bin haroub
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,662
- 812
Nani huyo mwenye uwezo wa kupora shamba la serikali?Wenye nalo wakilitaka watslichukua tu.....
SMZ si walipewa kwa mdomo?
Wataporwa kwa mdomo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani huyo mwenye uwezo wa kupora shamba la serikali?Wenye nalo wakilitaka watslichukua tu.....
SMZ si walipewa kwa mdomo?
Wataporwa kwa mdomo
Serikali ya wapi ?Nani huyo mwenye uwezo wa kupora shamba la serikali?
Mbwa mama yakoJiue mmbwa ww
Limeibuliwa makusudi sasa kama yanavyoibuliwa yote muda huu mzuri wa kupitisha yote ya maslahi kwa upande wa Zanzibar.Kumbe hata hati hamnazo halafu mnapigia watu makelele!
Hapo kwa maelezo ya charles aliyegawa eneo na bwana Jk nyerereMaza anagawa ardhi yetu kwa visingizo vya Mwalimu
Weka ushahidi wa hicho unachokisemaWazanzibari hawana shukrani! Tanganyika iliwapa favours nyingi sana kwenye elimu na vitu kama hivi. Naamini Baba wa Taifa alipolitoa, ilikuwa katika kujaribu kuwasaidia kupata nyama. Tangu wamelitelekeza, leo ndo wamekumbuka! Wakwende zao huko!
Huyu tumjibu au tumuache?Mh.Charles Hillary yuko sahihi....
Tanzania ni moja....
Muungano wetu ni wa KIPEKEE....majibu yake ni uwepo wa SERIKALI MBILI badala ya hamu ya wanaoitaka DOLA YA TANGANYIKA....
Tanganyika ILIFUTWA....
Hayati Nyerere akasema "Siwezi kuimeza Zanzibar ...ni ndogo sana....ardhi ya bara ni kubwa sanaa....".
Wajinga wa mambo haya wajue kuwa Zanzibar nako kumejaa sisi wenyeji wa kutoka huku bara....
Sensa ya 2012 ,Zanzibar ilikuwa na wakazi wanaokaribia milioni 1....
Sensa ya 2022 Zanzibar ina wakazi milioni 1.9.....
Ni kwa kuzaana kupi kwa wazanzibari kulikosababisha ongezeko hilo kubwa kwa muda mfupi huo ?!!!
Jibu ni kuwa TANZANIA ni moja na MUUNGANO wetu ni wa KIPEKEE na hauna REJEA kutoka miungano ya nchi nyingine......
#SiempreJMT[emoji120]
Kishika uchumbaHapo kwa maelezo ya charles aliyegawa eneo na bwana Jk nyerere
Kama hawajapewa na nyerere tuambie wewe wamepata vipi?Hiyo kesi hata mimi nitachangia gharama, Mwl Nyerere hawezi kuwa mjinga kiasi hicho awape ardhi yetu bure watu wa kuja moja kwa moja
Wavamizi kivipi na wamepewa na nyerereSiyo mali yao ni wavamizi tu sababu wanajua maza atawapa mali zetu
Bahali ndio kitu gani?Hii mizanzibali inataka bahali yote iwe yao.
Hayo ndiyo matatizo ya mikataba/makubaliano yasiyokidhi sheria. Kama kungekuwepo mkataba wa maandishi, leo hii hakungekuwa na haja ya mjadala. Vivyo hivyo, suala la bandari linahitaji mkataba ambao hautazua malumbano siku za usoni. Tayari tumeona si chini ya nchi tisa zilizofikishana mahakamani na DP World. Lazima tugutuke na kuchukua tahadhari zipaswazo.Angalizo tu; wachangiaji baadhi wajue hilo eneo limetolewa tangu enzi za Mwalimu. Wasije kufikiria ni awamu ya sita. Maana kuna wavivu wa kusoma history ya nchi ila wepesi kujadili history ya nchi wasiyoijua.🙏🙏🙏
Nani amekwambia ilikua kwa muda?Unasaidiwa eneo kwa muda, baadae unasema mali yako.
Si huko kwenye mimaji ya chumvi.Bahali ndio kitu gani?
Wewe unataka wafutiwe umiliki wezako wanamalizia kupewa hiyo hati milikiHekari 17,000 walikuwa wananenepesha ng'ombe wangapi at a time?
Lifutiwe umiliki kwa kutoendelezwa halafu lipangwe wauziwe wenye uhitaji.
Kwa mujibu wa huyo msemaji wa Smz aliejenga humo ndio imekula kwakeMpaka sasa hiyo sio ardhi yao, na aliyejenga humo au kuuziwa inabidi alipwe fidia wakitaka kumtoa
Wewe vipi wakadai kitu ambacho tayari wanacho hilo shamba lipo na hao smz wanalitumia kwa kufundishia wanafunzi wa idara ya kilimo ya smzAliyewapa hayupo, waende wakamdai, hakuna kutoa ardhi hapa
Sasa kama alizaliwa miaka 56 iliyopita (1967); miaka 59 iliyopita (1964) alinusurika vipi kuuwawa ilhali kwa maelezo yako hakuwa amezaliwa?Huyu ni mzazibar lazima atetee Zanzibar.
Hilary, ambaye pia aliasisi kipindi cha Charanga Time kilichomzidishia umaarufu akiwa Radio One Stereo, alizaliwa Zanzibar miaka 56 iliyopita eneo la Jang’ombe. Aliwahi kunusurika kuuawa kwa risasi mwaka 1964, siku moja baada ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliyoundoa utawala wa Sultan na kuiweka Serikali ya Watu wa Zanzibar.
Wacha kupotosha hilo shamba halijaporwa hao smz wanalimiliki ki halali kabisa nyerere kwa mahaba yake Alimpa Aboud Jumbe litumiwe na SmzWizi mtupu, lilipaswa kuwa na hati tangu awali, Watanganyika tuamke tuache upole, tutaporwa mali zetu
Serikali ya Smz hilo shamba liko makurungeSerikali ya wapi ?
Na hilo shamba lipo wapi?