Chating za wadada vs chating za wakaka

Aisee sio wote ukiona sms ninazochati na rafiki zangu kama ulikuwa na mpango wa kuoa unaweza ukaghairi maana sio kwa mitusi ile,kwanza ile unapokea simu tu unakutana na bonge la tusi!!!. Siku nikitengana nao itaniuma sana
Hahahahhahah
 
utakua unanisikiliza ninapoongea hahahahaha
 
Ndo tumeumbwa hivyo hakuna namna
 
Hili bandiko liko AUTHENTIC kwa 100%
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…