Wewe utakuwa mzanzibariAngalizo tu; wachangiaji baadhi wajue hilo eneo limetolewa tangu enzi za Mwalimu. Wasije kufikiria ni awamu ya sita. Maana kuna wavivu wa kusoma history ya nchi ila wepesi kujadili history ya nchi wasiyoijua.🙏🙏🙏
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe utakuwa mzanzibariAngalizo tu; wachangiaji baadhi wajue hilo eneo limetolewa tangu enzi za Mwalimu. Wasije kufikiria ni awamu ya sita. Maana kuna wavivu wa kusoma history ya nchi ila wepesi kujadili history ya nchi wasiyoijua.🙏🙏🙏
Charlse Hillary kawa lini mwanasheria?Mkurugenzi wa Idara ya Mawasiliano Ikulu Zanzibar na Msemaji Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Charles Hilary ametolea ufafanuzi suala eneo ambalo lipo Bagamoyo Tanzania Bara lakini eneo hilo linamilikiwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Chanzo: PowerBreakfast (Clouds FM)
Acheze kwa step na Kauli zake, lile tamko la Mwanzo alibugi.Huyu ni mzazibar lazima atetee zanzibar.
Hilary, ambaye pia aliasisi kipindi cha Charanga Time kilichomzidishia umaarufu akiwa Radio One Stereo, alizaliwa Zanzibar miaka 56 iliyopita eneo la Jang’ombe. Aliwahi kunusurika kuuawa kwa risasi mwaka 1964, siku moja baada ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliyoundoa utawala wa Sultan na kuiweka Serikali ya Watu wa Zanzibar.
Maana yake wanapewa eneo awamu ya 6Anawaambia hataki kuongelea hati, anataka story.
Hati ndio zinashughulikiwa saiv, maanake ndio wanakabidhiwa rasmi.
Huyu ni mzazibar lazima atetee zanzibar.
Hilary, ambaye pia aliasisi kipindi cha Charanga Time kilichomzidishia umaarufu akiwa Radio One Stereo, alizaliwa Zanzibar miaka 56 iliyopita eneo la Jang’ombe. Aliwahi kunusurika kuuawa kwa risasi mwaka 1964, siku moja baada ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliyoundoa utawala wa Sultan na kuiweka Serikali ya Watu wa Zanzibar.
nani Mha?Waha wapuuzi wanaroho mbaya sana
all from googleAlizaliwa miaka 56 iliyopita halafu akanusurika kifo kwa risasi mwaka 1964!😂 get your facts straight
Wenye nalo wakilihitaji watachukua tu......Maana yake wanapewa eneo awamu ya 6
Huyo chalesi kashajisahau kuwa baba yake alikuwa Muha mama yake Mnyamwezinani Mha?
Is it? biography kidogoHuyo chalesi kashajisahau kuwa baba yake alikuwa Muha mama yake Mnyamwezi
Ushauri wako umekataliwaKwa kuwa tayari wananchi wanaishi eneo hilo na kujenga nyumba za kudumu nashauri Hati ya ardhi hiyo ifutwe.
Wala hajabugi hilo shamba ni la smzAcheze kwa step na Kauli zake, lile tamko la Mwanzo alibugi.
Au alifanya kwa makusudi akijua kitakachotokea.
Wala hajabugi hilo shamba ni la smz
Hilo eneo wanalo zamani hiyo awamu ya 6 watawapa hati milikiMaana yake wanapewa eneo awamu ya 6
Kunafaika na kitu gani?Zanzibar isiponufaika awali hii haitanufaika tena!
Ndio hilo eneo alipewa Rais Aboud Jumbe na Mzee Njerere ulizia vizuriYaani SMZ imiliki eneo bara[emoji23] okeee! wait and see.
Kuna uthibitisho wa haya unayosema??Angalizo tu; wachangiaji baadhi wajue hilo eneo limetolewa tangu enzi za Mwalimu. Wasije kufikiria ni awamu ya sita. Maana kuna wavivu wa kusoma history ya nchi ila wepesi kujadili history ya nchi wasiyoijua.[emoji120][emoji120][emoji120]