Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wana mbunge lakini? Anafanya kazi gani?Kweli sasa hii imekuwa aibu kubwa. Ziwa Victoria lipo jirani kama km 1. Lakini maji hayapatikani kwenye miji ya watu wenye mabomba.
Je shujaa wa Afrika angekuwepo haya yangetokea Chato?
Siyo kutelekezwa bali jpm aliipendelea kwa pupa bila plan yoyote. Alitaka kujijengea ufalme wa kidictator mungu akamtospushaKweli sasa hii imekuwa aibu kubwa. Ziwa Victoria lipo jirani kama km 1. Lakini maji hayapatikani kwenye miji ya watu wenye mabomba.
Je, Hayati Magufuli angekuwepo haya yangetokea Chato?
Kwanini chato? Hata hapa luchelele nipo mita 100 kutoka ziwani na maji hayatoki..Kweli sasa hii imekuwa aibu kubwa. Ziwa Victoria lipo jirani kama km 1. Lakini maji hayapatikani kwenye miji ya watu wenye mabomba.
Je, Hayati Magufuli angekuwepo haya yangetokea Chato?
Mbele ya nyegeziNyegezi?
Kwa miaka mitano imetekelezwa miradi ya matrilioni ya fedha kiupendeleo,miradi ambayo haikuwa na ulazima wowote mfano uwanja mkubwa wa ndege na hospitali ya kanda wakati Mwanza kuna hospitali kubwa ya kanda na hata uwanja wa ndege wenye ukubwa ule ulistahili uwepo Mwanza kutokana na hadhi ya mji wa Mwanza ukilinganisha na Chato,Tanzania ilipata kiongozi wa ovyo kabisa sema ndiyo hivyo Mungu naye fundi.Chato haijawahi kupendelewa kama Gbdolite.
Wa deal nae huyoAnapiga kampeni za chinichini ili 2025 arudi Bungeni