Chasambi akataa milioni sita Yanga, asaini Msimbazi kwa milioni 2

Chasambi akataa milioni sita Yanga, asaini Msimbazi kwa milioni 2

Amefanya jambo zuri tu. Pale simba wachezaji wengi ni vibabu. Kwa hiyo ni rahisi kwake kufikiriwa. Yanga ilipofikia kwa sasa, inahitaji mchezaji mwenye kipaji kikubwa zaidi ya hicho cha kwake.
 
Nyota wa klabu ya Mtibwa Sugar Ladack Chasambi amesajiliwa na kikosi cha Simba kwa dau la million 70 na mshahara wa Million mbili [2] kila mwezi kwa miaka mitatu [3].

Chasambi imeitupilia mbali ofa ya Yanga ambayo ilikuwa na dau la usajili la Million 70 na mshahara wa Million sita [6] kwa mwezi, sababu kubwa ya kuitosa Yanga ni ufinyu wa nafasi ya kucheza kwenye kikosi hicho tofauti na Simba inayojitafuta.

Mbali na ofa Yanga ambayo aliipiga chini, ofa nyingine ilikuwa inatoka Azam FC mahali ambapo hakufikiria mara mbili kutokana na dau lao kuwa dogo, lakini pia klabu ya AS Vita ilikuwa inaihitaji saini yake.

Ladack ni miongoni mwa nyota wawili [2] ambao usajili wao umekamilika ndani ya klabu ya Simba kati ya sita [6] ambao wanatarajiwa kusajiliwa na klabu hiyo kwenye dirisha hili dogo la usajili la mwezi January.

Chasambi atakuwa sehemu ya kikosi cha Simba kitakachoshiriki michuano ya mapinduzi yanayotarajiwa kuanza kurindima mwezi December.
Wakumbusheeenawaleeewalioibiwaaa Airport wapemrejeshooo
 
Nyota wa klabu ya Mtibwa Sugar Ladack Chasambi amesajiliwa na kikosi cha Simba kwa dau la million 70 na mshahara wa Million mbili [2] kila mwezi kwa miaka mitatu [3].

Chasambi imeitupilia mbali ofa ya Yanga ambayo ilikuwa na dau la usajili la Million 70 na mshahara wa Million sita [6] kwa mwezi, sababu kubwa ya kuitosa Yanga ni ufinyu wa nafasi ya kucheza kwenye kikosi hicho tofauti na Simba inayojitafuta.

Mbali na ofa Yanga ambayo aliipiga chini, ofa nyingine ilikuwa inatoka Azam FC mahali ambapo hakufikiria mara mbili kutokana na dau lao kuwa dogo, lakini pia klabu ya AS Vita ilikuwa inaihitaji saini yake.

Ladack ni miongoni mwa nyota wawili [2] ambao usajili wao umekamilika ndani ya klabu ya Simba kati ya sita [6] ambao wanatarajiwa kusajiliwa na klabu hiyo kwenye dirisha hili dogo la usajili la mwezi January.

Chasambi atakuwa sehemu ya kikosi cha Simba kitakachoshiriki michuano ya mapinduzi yanayotarajiwa kuanza kurindima mwezi December.
Si umnukuu pia ulipoitoa hii habari ...maana haujaacha hata herufi moja...
 
Mchezaji mwenyewe malengo hawezi poteza muda wake Yanga aisee.
 
Hamna mchezaji wa kibongo anaye kataa mil 6,huo uongo ukiniambia timing na kuelewa ila wachezaji wa kibongo walivyokuwa na njaa hamna chipukizi wa kukataa mil 6.Halafu chupukizi wengi ktk timu hizi kubwa hamna anaye vuka mil 3,huyo kapteni Boko anavuta saba na mkongwe.

Hii chai ukiniambia Yanga alizidiwa timing na kuelewa.
 
Mwenyewe nimeshangaa sana mtu anawezaje kukataa mil 6 kisa benchi wakati yeye bado n dogo Tu anayejitafuta....

