Yaah kwasababu we ni Mbu mbu MbuKwa hiyo mwafrika mweupe kuitwa mzungu au Zungu ni kosa?
Mbona mimi ni mweusi tii kama mkaa au lami, lakini watu wakiniita blackie au mpingo nafurahi tu?
Kwa maoni yangu Chasambi hajafanya kosa lolote kutakiwa aombe msamaha.
Acha kuyatafutia maneno harmless maana mbaya.
Angepigwa sanctionsAngemuita albino si ndo mngeandamana na matarumbeta kwenda kwa Trump na Mask kwenda kushitaki
Hapana yanga ndo maana alimtafutia Kwa sababu ya udogo wa yanga zidi ya manara ndo maana walifukuzwa wengi walioipigania yanga hasa wakati wa bakuli ili kumpisha manara aipe ukubwa yanga
Kwani Albino ni tusi? Je angesema zeruzeru?Alimaanisha Albino
Nadhani washauri wa Chasambi wamwambie acheze mpira, aachane na 🎤 🎙️
Always matajiri hatupendi kuonekana... that's y nguo tunazo vaa. Elon musk.......mark Zuckerberg na Jeff bezos na Mimi LABAN og ukiziona waweza hisi hatuna pesaHuna ndio maana unatumia TEKNO simu ya walevi.
Mbona mkali cocaAfu mbna kumuita Mzungu kampa heshima na hype, ilitakiwa amuite "Takadini"
Hilo Li Sope mbna lenyewe linawacharuaga wenzie, mxxxiiieeew.
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Lkn chasambi ndo kamchokozaLakini aliyafuta mazuri yote aliyoyafanya akiwa Simba Kwa jinsi alivyokuwa aki act Kama vile alikuwa na kisasi na Simba alikotoka.
Manara alishindwa kuelewa kuwa alikuwa na ugomvi na bosi wake Tu na wala si Timu ya Simba. Pamoja na umri wake wote huo hajui 'Utu Uzima ni dawa' Angetoka na kuhama Timu bila jeuri Kama alivyofanya, angejijengea heshima.
Hizi Timu kubwa Simba na Yanga si za viongozi Tu, zinawafuasi mamilioni, ilipaswa awe makini na maneno na kejeli zake
Pale Yanga manara halipwiHapana yanga ndo maana alimtafutia Kwa sababu ya udogo wa yanga zidi ya manara ndo maana walifukuzwa wengi walioipigania yanga hasa wakati wa bakuli ili kumpisha manara aipe ukubwa yanga
Pale yeye ni sehemu ya kuchangamsha genge .....Baba zima lilivalia njuga mpk likatengeneza jina kwny jezi...yy alikua anafikiria nini huyo zungu?
Heee ww kumbe hamnazo aisee halafu huna unalolijua yani Manara ameizidi Simba Followers...yani ukiingia muda huu mtandao wowote utakuta manara ameizidi simba followers? Hivi huko utopoloni kweli huwa mna reason kabla ya kuropoka...Manara na Simba .....nani ana followers wengi mitandaoni [emoji23][emoji23][emoji23]
Manara ni mkubwa Kwa Simba
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Hapana mkuu...mtu hawezi kuwa mkubwa Kwa nchiTunapoelekea utatueleza kwamba Mange Kimambi ni mkubwa kuliko Tanzania.
Ngoja achangamshe magenge ya huko kwenu madimbwini...Pale yeye ni sehemu ya kuchangamsha genge .....
That's y manara ni legend wa hamasa kwenye soka
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Na wewe unaamini hilo?Inasikitisha sana.Mtu awe mkubwa kuliko taasisi?Halafu hiyo taasisi iliyo "ndogo" imfurushe?Hapana mkuu...mtu hawezi kuwa mkubwa Kwa nchi
Ila mtu (manara) anaweza kuwa mkubwa Kwa taasisi (simba
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Ila Kwa mujibu wake yeye mwenyewe anasema analipwa kuliko mtu yoyote Sasa tumsikilize shabiki mpiga vuvuzela ambaye hata ofisi za yanga hajawahi fika au manara anayeshinda ofisi za yanga kila siku?
Aanze kwanza dulla makabilaKITENDO SI CHA KIUNGWANA
Jana nilisikia Chasambi baada ya Kufunga goli alihojiwa na kusema "Goli hili anampa MZUNGU" akiwa na maana ya kumkashifu Haji Manara jambo si la kiungwana lile na linapaswa kukemewa vile vile.
Haji Manara amefanya makubwa mno Simba SC ameifa ya Club kujulikana ndani na nje ya Tanzania ni Living legend kwenye upande wa Habari Simba, anapaswa kuheshimiwa kama wanavyoheshimiwa viongozi wngine waliowahi kupita Simba.
Ahsanteni - Mtakanyagana kwenye Comment taratibu
@sanitizerrtz
Makolo ebu mwambien huyu dogo chasambi (Mzee wa kujisweka [emoji23]) ajue mchango wa legend manara hapo ukoloni.
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Hapana yeye ni influencer nchi nzimaNgoja achangamshe magenge ya huko kwenu madimbwini...
Mbona huko aliko hamuhamasiki? Toka aje kwenu amefanya nini...
Endeleeni kudoda
Hapana Kwa Simba sio mkubwa ila Kwa yanga ni mkubwa ndo maana walitoswa yanga lialia na wakapuuzwa mashabiki oyaoya wa yanga ili tu manara aje yanga licha ya kuwatukana na kuitukana brand ya yangaHapana mkuu...mtu hawezi kuwa mkubwa Kwa nchi
Ila mtu (manara) anaweza kuwa mkubwa Kwa taasisi (simba
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app