Setfree
JF-Expert Member
- Dec 25, 2024
- 1,679
- 2,123
- Thread starter
- #201
Biblia sio hadithi za kutungwa. Biblia ina Neno la Mungu. Neno la Mungu linaokoa majambazi na wote wanaotubu. Neno la Mungu linafukuza mashetani na wachawi. Linaponya wagonjwa nk nk nkHaya mambo ya siku za mwisho ni hadithi za kutungwa na wahuni fulani