyingine ya bacteria na hata DNA zao zinabadirika ili wakabiriane na mazingira,sasa kwanini hizo bacteria au virus hazibadiriki hata ziwe panya?uyo darwin ni kiazi mbatata na wewe unaekubaliana nae ni kiazi ccm
Mutation yenyewe ni DELETERIOUS, Inasababisha aging, cancer na Infectious deseases. Mutation haiboreshi kiumbe wala kusababisha kiumbe kipya kinachojitegemea. Na hakuna kipya kinachoongezeka badala kupungua kwa kilichokuwepo.Naomba nikupatie hii link utapata majibu sahihi. Pia utajifunza kuwa kila mada inayozungumzia mutation lazima ikiambie umuhimu wake kudhibitisha evolution ifanyavyo kazi na DNA
DNA and Mutations
Mutation and Evolution
Ahsante kwa picha nzuri.