Dah itakuwa mzee alipata mshtuko kijana wake kufariki. Katika wakati mgumu kwa binadamu ni kufulia, kupigwa chini na demu na msiba.😳😳😳 aisee vifo double double duh! Yule Waziri wa Ulinzi Baba yake pia kafariki.
Achana nao hao. Ukiwaambia Ally Hassan Mwinyi aliwahi kuwa Rais wa Zanzibar wanashikwa na mshangao.Huwezi kumwita Mzee Keenja mbabaishaji
vijana mmekua watupu sana vichwani
Dah itakuwa mzee alipata mshtuko kijana wake kufariki. Katika wakati mgumu kwa binadamu ni kufulia, kupigwa chini na demu na msiba.
Acha ushamba na ujinga inamaana kaswende na kisonono yaliacha kuwa magonjwa yanayoua!!?Delta force inafosi kweli kweli duh!! Mbona tutaisha
Sasa yeye kuwa Rais wa zenji itatusia nini? Je itatusaidia kupata sado ya mahindi?Achana nao hao. Ukiwaambia Ally Hassan Mwinyi aliwahi kuwa Rais wa Zanzibar wanashikwa na mshangao.
Ila inauma na kusikitisha wote kufa pamoja wakati mmoja. Napiga picha familia yao inavyopitia wakati mgumu.Inadaiwa ilikuwa ni changamoto ya kupumua pia.
Mzigo wa Delta force
Sasa yeye kuwa Rais wa zenji itatusia nini? Je itatusaidia kupata sado ya mahindi?
R. I. P Mr and Mrs
Ila inauma na kusikitisha wote kufa pamoja wakati mmoja. Napiga picha familia yao inavyopitia wakati mgumu.
Mkuu BAK hivi hii Delta na Indian variant ni sawa?
Mzigo hauna huruma, umesepa na couple kabisa...haya mambo acha tuMzigo wa Delta force
Alipanda miti sana wakati wake.ALIOSHA SANAMU LA ASKARI PALE POSTA MCHANA KWEUPEEE
Hii inayopiga kitaa itakuwa Delta Force 3.
Aibu blazaaMzigo hauna huruma, umesepa na couple kabisa...haya mambo acha tu
Nipe anuani nikutumie hilo sado la mahindi, lisikupe sana mawazo 😀Sasa yeye kuwa Rais wa zenji itatusia nini? Je itatusaidia kupata sado ya mahindi?
R. I. P Mr and Mrs
Ila inauma na kusikitisha wote kufa pamoja wakati mmoja. Napiga picha familia yao inavyopitia wakati mgumu.
Mkuu BAK hivi hii Delta na Indian variant ni sawa?
Na jiji lilikuwa safiAlipanda miti sana wakati wake.
Rest Easy brother
Mkuu mbeya kuna misiba mingi sana nafikiri kwa mbeya mjini apa kila mahala ni msiba kwa sisi wenye wazazi walioenda umri kila siku wanashunda misibani tu leo anakwambia wa huyu kesho anakwambia wa yule ni shida mpaka tunajiuliza ndo mwisho wa dunia tumefika au vipiMBONA KAMA MISIBA INAANZA KUSHIKA HATAMU???