Chato Challenge: Lissu na Membe wakafanye mikutano ya hadhara Chato tuone mapokezi yao

Chato Challenge: Lissu na Membe wakafanye mikutano ya hadhara Chato tuone mapokezi yao

Hakuna MTU anachukiwa kwao kama JPM!! WATU wa Chato wanamchukia jamaaa sijawahi ona ndio maana viongozi wengi wa upinzani wamefungwa
 
Wa wapi ww unafikiria kupigana Karne hii......

Hizi ndo akili zilizopandikizwa vichwani mwa vijana wa ccm hii ya magufuli....

Wanashindwa hoja zote wanakimbilia kupiga, kutukana, kujiapiza kuua na kuteka WAPINZANI....

Oneni mbwa huyu anataka tupigane eti.... 😒😒
 
Wa wapi ww unafikiria kupigana Karne hii......

Hizi ndo akili zilizopandikizwa vichwani mwa vijana wa ccm hii ya magufuli....

Wanashindwa hoja zote wanakimbilia kupiga, kutukana, kujiapiza kuua na kuteka WAPINZANI....

Oneni mbwa huyu anataka tupigane eti.... 😒😒
Ukiwa huwezi lazima uje na visingizio.
 
nyani ngabu hakuna jasiri kati ya hao wawili anayethubutu kukanyaga chato never

..ukiliangalia suala hili kwa jicho la "ujasiri" unaweza usione picha nzima.

..wakati mwingine mgombea au kampeni zinatakiwa zielekeze rasilimali maeneo ambayo kuna uwezekano wa kupata mafanikio/kura.

..kwa mfano, mgombea anaweza asifanye kampeni kubwa ktk eneo ambalo anajua ana ushawishi mkubwa, badala yake akaelekeza nguvu ktk eneo ambalo liko neutral ili aweze kujiongezea wapiga kura.

..mgombea pia anaweza asifanye kampeni kabisa ktk eneo ambalo anaona hana ushawishi na hivyo kuwekeza muda na rasilimali zozote zile itakuwa ni hasara kwa kampeni.

..mgombea pia anaweza kwenda kwenye ngome ya mpinzani wake na siyo kwa nia ya kupata kura ila kwa nia ya kumfanya mpinzani wake a-defend ngome yake na hivyo kushindwa kwenda maeneo mengine.

..mimi kwa siasa za Tz nadhani wapinzani hawana haja ya kukampeni sana ktk jimbo la Chato. Ni vigumu sana kufanikiwa ktk eneo kama hilo kwa siasa zetu za Kiafrika.

cc Nyani Ngabu
 
Leo Ijumaa tarehe 14, Agosti 2020 ningependa kutoa challenge kwa wagombea urais wote isipokuwa Rais Magufuli.

Hususan Tundu Lissu na Bernard Membe maana wao ndo wanadai kuwa wanakubalika sana na umma wa Watanzania. Na kama kweli ni wajasiri kama inavyosemwa.

Katika mizunguko yao nchini ya kutafuta wadhamini, waende pia Chato, ambako ndo nyumbani kwa Rais Magufuli, halafu wafanye hiyo mikutano yao hadharani tuone ni kiasi gani cha watu kitachojitokeza.

Tuone kama watashangiliwa.

Na tuone mengine ambayo kwa sasa hayajulikani.

Kazi kwenu Tundu na Benadi.
Hakuna mtu atashangaa kuona Lissu au Membe hawana mafuriko chattle.
 
Bado pambano ni gumu, wasanii wote wa nchi hii wametoa nyimbo kusifia utawala ila naona upepo bado haujakaa upande wao.

au ndio tuanzee kuamini kuwa mwenge ulikuwa unatembezwa ili kuwafuta ujinga watu.
 
Leo Ijumaa tarehe 14, Agosti 2020 ningependa kutoa challenge kwa wagombea urais wote isipokuwa Rais Magufuli.

Hususan Tundu Lissu na Bernard Membe maana wao ndo wanadai kuwa wanakubalika sana na umma wa Watanzania. Na kama kweli ni wajasiri kama inavyosemwa.

Katika mizunguko yao nchini ya kutafuta wadhamini, waende pia Chato, ambako ndo nyumbani kwa Rais Magufuli, halafu wafanye hiyo mikutano yao hadharani tuone ni kiasi gani cha watu kitachojitokeza.

Tuone kama watashangiliwa.

Na tuone mengine ambayo kwa sasa hayajulikani.

Kazi kwenu Tundu na Benadi.
Mataga bwana hivi ujui kuwa halmashauri ya Chato anapokaa huyo Meko inaongozwa na CHADEMA. Muombe mungu asikunyime akili. Mataga wamenyimwa akili. Yaani vichwa vyao ni matope
 
Chato ni wilaya ambayo population yake Ni ndogo mno huwez kulinganisha hata na mji mdogo wa katoro kwahy hata kama hatapata watu wengi itakua sio kipimo sahihi cha kukubalika au kutokubalika kwa wagombea uliowataja hapo
Basi ajaribu hata kwenda katoro tuone kama atapata watu wengi??
 
Kule mbona ni kwepesi sana, CDM wamwachie mziki mgombea ubunge anaweza!! Hakuna haja ya kuwasumbua wagombea Urais ...wana majukumu makubwa sana kwa sasa!!
 
Mataga bwana hivi ujui kuwa halmashauri ya Chato anapokaa huyo Meko inaongozwa na CHADEMA. Muombe mungu asikunyime akili. Mataga wamenyimwa akili. Yaani vichwa vyao ni matope
Alaaa! Basi kama Chato inaongozwa na CHADEMA, Lissu ana kila sababu za kwenda huko.
 
Well, leo Magu alikuwa Ikungi!

Nahisi kama vile Magu aliipitia hii mada yangu😄.

Ni lini wagombea wa CHADEMA na ACT nao wataenda Chato?
 
Back
Top Bottom