Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Ila kuna haja Sheria ya ardhi ikafanyiwa maboresho.
Haiwezekani Ardhi yote ya Tanzania kuwa ni mali ya Rais kama msimamizi.
Ndiyo maana maRais wetu wamekuwa wakiiuza kadri wapendavyo kwa wageni.
Refer ardhi ya Loliondo na hiyo ya Bagamoyo waliyopewa Wazanzibar kwa utashi wa Rais peke yake 🙌
Haiwezekani Ardhi yote ya Tanzania kuwa ni mali ya Rais kama msimamizi.
Ndiyo maana maRais wetu wamekuwa wakiiuza kadri wapendavyo kwa wageni.
Refer ardhi ya Loliondo na hiyo ya Bagamoyo waliyopewa Wazanzibar kwa utashi wa Rais peke yake 🙌