MENGELENI KWETU
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 9,552
- 24,166
So kwako Chato ndio kipimo cha Siasa za Tanzania..!?Leo Ijumaa tarehe 14, Agosti 2020 ningependa kutoa challenge kwa wagombea urais wote isipokuwa Rais Magufuli.
Hususan Tundu Lissu na Bernard Membe maana wao ndo wanadai kuwa wanakubalika sana na umma wa Watanzania. Na kama kweli ni wajasiri kama inav
Katika mizunguko yao nchini ya kutafuta wadhamini, waende pia Chato, ambako ndo nyumbani kwa Rais Magufuli, halafu wafanye hiyo mikutano yao hadharani tuone ni kiasi gani cha watu kitachojitokeza.
Tuone kama watashangiliwa.
Na tuone mengine ambayo kwa sasa hayajulikani.
Kazi kwenu Tundu na Benadi.
Kwani ujinga upo chato?Unafuta ujinga.
Mbona ukweli mama yako anaujuaNdo tutaujua ukweli.
Kama shida ni kutua, marais waliopita walikuwa hawana hiyo shida?Tunduli huyu huyu anayebeza maendeleo yaliyofanywa kwa Wananchi wa Chato kAMA Chato sio Tanzania vile?
Nilimsikiliza nikamuone huruma sana Tunduli, Eti Rais kajenga uwanja mkubwa sana wa Ndege Chato???Ule uwanja au airstrip? Sasa alitarajia Rais akatue na ndege yake juu ya paa za nyumba?
Leo Ijumaa tarehe 14, Agosti 2020 ningependa kutoa challenge kwa wagombea urais wote isipokuwa Rais Magufuli.
Hususan Tundu Lissu na Bernard Membe maana wao ndo wanadai kuwa wanakubalika sana na umma wa Watanzania. Na kama kweli ni wajasiri kama inavyosemwa.
Katika mizunguko yao nchini ya kutafuta wadhamini, waende pia Chato, ambako ndo nyumbani kwa Rais Magufuli, halafu wafanye hiyo mikutano yao hadharani tuone ni kiasi gani cha watu kitachojitokeza.
Tuone kama watashangiliwa.
Na tuone mengine ambayo kwa sasa hayajulikani.
Kazi kwenu Tundu na Benadi.
WanaCHADEMA kUJAZANA KWENYE MATUKIO MMEACHA LINI?Kwahiyo kwa umati huu bado huamini kuwa wanakubarika ??View attachment 1536741View attachment 1536742
Ndo tutaujua ukweli.
Tunataka mjadala baina ya wagombea urais wote watuahidi miaka mitano wata watendea kitu gani watanzania kwa ambae atashika nafasi ya kuingia ikuluLeo Ijumaa tarehe 14, Agosti 2020 ningependa kutoa challenge kwa wagombea urais wote isipokuwa Rais Magufuli.
Hususan Tundu Lissu na Bernard Membe maana wao ndo wanadai kuwa wanakubalika sana na umma wa Watanzania. Na kama kweli ni wajasiri kama inavyosemwa.
Katika mizunguko yao nchini ya kutafuta wadhamini, waende pia Chato, ambako ndo nyumbani kwa Rais Magufuli, halafu wafanye hiyo mikutano yao hadharani tuone ni kiasi gani cha watu kitachojitokeza.
Tuone kama watashangiliwa.
Na tuone mengine ambayo kwa sasa hayajulikani.
Kazi kwenu Tundu na Benadi.
Nendeni Chato mkafanye huo mjadala.Tunataka mjadala baina ya wagombea urais wote watuahidi miaka mitano wata watendea kitu gani watanzania kwa ambae atashika nafasi ya kuingia ikulu
Niumbuke kivipi sasa?Mkuu utaumbuka , hii BET utashindwa
cku hz huko US bebi wanakubandua nn, mbona unaleta hoja za kipuuzi hv?!.Nendeni Chato mkafanye huo mjadala.
Nyani , kumbuka kabla bwana mkubwa hajaukwaa hiyo Chato ilikuwa all most chini ya Cdm . Na hata jamaa 2010 ilibidi figisu ndiyo arudi Dodoma. Na hata kipindi hiki imekuepo kampeni za kushusha bendera za Cdm mpaka mkamweka dada wa watu ndani kisa mabendera.Leo Ijumaa tarehe 14, Agosti 2020 ningependa kutoa challenge kwa wagombea urais wote isipokuwa Rais Magufuli.
Hususan Tundu Lissu na Bernard Membe maana wao ndo wanadai kuwa wanakubalika sana na umma wa Watanzania. Na kama kweli ni wajasiri kama inavyosemwa.
Katika mizunguko yao nchini ya kutafuta wadhamini, waende pia Chato, ambako ndo nyumbani kwa Rais Magufuli, halafu wafanye hiyo mikutano yao hadharani tuone ni kiasi gani cha watu kitachojitokeza.
Tuone kama watashangiliwa.
Na tuone mengine ambayo kwa sasa hayajulikani.
Kazi kwenu Tundu na Benadi.
Mwambie Lissu aende basi..Nyani , kumbuka kabla bwana mkubwa hajaukwaa hiyo Chato ilikuwa all most chini ya Cdm . Na hata jamaa 2010 ilibidi figisu ndiyo arudi Dodoma. Na hata kipindi hiki imekuepo kampeni za kushusha bendera za Cdm mpaka mkamweka dada wa watu ndani kisa mabendera.
Mapenzi hayalazimishwi . Tumeni huo ujumbe nyumbani mwenu humo.
Kwa taarifa yako chato ile ni Jamhuri mkuu...... Pale hakuna watz kuna wanachato tu........Leo Ijumaa tarehe 14, Agosti 2020 ningependa kutoa challenge kwa wagombea urais wote isipokuwa Rais Magufuli.
Hususan Tundu Lissu na Bernard Membe maana wao ndo wanadai kuwa wanakubalika sana na umma wa Watanzania. Na kama kweli ni wajasiri kama inavyosemwa.
Katika mizunguko yao nchini ya kutafuta wadhamini, waende pia Chato, ambako ndo nyumbani kwa Rais Magufuli, halafu wafanye hiyo mikutano yao hadharani tuone ni kiasi gani cha watu kitachojitokeza.
Tuone kama watashangiliwa.
Na tuone mengine ambayo kwa sasa hayajulikani.
Kazi kwenu Tundu na Benadi.
Subiri campaign mkuu . Sasa hivi sharti ni kupata wadhamini angalau mikoa 10. Na Tz ina mikoa 31Mwambie Lissu aende basi..
Njoo tuzipige π€πΏπ€πΏKwa taarifa yako chato ile ni Jamhuri mkuu...... Pale hakuna watz kuna wanachato tu........
Acha maujinga yako basi