Mtanzania2020
JF-Expert Member
- May 23, 2020
- 817
- 1,752
Inaama tumekuwa koloni la Zanzibar?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Can I help on your delusion ?!!!Joined 2023 Messages 2000+ says alot about you.......
A bot.
Ahaa sawaSi huko kwenye mimaji ya chumvi.
Serikali ya Zanzibar ina mamlaka gani bara?Serikali ya Smz hilo shamba liko makurunge
Autoreply.Can I help on your delusion ?!!!
Nitukane....Huyu tumjibu au tumuache?
Mtukane...Huyu tumjibu au tumuache?
[emoji1787][emoji1787]Sasa kama alizaliwa miaka 56 iliyopita (1967); miaka 59 iliyopita (1964) alinusurika vipi kuuwawa ilhali kwa maelezo yako hakuwa amezaliwa?
Mamlaka waliopewa na nyerere ya kumiliki hilo shambaSerikali ya Zanzibar ina mamlaka gani bara?
Ujinga huo....Inaama tumekuwa koloni la Zanzibar?
P.T.S.DAutoreply.
[emoji106]Wewe unataka wafutiwe umiliki wezako wanamalizia kupewa hiyo hati miliki
Anajua kusalimia shimboni kweli?I 🤣Mama yake ni Mchagga 😀
Aise, naiona point yako, ina make sense.Limeibuliwa makusudi sasa kama yanavyoibuliwa yote muda huu mzuri wa kupitisha yote ya maslahi kwa upande wa Zanzibar.
Si mizanzibali inatawala Tanganyika.Serikali ya Zanzibar ina mamlaka gani bara?
Mambo makubwa sana wamelazimishwa watu wa bara wasaini kwa maslahi ya Zanzibar, hadi la mipaka baharini Zanzibar inafika kusini mashariki mwa Daressalaam.Aise, naiona point yako, ina make sense.
Walipewa enwo walitumie kwaajili ya kunenepeshea mifugo, hawakupewa umiliki wa ardhi, ndiyo maana hawakupewa hati.Angalizo tu; wachangiaji baadhi wajue hilo eneo limetolewa tangu enzi za Mwalimu. Wasije kufikiria ni awamu ya sita. Maana kuna wavivu wa kusoma history ya nchi ila wepesi kujadili history ya nchi wasiyoijua.[emoji120][emoji120][emoji120]
Fedha inachotwa na kupelekwa znz na watu wanagawana tu.Inaama tumekuwa koloni la Zanzibar?