Maulaga59
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 2,984
- 2,971
Heshima yako kaka mkubwa,huu mwaka sijazaliwa na huu uzee wangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heshima yako kaka mkubwa,huu mwaka sijazaliwa na huu uzee wangu
Kwani Wazanzibari wangapi wanasoma sekondari bara? mbona miaka ile ya sabini na themanini walikuwepo wengi sana ambao walimalizia sekondari bara kwa vile enzi zile sekondari zilikuwa mbili tu, moja unguja na moja pemba. Kwa hivyo waliokuwa na uwezo wengi wakipeleka watoto wao bara kusoma sekondari au kumalizia form three na four bara.
Mwenyewe amethibitisha kuwa ni Mzanzibar na kuwa ndio kwao wewe unapata shida ya nini?
Kweli baba yake alitokea bara na kuzamia Zanzibar kutafta maisha, Mama ake alikua ni mzanzibari na yeye akazaliwa Zanzibar nakukulia huko, alihamia Bara kuja kwa mama yake mdogo.
Wakuu Kuna Mabadiliko Ya Nafasi kule Ikulu Zanzibar.
Charles Hilary ameteuliwa na Rais Mwinyi Kuwa DG mpya Wa Mawasiliano ya Rais Ikulu Zanzibar..
Kulikoni Wa Kwetu Huyu Van Mohammed Tena Kuliwa Kichwa?View attachment 2063000
Sent using Jamii Forums mobile app
Charles Hillary ni Mzanzibari?
Wakuu Kuna Mabadiliko Ya Nafasi kule Ikulu Zanzibar.
Charles Hilary ameteuliwa na Rais Mwinyi Kuwa DG mpya Wa Mawasiliano ya Rais Ikulu Zanzibar..
Kulikoni Wa Kwetu Huyu Van Mohammed Tena Kuliwa Kichwa?View attachment 2063000
Sent using Jamii Forums mobile app
hii nchi ngumu hii....hahaha.Hivi Charles Hilary alishawahi kuwa BBC Swahili?
Basi mzanzibari kwa kuzaliwa. Inaswihi pia. Maana huku Zanzibar watu wengi wana asili zao. Wenye makabila ya pure zanzibar ni wachache.Upo sahihi kabisa, wanaosema Charles Hilary ni Mzanzibari ni vijana tu wa kwenye huu mtandao ambao kila mmoja anataka ajifanye anajua. Majina yake kamili ni Charles Martin Hilary Mkwanga. Sekondari alisoma Kinondoni Muslim na kumaliza kidato cha nne 1979 na kujiunga RTD 1982. Zilizofuata ni kozi mbalimbali za utangazaji na uzoefu wa kazi. Kazi walianza mwaka mmoja na Betty Mkwassa wakati huo akiitwa Betty Chalamila. Kwa hiyo ukweli ni kuwa Bwn Charles Hilary ni Mpogoro ( kabila dogo la Kindamba), hana uhusiano na Uzanzibari hata kidogo na wala lafudhi yake ya kuongea siyo ya Kizanzibari,.
Ingekuwa huku kuna ubaguzi kungekuwa na mawaziri wenye asili ya Zanzibar huku bara!Ubaguzi aliuanza mchongameno, mbona Samia akiteua kutoka Zanzibar mnabweka sn
Msiklize hapo Charles ndo utajua yeye kakulia Kariakoo karibu na klabu ya Simba, mtaa wa Magiri, Msimbazi Quarters.Basi mzanzibari kwa kuzaliwa. Inaswihi pia. Maana huku Zanzibar watu wengi wana asili zao. Wenye makabila ya pure zanzibar ni wachache.
Amezaliwa Zanzibar inatosha kusema yeye ni Mzanzibari haijalishi amekulia wapi au wazazi wake wametokea wapi.Msiklize hapo Charles ndo utajua yeye kakulia Kariakoo karibu na klabu ya Simba, mtaa wa Magiri, Msimbazi Quarters.
