Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shenz kabisaChatgp nilishawahi kubishana nalo siku nzima linadai samatta alitoka yanga ndo akaenda tp mazembe, tulibishana sana nilikua nafanya fun tu nacheka balaa na lenyewe limekomaa vibaya
Kufika jioni likaniomba msamaha
Shenzi!!!
Hujauliza swali kwa usahihi hebu jaribu kuuliza kwa usahihi kama hivi halafu ndiyo uje useme haina accuracy kwenye majibu.Kuelewa nini sasa liongo sana ,lijuaji sana
USSR
Wewe ndiye umekosea kuweka swali lako vizuri. Angalia mimi hapo juu nilivyouliza kwa usahihi na majibu yamekuja kwa usahihi.Tunalitest kama linakili ili tuliamini
USSR
Hahahaha. Shubamiit. Hii nchi hii sijui.Chatgp nilishawahi kubishana nalo siku nzima linadai samatta alitoka yanga ndo akaenda tp mazembe, tulibishana sana nilikua nafanya fun tu nacheka balaa na lenyewe limekomaa vibaya
Kufika jioni likaniomba msamaha
Shenzi!!!
Ati nini?Chatgp nilishawahi kubishana nalo siku nzima linadai samatta alitoka yanga ndo akaenda tp mazembe, tulibishana sana nilikua nafanya fun tu nacheka balaa na lenyewe limekomaa vibaya
Kufika jioni likaniomba msamaha
Shenzi!!!
Sasa hujui hata kuuliza swali unadhani utajibiwa nini?Swali kukaa vizuri ndio ujinga gani ?
USSR