Soma Zaburi. Mungu anapendezwa na watakatifu waliopo duniani. Huwezi kuwa vuguvugu. Soma Ufunuo. Chagua moja uwe moto au baridi. Kusema mimi ni moto sio kiburi. Naeleza jinsi nilivyoNdio nakuambia na wewe pia unaweza kuwa uliokoka vizur lakin kibur kwasasa ndio kimekujaa. Usisahau maandiko yanabaki kuwa maandiko tu mpaka pale anaefafanua atakapotoa maana.
Hata masadukayo walikuwa kama wewe roho ya kujikinai inakusumbua. Ndio maana nikakuambia kusoma na kufafanua somo ni vitu viwili tofauti. Hata haya maandiko yanatuambia hakuna mkamilifu sote tuna dhambi tumepungukiwa utukufu wa Mungu. Tena inasema angalia wewe udhaniae umesimama usianguke. Punguza kibur huo ndio ujumbe wangu kwako kwa leo.Soma Zaburi. Mungu anapendezwa na watakatifu waliopo duniani. Huwezi kuwa vuguvugu. Soma Ufunuo. Chagua moja uwe moto au baridi. Kusema mimi ni moto sio kiburi. Naeleza jinsi nilivyo
Mungu asingetuandikia Maandiko haya kama haiwezekani kuwa watakatifu duniani:Hata masadukayo walikuwa kama wewe roho ya kujikinai inakusumbua. Ndio maana nikakuambia kusoma na kufafanua somo ni vitu viwili tofauti. Hata haya maandiko yanatuambia hakuna mkamilifu sote tuna dhambi tumepungukiwa utukufu wa Mungu. Tena inasema angalia wewe udhaniae umesimama usianguke. Punguza kibur huo ndio ujumbe wangu kwako kwa leo.
Nakuongezea mistari mingine...Hata masadukayo walikuwa kama wewe roho ya kujikinai inakusumbua. Ndio maana nikakuambia kusoma na kufafanua somo ni vitu viwili tofauti. Hata haya maandiko yanatuambia hakuna mkamilifu sote tuna dhambi tumepungukiwa utukufu wa Mungu. Tena inasema angalia wewe udhaniae umesimama usianguke. Punguza kibur huo ndio ujumbe wangu kwako kwa leo.
Sawa, mimi ni mjinga, nakupa reference nyingine..Mie huwaona watu wanaochuku taarifa za biblia kama reference kama wajinga sana!
Mafarisqyo walikuwa na maandiko kuliko wewe ila hayakuweza kuwaondolea kiburi chiefNakuongezea mistari mingine...
Yohana 1:12 – "Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake."
Warumi 8:16-17 – "Roho mwenyewe hushuhudia pamoja na roho zetu, ya kuwa sisi tu watoto wa Mungu; na kama tu watoto, basi tu warithi; warithi wa Mungu, warithio pamoja na Kristo."
1 Yohana 3:1 – "Tazameni, ni pendo la namna gani alilotupa Baba, kwamba tuitwe watoto wa Mungu; na ndivyo tulivyo!"
1 Wakorintho 6:11 – "Na baadhi yenu mlikuwa watu wa namna hiyo; lakini mlitakaswa, bali mliesabiwa haki katika jina la Bwana Yesu Kristo, na katika Roho wa Mungu wetu."
Waefeso 5:8 – "Kwa maana zamani mlikuwa giza, bali sasa mmekuwa nuru katika Bwana; enendeni kama watoto wa nuru."
Wagalatia 4:6-7 – "Na kwa kuwa ninyi ni wana, Mungu alimtuma Roho wa Mwanawe mioyoni mwetu, aliaye, Aba, Baba. Basi wewe si mtumwa tena, bali u mwana; na kama u mwana, basi u mrithi kwa Mungu."
Tito 3:5 – "Si kwa sababu ya matendo ya haki tuliyotenda sisi, bali kwa rehema yake, alituokoa, kwa kutuosha kwa kuzaliwa kwa pili na kufanywa wapya na Roho Mtakatifu."
1 Petro 2:9 – "Bali ninyi ni mzao mteule, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu, watu wa milki ya Mungu, mpate kuyatangaza matendo yake yaliyo makuu."
Yohana 15:3 – "Ninyi mmekwisha kuwa safi kwa sababu ya lile neno nililowaambia."
