Chat with warumi

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Wanazengo Leo najisikia tu kuchat na nyie humu , niulizeni maswali yote Ila mambo ya jinsia niachieni mwenyewe, nambie tu kipi unakipenda kutoka kwangu? Na thread gan ambayo uliipenda kutoka kwangu na kwa nini , kitu gani unapenda nibadilishe au niongeze, Ila Leo sijakaa kimbea mbea jaman, nipo tu na akili zangu timamu so msinitibue wanazengo.

Haya karibuni ulingoni


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Una chura kama yupo njoo PM

Cc Zero IQ
 
My binamu,nakupenda mnoo..toka enzi zile tunatukanwaaa!!![emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]na matola kisa umbea!!!nammis,HOE,Heaven Sent,Tatiana,ladykims,dinazarde,Queen of Sheba,mrembo by nature n.k!!!

Alikua akichambwa Wema enzi zile [emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]sisahau siku ile Lara peke yake sisi kama wote tunamchamba mange yeye anamtetea!!!Eeh Mungu wee!siku hizi nakaa siku nzima sijaingia jf...!!!



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeshawahi ku tiwa na wanaume wangapi toka umekuwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wameeenda wapi hawa watu?...umemsahau nifah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa warumi mpaka leo bado kuna members wanadhani wewe ni mwanaume?

wakapimwe akili hao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…