Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Tubadirishe Katiba ili kumpunguzia madaraka Rais, vinginevyo anaweza kutokea Rais kichaa akatuuza wote siku mojawagawaji wote ni wanzibari, hakuna rais mtanganyika anayegawa ardhi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tubadirishe Katiba ili kumpunguzia madaraka Rais, vinginevyo anaweza kutokea Rais kichaa akatuuza wote siku mojawagawaji wote ni wanzibari, hakuna rais mtanganyika anayegawa ardhi
Mbona hilo shamba walipewa na nyerere au nae nyerere ni mzazibariwagawaji wote ni wanzibari, hakuna rais mtanganyika anayegawa ardhi
Ni la serikali ya Smzsio la serikali hilo ni zanzibar, watanganyika serikali yetu haimiliki hilo eneo
Mbona inaonyesha unakata tamaaNgoja waendelee kutupiga tu akili si hatuna bwana. Serikali yetu ni takataka.
Mbona inaonyesha unakata tamaa
Tena haraka Sana , kwao zbar Mtanganyika haruhusiwi kumiliki ardhi iweje wao huku wamiliki , hata Kama walipewa Basi wapewe Kama wawekezaji sio kuwa na umiliki Kama anavyodai hilary . Hii nchi sio ya kutoa sadaka hovyohovyo , tuna watt na wajukuu kibao wa kitanganyika watakuja kutuona mazuzu babu zao kwa kugawa hovyo ulidhi wao.Kwa kuwa tayari wananchi wanaishi eneo hilo na kujenga nyumba za kudumu nashauri Hati ya ardhi hiyo ifutwe.
Kuwa na haya na kitu gani?[emoji23]sasa unataka nifanyaje ndugu yangu? Hii ndoa tuliwaoa sie wenyewe kwahiyo acha kiherehere chetu na kukosa akili kuendelee kutuponza.
Nyie waZanzibari hamna haya kabisa.
Acha uongo Charles Hilary Mpogoro, wazazi wake walihamia Zanzibar tuMama yake ni Mchagga 😀