Hakuna mtakatifu aliyeko dunian wewe ni neema tu inatubeba maandiko huwa hayana maana moja kama unavyosoma ndio maana nikakupa pia andiko. Kila siku tunatakiwa kusali na kufanya bidii katika Kristo lakin haituondolei kuwa bado tunaish dunian. Nikuulize swaliMungu asingetuandikia Maandiko haya kama haiwezekani kuwa watakatifu duniani:
Mambo ya Walawi 20:26 – "Nanyi mtakuwa watakatifu kwangu, kwa kuwa mimi, Bwana, ni mtakatifu, nami nimewatenga ninyi na mataifa, mpate kuwa wangu."
1 Petro 1:15-16 – "Bali kama yeye aliyewaita alivyo mtakatifu, ninyi nanyi iweni watakatifu katika mwenendo wenu wote; kwa maana imeandikwa, Mtakuwa watakatifu kwa kuwa mimi ni mtakatifu."
Waefeso 1:4 – "Kama vile alivyotuchagua katika yeye kabla ya kuwekwa misingi ya ulimwengu, ili tuwe watakatifu, watu wasio na mawaa mbele zake katika upendo."
Waebrania 12:14 – "Tafuteni kwa bidii kuwa na amani na watu wote, na huo utakatifu, ambao hapana mtu atakayemwona Bwana asipokuwa nao."
Mathayo 5:48 – "Basi, iweni wakamilifu, kama Baba yenu wa mbinguni alivyo mkamilifu."
1 Wathesalonike 4:7 – "Kwa maana Mungu hakutuita tuwe wachafu, bali tuwe watakatifu."
1 Wakorintho 6:11 – "Na baadhi yenu mlikuwa watu wa namna hiyo; lakini mlitakaswa, bali mliesabiwa haki katika jina la Bwana Yesu Kristo, na katika Roho wa Mungu wetu."
Zaburi 16:3Hakuna mtakatifu aliyeko dunian wewe ni neema tu inatubeba maandiko huwa hayana maana moja kama unavyosoma ndio maana nikakupa pia andiko. Kila siku tunatakiwa kusali na kufanya bidii katika Kristo lakin haituondolei kuwa bado tunaish dunian. Nikuulize swali
ni neema tu inatubeba
Kipindi cha huo utabiri, kasi ya watu ilikuwa inaongezeka au inapungua?Usijiaibishe. Wewe ni great thinker. Maarifa yameongezeka kwenye nyanja nyingi pamoja na usafiri wa magari na ndege
Sawa ndio maana biblia inatuambia inatupasa kumuomba Mungu kila wakat bila kuchoka it means pamoja na neema gharama za kulipa ili uweze kuiishi hiyo neema sio free lunch mzee.Neema ndiyo inayotuwezesha kuwa watakatifu. Neema ndiyo inayotuwezesha kushinda dhambi
Tit 2:11-12 SUV
Maana neema ya Mungu iwaokoayo wanadamu wote imefunuliwa; nayo yatufundisha kukataa ubaya na tamaa za kidunia; tupate kuishi kwa kiasi, na haki, na utauwa, katika ulimwengu huu wa sasa
Ni kweli ila pia biblia hiyo inakuambia hakuna mkamilifu sote tuna dhambi na tumepungukiwa na utukufu wa Mungu. Na ndio maana Paulo anakuambia hajidhanii Amefika ila ana kaza mwendo ili kuifikia mji uleZaburi 16:3
Watakatifu waliopo duniani ndio Walio bora, Hao ndio niliopendezwa nao.
Nikuulize wewe unaesoma biblia kwa kukariri. Nikuulize swali?Kwahiyo Biblia inajipinga?
Biblia hiwez kujipinga ila msomaji unaweza usielewe maana biblia sio kwa kila mtu. Ndio maana wanakuwepo wachungaji kazi yao ni kukulisha na kukufafanulia.JIbu swali langu kwanza: Biblia inajipinga?
Safi. Sasa eleza mstari huo Watakatifu waliopo duniani... una maana gani kwako unayesema hakuna mtakatifu dunianiBiblia hiwez kujipinga ila msomaji unaweza usielewe maana biblia sio kwa kila mtu. Ndio maana wanakuwepo wachungaji kazi yao ni kukulisha na kukufafanulia.