Hahahaha... Maybe karume alimpatia Nyerere Zanzibar kwa mdomo ili bara iwe inakaushia viungo vya pilau kàbla havijaja bara na meli ya jitihada iliyokua inapereka ng'ombe😊Prove
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha... Maybe karume alimpatia Nyerere Zanzibar kwa mdomo ili bara iwe inakaushia viungo vya pilau kàbla havijaja bara na meli ya jitihada iliyokua inapereka ng'ombe😊Prove
Ni hecta au acres...kuwa makini na unachokiandikaficha huo upumavu wako hiyo ni tangia baba wa taifa na ilikuwa hekta 17,000 na imepunguzwa na kubaki hekta 6,000.
Vipi kuhusu Ambayo wameshajenga tayar umewafikiria?Hekari 17,000 walikuwa wananenepesha ng'ombe wangapi at a time?
Lifutiwe umiliki kwa kutoendelezwa halafu lipangwe wauziwe wenye uhitaji.
Acha ujingaHata kama lina hati, likikaa mda mrefu bila kuendelezwa ni haki ya wanachi kuliendeleza.
Angalizo tu; wachangiaji baadhi wajue hilo eneo limetolewa tangu enzi za Mwalimu. Wasije kufikiria ni awamu ya sita. Maana kuna wavivu wa kusoma history ya nchi ila wepesi kujadili history ya nchi wasiyoijua
imeenda hiyo, mama kashagawa kama bandari kwa DPW, uliona wapi eneo upewe miaka ya 1960 hati utafute awamu ya sita, 2023 ahsante samia kwa unayowafanyia watangayika, kuna siku wataamka kwa mshindo mkuu, chuki unayoijenga itaongea na vizazi vijavyoMkurugenzi wa Idara ya Mawasiliano Ikulu Zanzibar na Msemaji Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Charles Hilary amefafanua suala la eneo lililopo Makurunge Wilayani Bagamoyo Mkoani Pwani kumilikiwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar
Amesema “Eneo linaitwa Ranchi ya Zanzibar Bagamoyo (RAZABA), marehemu Rais Julius Nyerere alilikabidhi kwa Rais wa Pili wa Zanzibar, Abood Jumbe, lilikuwa likitumika kuwanenepesha ng’ombe kabla ya kusafirishwa kwenda Zanzibar.
“Kulikuwa na Meli inaitwa Jitihada iliyotumika kuwasafirisha ng’ombe, baadaye mradi huo ulififia na hakukuwa na ng’ombe wanaosafirishwa, eneo likabaki tu kwa muda mrefu.
“Watu wengi wameona liko tupu wakanza kuvamia, kuna watu walianza kuuziwa na wengine wakawa wanaambiwa jenga haraka.”
Alipoulizwa kuusu Hati
“Kuhusu nyaraka zikiwemo Hati zinafanyiwa kazi kwa sasa.”
"Tulipoona uvamizi unaendelea ndipo tukatoa taarifa, eneo hilo lina ukubwa wa Hekari 6,000, kabla ilikuwa zaidi ya 17,000, likapunguzwa kwa makubaliano ya Zanzibar na hao waliogaiwa.
“Sehemu ya eneo hilo pia linaingia shamba la miwa la Bakhresa, kwa sasa Serikali inaangalia na muda mfupi ujao tutajua kitakachofanyika pale.”
Chanzo: PowerBreakfast (Clouds FM)
wagawaji wote ni wanzibari, hakuna rais mtanganyika anayegawa ardhiIla kuna haja Sheria ya ardhi ikafanyiwa maboresho.
Haiwezekani Ardhi yote ya Tanzania kuwa ni mali ya Rais kama msimamizi.
Ndiyo maana maRais wetu wamekuwa wakiiuza kadri wapendavyo kwa wageni.
Refer ardhi ya Loliondo na hiyo ya Bagamoyo waliyopewa Wazanzibar kwa utashi wa Rais peke yake 🙌
sio la serikali hilo ni zanzibar, watanganyika serikali yetu haimiliki hilo eneoNani huyo mwenye uwezo wa kupora shamba la serikali?
Waje wakichukue o.w wafunge domoMkurugenzi wa Idara ya Mawasiliano Ikulu Zanzibar na Msemaji Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Charles Hilary amefafanua suala la eneo lililopo Makurunge Wilayani Bagamoyo Mkoani Pwani kumilikiwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar
Amesema “Eneo linaitwa Ranchi ya Zanzibar Bagamoyo (RAZABA), marehemu Rais Julius Nyerere alilikabidhi kwa Rais wa Pili wa Zanzibar, Abood Jumbe, lilikuwa likitumika kuwanenepesha ng’ombe kabla ya kusafirishwa kwenda Zanzibar.
“Kulikuwa na Meli inaitwa Jitihada iliyotumika kuwasafirisha ng’ombe, baadaye mradi huo ulififia na hakukuwa na ng’ombe wanaosafirishwa, eneo likabaki tu kwa muda mrefu.
