ChatGPT: Tobias Andengenye ndio DG wa TISS

ChatGPT: Tobias Andengenye ndio DG wa TISS

USSR

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
10,904
Reaction score
26,184
Hili dude limejaa uongo mtupu halina maana , baada ya kusema anayemiliki Tanzania ni Mohamed Dewj leo linatulisha Matango pori

USSR
Screenshot_20241003-152520.jpg
 
Chatgp nilishawahi kubishana nalo siku nzima linadai samatta alitoka yanga ndo akaenda tp mazembe, tulibishana sana nilikua nafanya fun tu nacheka balaa na lenyewe limekomaa vibaya


Kufika jioni likaniomba msamaha


Shenzi!!!
Shenz kabisa

USSR
 
Maswali mengine mnayoliuliza hilo dude mnalichosha tu, kitu unakijua sasa unauliza ili iweje ?
 
Maswali mengine mnayoliuliza hilo dude mnalichosha tu, kitu unakijua sasa unauliza ili iweje ?
Tunalitest kama linakili ili tuliamini

USSR
 
Kuelewa nini sasa liongo sana ,lijuaji sana

USSR
Hujauliza swali kwa usahihi hebu jaribu kuuliza kwa usahihi kama hivi halafu ndiyo uje useme haina accuracy kwenye majibu.
 

Attachments

  • Screenshot_20241003_153302_ChatGPT.jpg
    Screenshot_20241003_153302_ChatGPT.jpg
    165 KB · Views: 4
  • Screenshot_20241003_153302_ChatGPT.jpg
    Screenshot_20241003_153302_ChatGPT.jpg
    165 KB · Views: 4
Wewe ndiye umekosea kuweka swali lako vizuri. Angalia mimi hapo juu nilivyouliza kwa usahihi na majibu yamekuja kwa usahihi.
Swali kukaa vizuri ndio ujinga gani ?

USSR
 
Chatgp nilishawahi kubishana nalo siku nzima linadai samatta alitoka yanga ndo akaenda tp mazembe, tulibishana sana nilikua nafanya fun tu nacheka balaa na lenyewe limekomaa vibaya


Kufika jioni likaniomba msamaha


Shenzi!!!
Hahahaha. Shubamiit. Hii nchi hii sijui.
 
Chatgp nilishawahi kubishana nalo siku nzima linadai samatta alitoka yanga ndo akaenda tp mazembe, tulibishana sana nilikua nafanya fun tu nacheka balaa na lenyewe limekomaa vibaya


Kufika jioni likaniomba msamaha


Shenzi!!!
Ati nini?
Unabisha na computer siku nzima🤣🤣🤣🤣
 
Swali kukaa vizuri ndio ujinga gani ?

USSR
Sasa hujui hata kuuliza swali unadhani utajibiwa nini?

Ukiuliza kijinga utajibiwa kijinga kadri ulivyouliza swali.

Eti ' Tanzania institute of secret service' . Tanzania hatuna kitu kama hiki bali tuna 'Tanzania Intelligence Security Services '.
 
AI - huwa anatoa majibu sahihi .

Ukitaka kumpatia uliza kwa kutumia lugha ya kiingereza iliyonyooka. Na sio kama ulivyouliza hapo juu.
 
Back
Top Bottom