Chato Challenge: Lissu na Membe wakafanye mikutano ya hadhara Chato tuone mapokezi yao

Chato Challenge: Lissu na Membe wakafanye mikutano ya hadhara Chato tuone mapokezi yao

Leo Ijumaa tarehe 14, Agosti 2020 ningependa kutoa challenge kwa wagombea urais wote isipokuwa Rais Magufuli.

Hususan Tundu Lissu na Bernard Membe maana wao ndo wanadai kuwa wanakubalika sana na umma wa Watanzania. Na kama kweli ni wajasiri kama inav

Katika mizunguko yao nchini ya kutafuta wadhamini, waende pia Chato, ambako ndo nyumbani kwa Rais Magufuli, halafu wafanye hiyo mikutano yao hadharani tuone ni kiasi gani cha watu kitachojitokeza.

Tuone kama watashangiliwa.

Na tuone mengine ambayo kwa sasa hayajulikani.

Kazi kwenu Tundu na Benadi.
So kwako Chato ndio kipimo cha Siasa za Tanzania..!?
 
Huyu jamaa sometime huwa ananishangaza.....!

Anawaza chini ya Kiwango....!
 
Tunduli huyu huyu anayebeza maendeleo yaliyofanywa kwa Wananchi wa Chato kAMA Chato sio Tanzania vile?
Nilimsikiliza nikamuone huruma sana Tunduli, Eti Rais kajenga uwanja mkubwa sana wa Ndege Chato???Ule uwanja au airstrip? Sasa alitarajia Rais akatue na ndege yake juu ya paa za nyumba?
Kama shida ni kutua, marais waliopita walikuwa hawana hiyo shida?
 
Leo Ijumaa tarehe 14, Agosti 2020 ningependa kutoa challenge kwa wagombea urais wote isipokuwa Rais Magufuli.

Hususan Tundu Lissu na Bernard Membe maana wao ndo wanadai kuwa wanakubalika sana na umma wa Watanzania. Na kama kweli ni wajasiri kama inavyosemwa.

Katika mizunguko yao nchini ya kutafuta wadhamini, waende pia Chato, ambako ndo nyumbani kwa Rais Magufuli, halafu wafanye hiyo mikutano yao hadharani tuone ni kiasi gani cha watu kitachojitokeza.

Tuone kama watashangiliwa.

Na tuone mengine ambayo kwa sasa hayajulikani.

Kazi kwenu Tundu na Benadi.

And Vice Versa
 
Leo Ijumaa tarehe 14, Agosti 2020 ningependa kutoa challenge kwa wagombea urais wote isipokuwa Rais Magufuli.

Hususan Tundu Lissu na Bernard Membe maana wao ndo wanadai kuwa wanakubalika sana na umma wa Watanzania. Na kama kweli ni wajasiri kama inavyosemwa.

Katika mizunguko yao nchini ya kutafuta wadhamini, waende pia Chato, ambako ndo nyumbani kwa Rais Magufuli, halafu wafanye hiyo mikutano yao hadharani tuone ni kiasi gani cha watu kitachojitokeza.

Tuone kama watashangiliwa.

Na tuone mengine ambayo kwa sasa hayajulikani.

Kazi kwenu Tundu na Benadi.
Tunataka mjadala baina ya wagombea urais wote watuahidi miaka mitano wata watendea kitu gani watanzania kwa ambae atashika nafasi ya kuingia ikulu
 
Tunataka mjadala baina ya wagombea urais wote watuahidi miaka mitano wata watendea kitu gani watanzania kwa ambae atashika nafasi ya kuingia ikulu
Nendeni Chato mkafanye huo mjadala.
 
Leo Ijumaa tarehe 14, Agosti 2020 ningependa kutoa challenge kwa wagombea urais wote isipokuwa Rais Magufuli.

Hususan Tundu Lissu na Bernard Membe maana wao ndo wanadai kuwa wanakubalika sana na umma wa Watanzania. Na kama kweli ni wajasiri kama inavyosemwa.

Katika mizunguko yao nchini ya kutafuta wadhamini, waende pia Chato, ambako ndo nyumbani kwa Rais Magufuli, halafu wafanye hiyo mikutano yao hadharani tuone ni kiasi gani cha watu kitachojitokeza.

Tuone kama watashangiliwa.

Na tuone mengine ambayo kwa sasa hayajulikani.

Kazi kwenu Tundu na Benadi.
Nyani , kumbuka kabla bwana mkubwa hajaukwaa hiyo Chato ilikuwa all most chini ya Cdm . Na hata jamaa 2010 ilibidi figisu ndiyo arudi Dodoma. Na hata kipindi hiki imekuepo kampeni za kushusha bendera za Cdm mpaka mkamweka dada wa watu ndani kisa mabendera.

Mapenzi hayalazimishwi . Tumeni huo ujumbe nyumbani mwenu humo.
 
Nyani , kumbuka kabla bwana mkubwa hajaukwaa hiyo Chato ilikuwa all most chini ya Cdm . Na hata jamaa 2010 ilibidi figisu ndiyo arudi Dodoma. Na hata kipindi hiki imekuepo kampeni za kushusha bendera za Cdm mpaka mkamweka dada wa watu ndani kisa mabendera.

Mapenzi hayalazimishwi . Tumeni huo ujumbe nyumbani mwenu humo.
Mwambie Lissu aende basi..
 
Leo Ijumaa tarehe 14, Agosti 2020 ningependa kutoa challenge kwa wagombea urais wote isipokuwa Rais Magufuli.

Hususan Tundu Lissu na Bernard Membe maana wao ndo wanadai kuwa wanakubalika sana na umma wa Watanzania. Na kama kweli ni wajasiri kama inavyosemwa.

Katika mizunguko yao nchini ya kutafuta wadhamini, waende pia Chato, ambako ndo nyumbani kwa Rais Magufuli, halafu wafanye hiyo mikutano yao hadharani tuone ni kiasi gani cha watu kitachojitokeza.

Tuone kama watashangiliwa.

Na tuone mengine ambayo kwa sasa hayajulikani.

Kazi kwenu Tundu na Benadi.
Kwa taarifa yako chato ile ni Jamhuri mkuu...... Pale hakuna watz kuna wanachato tu........
 
😂😂😂😂😂 Tangu lini chato ndiyo imekuwa kipimo cha mgombea Urais kukubalika na Watanzania? Kuna eneo/sehemu yoyote ile katika chaguzi za miaka ya nyuma iliyowahi kuwa ni kipimo cha mgombea wa Urais kukubalika Nchini!? Ni Wilaya gani au ni Mkoa gani?
 
Back
Top Bottom