Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
- Thread starter
- #21
Iko wapi?Ndio ninayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iko wapi?Ndio ninayo
Ni kimoja.Wee jamaa mbona siku hizi unapwaya sana kichwani?
Hivi hii nayo ni hoja au kiroja?
Hakuna anayekubalika kwa 100% ya wananchi wote..... Unadhani kule kwa KUWAPIGA MASHANGAZI WA WAZIRI MKUU JPM ANAKUBALIKA KWA 100%...!?Leo Ijumaa tarehe 14, Agosti 2020 ningependa kutoa challenge kwa wagombea urais wote isipokuwa Rais Magufuli..
Tutafuta ujinga.
Kamanda mbona unatoa povu?Sema Nyani Ngabu ndiye atafuta ujinga. Jizungumzie wewe uliye mjinga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hususan Tundu Lissu na Bernard Membe maana wao ndo wanadai kuwa wanakubalika sana na umma wa Watanzania. Na kama kweli ni wajasiri kama inav
MhhhhWatakuwa salama kabisa.
🤣 🤣 🤣 ni tishu ama diaper kaka?
nini Lissu au Membe....kule Chato kuna mwanamama mmoja wa Chadema aitwa Husna... anawapelekesha kweli kweli kule.Leo Ijumaa tarehe 14, Agosti 2020 ningependa kutoa challenge kwa wagombea urais wote isipokuwa Rais Magufuli.
Hususan Tundu Lissu na Bernard Membe maana wao ndo wanadai kuwa wanakubalika sana na umma wa Watanzania. Na kama kweli ni wajasiri kama inav
Katika mizunguko yao nchini ya kutafuta wadhamini, waende pia Chato, ambako ndo nyumbani kwa Rais Magufuli, halafu wafanye hiyo mikutano yao hadharani tuone ni kiasi gani cha watu kitachojitokeza.
Tuone kama watashangiliwa.
Na tuone mengine ambayo kwa sasa hayajulikani.
Kazi kwenu Tundu na Benadi.
Tunduli huyu huyu anayebeza maendeleo yaliyofanywa kwa Wananchi wa Chato kAMA Chato sio Tanzania vile?Leo Ijumaa tarehe 14, Agosti 2020 ningependa kutoa challenge kwa wagombea urais wote isipokuwa Rais Magufuli.
Hususan Tundu Lissu na Bernard Membe maana wao ndo wanadai kuwa wanakubalika sana na umma wa Watanzania. Na kama kweli ni wajasiri kama inav
Katika mizunguko yao nchini ya kutafuta wadhamini, waende pia Chato, ambako ndo nyumbani kwa Rais Magufuli, halafu wafanye hiyo mikutano yao hadharani tuone ni kiasi gani cha watu kitachojitokeza.
Tuone kama watashangiliwa.
Na tuone mengine ambayo kwa sasa hayajulikani.
Kazi kwenu Tundu na Benadi.
Tunduli huyu huyu anayebeza maendeleo yaliyofanywa kwa Wananchi wa Chato kAMA Chato sio Tanzania vile?
Nilimsikiliza nikamuone huruma sana Tunduli, Eti Rais kajenga uwanja mkubwa sana wa Ndege Chato???Ule uwanja au airstrip? Sasa alitarajia Rais akatue na ndege yake juu ya paa za nyumba?
Rais anakuwa mtu mmoja tu katika watu mil 60, acha wivuphobia.Atakuwa Rais milele? au ni uchwara tu mwenye kutumia ndege na si watangulizi wake... usipotoshe hoja yake.
Hata hivyo TL hajabeza, amepongeza kuwa hayo ndiyo ‘mapya’ kwa serikali hii ikiwemo mbuga ya kusomba wanyama!
Jifunze kuelewa mlamu.
Kwahiyo kwa umati huu bado huamini kuwa wanakubarika ??Leo Ijumaa tarehe 14, Agosti 2020 ningependa kutoa challenge kwa wagombea urais wote isipokuwa Rais Magufuli.
Hususan Tundu Lissu na Bernard Membe maana wao ndo wanadai kuwa wanakubalika sana na umma wa Watanzania. Na kama kweli ni wajasiri kama inav
Katika mizunguko yao nchini ya kutafuta wadhamini, waende pia Chato, ambako ndo nyumbani kwa Rais Magufuli, halafu wafanye hiyo mikutano yao hadharani tuone ni kiasi gani cha watu kitachojitokeza.
Tuone kama watashangiliwa.
Na tuone mengine ambayo kwa sasa hayajulikani.
Kazi kwenu Tundu na Benadi.
Chadema awamu hii imewatukana sana wana chato na wana kanda ya ziwa kwa ujumla kwa kuwaita ni washamba!Ndo tutaujua ukweli.