Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Charles Hilary Mkwanga, hyo ni wishes ya Mchaguaji Wa Kwetu [emoji3][emoji3]Charles Hillary ni Mzanzibari?
Pigia jibu mstari.Charles Hillary ni Mzanzibari?
Mke wake ni Waziri Wa Mawota [emoji3][emoji3][emoji3]Jamaa mbona anaandamwa na matukio sana?! Huyu si ndo mke wake alimruhusu aoe mke wa pili kumbe yeye anaenda kuolewa na yule jamaa waziri,,,,,?!
Nimeona picha Yako Umeweka Kama Electrical Engineer. Then unaita watu ni Kafiri?duh, kafir na Znz wapi na wapi
Daaaaah mkuu huu ubaguzi unautoa wapi km Rais mwenyewe kaona anafaa?! Swala la ajira na ufanisi wa kazi linaendana vp na itikadi ya dini ya mtu?!duh, kafir na Znz wapi na wapi
Unaitaje binadamu mwenzako kafir mkuu mamlaka hayo umeyatoa wapi?duh, kafir na Znz wapi na wapi
Kufanya kazi Azam ni kama kufanya kazi ZanzibarKesho anaagwa rasmi Azam anaenda zake Unguja kula bata.
Wewe unaeita wenzako kafir na wewe ukiitwa GAIDI utajisikiaje?😡😡😡duh, kafir na Znz wapi na wapi