“Watu wengi wameona liko tupu wakanza kuvamia, kuna watu walianza kuuziwa na wengine wakawa wanaambiwa jenga haraka.”
Alipoulizwa kuusu Hati
“Kuhusu nyaraka zikiwemo Hati zinafanyiwa kazi kwa sasa.”
"Tulipoona uvamizi unaendelea ndipo tukatoa taarifa, eneo hilo lina ukubwa wa Hekari 6,000, kabla ilikuwa zaidi ya 17,000, likapunguzwa kwa makubaliano ya Zanzibar na hao waliogaiwa.
“Sehemu ya eneo hilo pia linaingia shamba la miwa la Bakhresa, kwa sasa Serikali inaangalia na muda mfupi ujao tutajua kitakachofanyika pale.”
Chanzo: PowerBreakfast (Clouds FM)
Si usikilize hayo maelezo kuhusu matumizi ya ardhi hiyo. Kuweka ng'ombe kwa muda, sasa bado ng'ombe wanawekwa hapo kwa muda?Nani amekwambia ilikua kwa muda?
Kila kitu wala urojo wanaendesha na kutuamulia maaana ndio washika Hatamu kwa ssaAnawaambia hataki kuongelea hati, anataka story.
Hati ndio zinashughulikiwa saiv, maanake ndio wanakabidhiwa rasmi.
Unajua sijaelewa nyerere aliwaza nni na muungano huuu mbona kma kuna mambo ya kimchongo sanaHakuna documents za umiliki kwa upande wa Zanzibar zaidi ya maneno kama hayo, kesi ipo mahakamani Watanganyika wameifungua
Asante mkuuu kwa darasa huru kidgoHuyu ni mzazibar lazima atetee Zanzibar.
Hilary, ambaye pia aliasisi kipindi cha Charanga Time kilichomzidishia umaarufu akiwa Radio One Stereo, alizaliwa Zanzibar miaka 56 iliyopita eneo la Jang’ombe. Aliwahi kunusurika kuuawa kwa risasi mwaka 1964, siku moja baada ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliyoundoa utawala wa Sultan na kuiweka Serikali ya Watu wa Zanzibar.
Na hapo wanataka hizo hekari za baresa za miwa zihesabike ni za mzanzibar akiwa kwenye eneo la serikali yakeHajafafanua na wala hajatoa maelezo ya kutosha. Kalikimbia swali kwa kusema "kwa sasa tusiongelee hilo". Kuna red flags nyingi sana kwenye hili suala.
Kwa mujibu wa maelezo yake, eneo la RAZABA huko Makurunge lilikua na ukubwa wa hekari 17,000. Mpaka leo hii kasema lina hekari 6,000 tu. Nani anaweza kuachia zaidi ya nusu ya mali yake kirahisi hivyo?
Masoud alipouliza kuhusu vielelezo vya umiliki na kama huenda hayati Mwl. Nyerere alimkabidhi mzee Jumbe eneo hilo walitumie kwa muda tu na sio kulimiliki moja kwa moja, akalikwepa swali.
Dada yangu ni mmoja kati ya wahanga wa eneo hili la Makurunge, inauma sana.
Kwa nini nyaraka na hati zifanyiwe kazi leo? Mimi nadhani nyaraka zilipaswa kuwekwa hadharani.Mkurugenzi wa Idara ya Mawasiliano Ikulu Zanzibar na Msemaji Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Charles Hilary amefafanua suala la eneo lililopo Makurunge Wilayani Bagamoyo Mkoani Pwani kumilikiwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar
Amesema “Eneo linaitwa Ranchi ya Zanzibar Bagamoyo (RAZABA), marehemu Rais Julius Nyerere alilikabidhi kwa Rais wa Pili wa Zanzibar, Abood Jumbe, lilikuwa likitumika kuwanenepesha ng’ombe kabla ya kusafirishwa kwenda Zanzibar.
“Kulikuwa na Meli inaitwa Jitihada iliyotumika kuwasafirisha ng’ombe, baadaye mradi huo ulififia na hakukuwa na ng’ombe wanaosafirishwa, eneo likabaki tu kwa muda mrefu.
“Watu wengi wameona liko tupu wakanza kuvamia, kuna watu walianza kuuziwa na wengine wakawa wanaambiwa jenga haraka.”
Alipoulizwa kuusu Hati
“Kuhusu nyaraka zikiwemo Hati zinafanyiwa kazi kwa sasa.”
"Tulipoona uvamizi unaendelea ndipo tukatoa taarifa, eneo hilo lina ukubwa wa Hekari 6,000, kabla ilikuwa zaidi ya 17,000, likapunguzwa kwa makubaliano ya Zanzibar na hao waliogaiwa.
“Sehemu ya eneo hilo pia linaingia shamba la miwa la Bakhresa, kwa sasa Serikali inaangalia na muda mfupi ujao tutajua kitakachofanyika pale.”
Chanzo: PowerBreakfast (Clouds FM)
Na hapo wanataka hizo hekari za baresa za miwa zihesabike ni za mzanzibar akiwa kwenye eneo la serikali yake