ChatGPT imetimiza unabii uliotolewa takriban miaka 2500 iliyopita!!

ChatGPT imetimiza unabii uliotolewa takriban miaka 2500 iliyopita!!

Haya mambo ya siku za mwisho ni hadithi za kutungwa na wahuni fulani
Biblia sio hadithi za kutungwa. Biblia ina Neno la Mungu. Neno la Mungu linaokoa majambazi na wote wanaotubu. Neno la Mungu linafukuza mashetani na wachawi. Linaponya wagonjwa nk nk nk
 
Si tulikubaliana hakuna jipya chini ya jua, kwamba yote yalikuepo? Haya sasa akili mnemba ilikuepo miaka mingapi iliyopita?
 
Hili swali ni sawa na kuniuliza kama nimeona aina mpya ya maji tofauti na yaliyopo.

Ila kwa umro nilionao nmeyaona mabadiliko mengi ya kiteknolojia na hata hapa tulipo sio mwisho wa ujio wa teknolojia mpya.

Sawa na watu walioishi kipindi ambacho hapakuwa na radio, ujio wa radio ilionekana kama jambo la kistaajabisha sana, iweje mtu aongee kwenye vipande vya nyaya na vibatii?, ndio sawa na sisi tunavyoiwaza AI na utendaji kazi wake.
Kila chenye mwanzo kina mwisho. Mungu amekufunulia hayo ili ujue huu ni wakati wa mwisho. Usifikiri mambo yataendelea hivihivi endlessly.
 
Si tulikubaliana hakuna jipya chini ya jua, kwamba yote yalikuepo? Haya sasa akili mnemba ilikuepo miaka mingapi iliyopita?
 
ChatGPT ni kitu kidogo sana kwenye ulimwengu
Hii ni thread ya mtu asiyetumia technologia kwa ukawaida
 
Kabisa mkuu ilikuwa slow kinoma. Website nyingi zikitumia flash, lazima uwe umeinstall micromedia flash player. Nakumbuka mzibo.net hapo nasikiliza ngoma za kibongo.
Hata miaka ya 2010-2015 internet cafe zilikuwa bado zinalipa lipa nilikuwa nayo moja nilipga sana pesa.
Biashara ya internet cafe ilikufa kabisa na sheria mbaya ya Posta na simu na Ile ya makosa ya mitandaoni iliyo tiwa saini na Magufuli.
Inayo lazimisha mashariti magumu ikiwemo kufungwa camera kwenye. Cafe ili aonekane kila mtumiaji.
Na ada/Kodi kubwa za kulipia hizo huduma.
Watu wakaona bora wanunue smart phones tu.
 
Maarifa yataongezeka ni too general statement. Hata leo mimi najua miaka 10 ijayo maarifa yatakuwa yameongezeka kuliko sasa. Hakuna unabii hapo. Ni fact
 
Yohana 1:12
"Bali wote waliompokea, yaani wale walioliamini jina lake, aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu."
Ukiishampokea Yesu unafanyika mtoto wa Mungu; papo hapo jina lako linaandikwa katika kitabu cha uzima. Kupokea thawabu ndio mwishoni kwa sababu kila mtu atapata thawabu kulingana na kazi aliyofanya tangu alipompokea Yesu hadi siku alipoumaliza mwendo. Mwapotea kwakuwa hamyajui Maandiko.
Kuwa mtoto wa Mungu hakufanyiki mara moja chief. Ni kuendelea kuyaish maagizo ya Mungu. Kubatizwa tu hakukupi uhakika wa kufika mbinguni ni lazima uzae matunda yanayoendana na kuzaliwa kwako. So punguza kiburi cha kujiona umefika shetan bado yupo na tunaish dunian bado. Wokovu ni wa kila siku sio mara moja tu. Ndio maana nimekuambia nikikuangaliq kwa haraka umepungukiwa kiburi kimekuzid
 
Maarifa yataongezeka ni too general statement. Hata leo mimi najua miaka 10 ijayo maarifa yatakuwa yameongezeka kuliko sasa. Hakuna unabii hapo. Ni fact
Duh, wewe unajua yatakayotokea miaka 10 ijayo? Yatakayotokea kesho tu huyajui sembuse 10 years.
 
Kuwa mtoto wa Mungu hakufanyiki mara moja chief. Ni kuendelea kuyaish maagizo ya Mungu. Kubatizwa tu hakukupi uhakika wa kufika mbinguni ni lazima uzae matunda yanayoendana na kuzaliwa kwako. So punguza kiburi cha kujiona umefika shetan bado yupo na tunaish dunian bado. Wokovu ni wa kila siku sio mara moja tu. Ndio maana nimekuambia nikikuangaliq kwa haraka umepungukiwa kiburi kimekuzid
Unapingana na Maandiko? Hayo unayosema yameandikwa wapi? Wewe unaonekana huna uhakika kama umeokoka au la. Mimi nina uhakika.

Kutii maagizo ni hatua ya pili baada ya mtu kufanyika mtoto wa Mungu.
 
Unapingana na Maandiko? Hayo unayosema yameandikwa wapi? Wewe unaonekana huna uhakika kama umeokoka au la. Mimi nina uhakika.

Kutii maagizo ni hatua ya pili baada ya mtu kufanyika mtoto wa Mungu.
Hata shetan alikuwa mtoto wa Mungu lakin matokeo yake. Punguza kibur kusema tu umeokoka haimaanishi umeokoka. Maneno yako na matendo yako tu yanatuonyesha we ninani.
 
Hata shetan alikuwa mtoto wa Mungu lakin matokeo yake. Punguza kibur kusema tu umeokoka haimaanishi umeokoka. Maneno yako na matendo yako tu yanatuonyesha we ninani.
Usichanganye masomo rafiki. Shetani hakuwa shetani tangu mwanzo. Kabla hajawa shetani alikuwa malaika mkamilifu. Kiburi kiliingia baadaye.
 
Usichanganye masomo rafiki. Shetani hakuwa shetani tangu mwanzo. Kabla hajawa shetani alikuwa malaika mkamilifu. Kiburi kiliingia baadaye.
Ndio nakuambia na wewe pia unaweza kuwa uliokoka vizur lakin kibur kwasasa ndio kimekujaa. Usisahau maandiko yanabaki kuwa maandiko tu mpaka pale anaefafanua atakapotoa maana.
 
Back
Top Bottom