Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 13,417
- 23,310
Msukule wa Magufuli bado unaamini kuwa Magufuli atarudi. Jipange na mfumo uliopo ili uendeshe maisha yako. Shetani Magufuli alikataliwa na MunguKweli sasa hii imekuwa aibu kubwa. Ziwa Victoria lipo jirani kama km 1. Lakini maji hayapatikani kwenye miji ya watu wenye mabomba.
Je, Hayati Magufuli angekuwepo haya yangetokea Chato?