Nasikia mkataba wake na Azam ulikuwa unaelekea mwisho. Serikalini tunaishi kwa safari na honorariumSidhani tena sidhani ulichokiandika hapo kama umekifanyia utafiti. In short Charles si bwege kuacha maslahi makubwa kwenda ambako maslahi mdogo. Ana uwezo wa kukata a kuteuliwa. Bottom line is 'Ikulu ni Ikulu' Anakula sawa na Aniu wa Magogoni kama sio Chamwino.
Unachong'ang'ana nacho hata hakieleweki, sijui nikuite bwege au kalumekenge! Wewe utalazimishaje mtu sehemu au nchi isiyo yake, yeye ni Mpogoro kwa taarifa yako na wala lafudhi ya kiswahili chake haina uhusiano kabisa na Zanzibar kama kweli unajua lahaja! Kiswahili chake ni cha bara.Amezaliwa Zanzibar inatosha kusema yeye ni Mzanzibari haijalishi amekulia wapi au wazazi wake wametokea wapi.
Usichoelewa wewe ni kwamba uraia ni dhana pana sana ukizingatia Zanzibar kabla ya Muungano ilikuwa ni nchi inayojitegemea. Na pia ukielewa aina za uraia basi wewe ndio utajiona bwege kuliko unavyojiona sasa hivi, endelea kung'aa sharubu.Unachong'ang'ana nacho hata hakieleweki, sijui nikuite bwege au kalumekenge! Wewe utalazimishaje mtu sehemu au nchi isiyo yake, yeye ni Mpogoro kwa taarifa yako na wala lafudhi ya kiswahili chake haina uhusiano kabisa na Zanzibar kama kweli unajua lahaja! Kiswahili chake ni cha bara.
Amezaliwa Zanzibar inatosha kusema yeye ni Mzanzibari haijalishi amekulia wapi au wazazi wake wametokea wapi.
Kabla ya Muungano yeyote aliyezaliwa Zanzibar ni Mzanzibari baada ya Muungano sote ni Watanzania, wapo Wamakonde na wamezaliwa Zanzibar lakini nao ni Wazanzibari kwa kuzaliwa. Jua kwanza dhana ya uraia! Balaghau wahed!!Unachong'ang'ana nacho hata hakieleweki, sijui nikuite bwege au kalumekenge! Wewe utalazimishaje mtu sehemu au nchi isiyo yake, yeye ni Mpogoro kwa taarifa yako na wala lafudhi ya kiswahili chake haina uhusiano kabisa na Zanzibar kama kweli unajua lahaja! Kiswahili chake ni cha bara.
Swala la kuwa Mpogoro haliondoi uhalisia wake wa kuzaliwa Zanzibar na kuwa Mzanzibari, Uzanziabri sio kabila bali ni uzaliwa wa eneo la Zanzibari.Hata angezaliwa North Korea au Afghanistan yeye ni MPOGORO wa MALINYI mkoa wa MOROGORO, na maisha yake yako BARA! Upo hapo! Hana shida na huko Zanzibar unakosema maana siyo nchi yake!
Kumbe hujielewi! Ndani ya Muungano Zanzibar ni nchi??Hata angezaliwa North Korea au Afghanistan yeye ni MPOGORO wa MALINYI mkoa wa MOROGORO, na maisha yake yako BARA! Upo hapo! Hana shida na huko Zanzibar unakosema maana siyo nchi yake!
Wewe kweli ni kenge, haya nenda kalambe miguu yake maana unaona kama vile ni mtu wa maajabu!Kumbe hujielewi! Ndani ya Muungano Zanzibar ni nchi??
Sina kawaida ya kulamba miguu, lete tako lako nikulambe! Kiongozi wa kenge!!Wewe kweli ni kenge, haya nenda kalambe miguu yake maana unaona kama vile ni mtu wa maajabu!