Manyovumpya
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 742
- 504
Ila kala maisha..ubunge..uwaziri...R.i.pAliyewahi kuwa Mkurugenzi wa Tume ya Jiji la Dar, Mbunge wa Ubungo na Waziri kipindi cha awamu ya tatu Charles Ndiliana Ruwa Keenja amefariki Dunia leo akipatiwa Matibabu Seifee Hospital jijini Dar.
Marehemu Keenja alizaliwa December 24, 1940.
Mungu aipokee Roho ya Marehemu mahali pema peponi.
Pia soma
😅😅😅Huyu mdudu yaani shida sana, moja ya mtihani mkubwa ambao mwanadamu hajapata kuupitia...
Yaani huwezi kuishi pasipo kupumua, then mdudu yeye kakomaa kukaa kwenye hewa ambayo lazima uivute...
😠😠
Cov inaondoaga watu kihivyo. Inaweza ikabeba hata 6 kwenye familia ndani ya 2 weeks.Duh inakuwaje mtu na mkewe kufariki siku moja kwa situation ambayo sio ajali?
Nakuona Dalali wa machanjo unajaribu kutupia nyavu...Huyu mdudu yaani shida sana, moja ya mtihani mkubwa ambao mwanadamu hajapata kuupitia...
Yaani huwezi kuishi pasipo kupumua, then mdudu yeye kakomaa kukaa kwenye hewa ambayo lazima uivute...
[emoji34][emoji34]
HahahaaaaHiyo ni ya India Mkuu na inaambukiza na kuua haraka sana wengi tangu waipate hadi kifo wiki haifiki hasa kwa wale ambao hawajapata chanjo.
MBONA KAMA MISIBA INAANZA KUSHIKA HATAMU???
Daah inasikitisha sana.Waziri wa zamani wa Kilimo Charles Keenja pamoja na mke wake wameaga dunia leo katika hospitali ambayo haijajulikana mapema.
Vifo hivyo vimetokea leo mchana, kwa mujibu wa mmoja wa wanafamilia ya mzee keenja, kabla ya mauti Keenja na mkewa walikuwa wamelazwa hospital takribani siku 3 hivi wakisumbuliwa na changamoto ya upumuaji.
Taarifa zaidi tutawawekea hapa
Mke wake ame RIP jioni ya leoAliyewahi kuwa Mkurugenzi wa Tume ya Jiji la Dar, Mbunge wa Ubungo na Waziri kipindi cha awamu ya tatu Charles Ndiliana Ruwa Keenja amefariki Dunia leo akipatiwa Matibabu Seifee Hospital jijini Dar.
Marehemu Keenja alizaliwa December 24, 1940.
Mungu aipokee Roho ya Marehemu mahali pema peponi.
Pia soma
Huku wanatupiga kule sir God anawanyuka haswa wiki moja 1. Kwandikwa 2. Keenja dahAliyewahi kuwa Mkurugenzi wa Tume ya Jiji la Dar, Mbunge wa Ubungo na Waziri kipindi cha awamu ya tatu Charles Ndiliana Ruwa Keenja amefariki Dunia leo akipatiwa Matibabu Seifee Hospital jijini Dar.
Marehemu Keenja alizaliwa December 24, 1940.
Mungu aipokee Roho ya Marehemu mahali pema peponi.
Pia soma
Wamepishana muda kidogo na mke wake.Naye amekata moto baada ya mumewe.Aliyewahi kuwa Mkurugenzi wa Tume ya Jiji la Dar, Mbunge wa Ubungo na Waziri kipindi cha awamu ya tatu Charles Ndiliana Ruwa Keenja amefariki Dunia leo akipatiwa Matibabu Seifee Hospital jijini Dar.
Marehemu Keenja alizaliwa December 24, 1940.
Mungu aipokee Roho ya Marehemu mahali pema peponi.
Pia soma
Lini hakukuwahi kuwa na misiba? Binadamu tunakufa na kuzaliwa kila siku. Japo tulipenda kuendelea kuwa naye, mzee umri ulishasonga. 1940 ina maana miaka karibu 81. Kwa Tanzania ni mzee sana.MBONA KAMA MISIBA INAANZA KUSHIKA HATAMU???
Umeona death certificate yake au ndio udaku wa JF?duu, corona ina fyeka watu kweli kweli!