chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Nina imani Chato wana mashauri yasiyozidi 250, jinai na madai kwa pamoja.Kwani kinondoni na temeke ndio nini?? Ume creme mambo yote mazuri yawe dar??
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nina imani Chato wana mashauri yasiyozidi 250, jinai na madai kwa pamoja.Kwani kinondoni na temeke ndio nini?? Ume creme mambo yote mazuri yawe dar??
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kuyabomoa tu as long as yamefanywa kwa upendeleo.Chato imebaki kujengwa mbingu tu
Upendeleo gani bwashee?!Haya mambo ua upendeleo yatabomolewa mpaka yapitie bungeni.
Kila kitu kwake jamani. hakika vitabomolewa ili usijenge precedence ya rais kupendelea kwake. Vitabomolewa kama majengo yote ya ccm iliyorithi toka chama kimoja enzi za Nyerere yatataifishwa kuwa majengo ya serikaliUpendeleo gani bwashee?!
Yaani hiyo TBC kwa wale wanaoiita TBC-CCM hawakajokesea kabisa........Yaani Ccm bwana.. Kaamua kufanya hivyo ili mkutano wa CHADEMA usionyeshwe.. Akili za ajabu hizi
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani nawashangaa hao TBC wanajihangaisha na kuonyesha Live tukio dogo la ufunguzi wa mahakama, wakati tukio kubwa kabisa, lililovuta hisia ya vyombo mbalimbali vya habari duniani vya CNN na BBC, la kuufanyia coverage mkutano mkuu wa Chama kikuu cha upinzani cha Chadema wakiufungia vioo bila kutaka hata kuuonyesha!Tuache kwanza, tupo Mlimani city sasa hivi kwenye mambo ya kitaifa.
Hata Mbowe anatamani sana kuambatana na mh Rais!Sasa ni wazi kuwa Spika wa Bunge la JMT ameamua kujivisha cheo kingine cha kuwa MC (master of ceremony) wa Rais hivyo kuambatana naye popote aendapo na wakati wowote huku akitumia kipaji kama cha MC Pilipili (ambaye naye anatokea mkoa mmoja na Spika) kumpamba na kumremba mkuu wa mhimili huo mwingine.
Hivi sasa wako wote Chato katika ufunguzi wa jengo la mahakama ya wilaya analolifungua Rais.
Hakika Spika umechagua fungu lililo jema hongera sana. Watanzania wataamuwa walipatia au kukosea wali!View attachment 1296155
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu wakiongea tu nasikia kichefuchefu, na huyu ni mmojawapo. Ngoja nikawaone madaktari maana sijui ni tatizo gani.Sasa ni wazi kuwa Spika wa Bunge la JMT ameamua kujivisha cheo kingine cha kuwa MC (master of ceremony) wa Rais hivyo kuambatana naye popote aendapo na wakati wowote huku akitumia kipaji kama cha MC Pilipili (ambaye naye anatokea mkoa mmoja na Spika) kumpamba na kumremba mkuu wa mhimili huo mwingine.Hakika Spika umechagua fungu lililo jema hongera sana. Watanzania wataamuwa walipatia au kukosea wali!
Ucha upopoma,athari za mafuriko na miundombinu mibovu hujaiona hapo dar?
Haya yepi bwashee?!Yana mwisho haya! na mwisho wa ubaya aibu!