Maana hata Huko Simba Hana nafasi ya uhakika lazima apambane kupata nafasi
Halafu akija Mkongoman akasajiliwa kwa mshahara wa 15m na awe anasugua bila kucheza. Dogo atarudi kwenye hadithi ya Ugali na Sukari. Kwa nini wachezaji wetu hawatumii Mawakala wa Mpira wenye uzoefu na masuala ya negotiation?
 
Jamaa habari zake amekuwa anapongwa sana mara afute, mara aedit... Achague kuwa Pundit ama Agent yaishe... Alikuwa anampost yule mtoto wake tipwatipwa kama Mimi eti atoboe ..atoboe aende wapi 😂😂😂
Mhaya ana tamaa yule pundit yeye ,uwakala yeye
 
Mbona kama ni chai hivi, yanga watoe milioni 6 mchezaji ndio kwanza anatoka mtibwa..

Ila angeenda huko huko utopoloni akawa anakunja m 6 kwa mwezi, huku akipambana kupenya kikosi cha kwanza,
Hata simba nafasi ni finyu kuna wachezaji kibao wanasugua.
Angetoa sababu za kimichezo, mfano labda simba wamemuonesha anavyohitajika, labda kocha ndio kamtaka kampa plans zake, kamuhakikishia namba na vile atakavyotumika. La sivyo hata simba akifanya ujinga atasugua.
Huyu ni kolo anajifariji tu.Mchezaji atoke mtihwa u20 msimu mmoja ambao hata nusu haijafika Yanga impe 6m Kila mwezi.
 
Nyota wa klabu ya Mtibwa Sugar Ladack Chasambi amesajiliwa na kikosi cha Simba kwa dau la million 70 na mshahara wa Million mbili [2] kila mwezi kwa miaka mitatu [3].

Chasambi imeitupilia mbali ofa ya Yanga ambayo ilikuwa na dau la usajili la Million 70 na mshahara wa Million sita [6] kwa mwezi, sababu kubwa ya kuitosa Yanga ni ufinyu wa nafasi ya kucheza kwenye kikosi hicho tofauti na Simba inayojitafuta.

Mbali na ofa Yanga ambayo aliipiga chini, ofa nyingine ilikuwa inatoka Azam FC mahali ambapo hakufikiria mara mbili kutokana na dau lao kuwa dogo, lakini pia klabu ya AS Vita ilikuwa inaihitaji saini yake.

Ladack ni miongoni mwa nyota wawili [2] ambao usajili wao umekamilika ndani ya klabu ya Simba kati ya sita [6] ambao wanatarajiwa kusajiliwa na klabu hiyo kwenye dirisha hili dogo la usajili la mwezi January.

Chasambi atakuwa sehemu ya kikosi cha Simba kitakachoshiriki michuano ya mapinduzi yanayotarajiwa kuanza kurindima mwezi December.

Nafasi ya kucheza kwa Simba isiyo na rotation
Sababu itakuwa ni mshahara mkubwa wa simba vice versa is true
 
Na vipi kama maamuzi ambayo kachukua yakawa sahihi..Bado utakuwa na dout mkuu??

Mpira ni maisha, na yeye kaamua kuchukua maamuzi Kama sehemu ya maamuzi katika maisha yake, huenda akawa amepatia au amekosea tuache muda uongee

Pia hata yeye nafikiri kabla ya kufanya maamuzi hayo alifikiri na kuja na maamuzi aliyochagua, pia tusiangalie kwa Simba na Yanga vipi kuhusu Azam au as Vita??? .....mkuu tuache muda uongee Alafu tujeku judge baadae
Uamuzi wowote saa nyingine hauwezi kuwa sahihi Kwa kila mtu. Hata mapenzi Kwa timu Fulani nayo siyo ya kuyapuuza pia. Hata ulaya ambako ndo reference yetu Kuna wakati mchezaji anakuwa tayari hata mshahara upungue Ili mradi tu akacheze timu anayoitaka Kwa sababu zake mwenyewe.
 
Back
Top Bottom