Chato imetelekezwa? Maji hayatoki kwenye mabomba zaidi ya miezi miwili

Mtu mwenye akili timamu kama mobutu sese seko anaenda jenga international Airport porini wakati jiji la pili Mwanza haina international Airport!!
 
Uwezo mdogo wa kufiri. Unadhani ilikuwa sahihi kuendesha Ambulance kutoka Nyakanazi mpaka Mwanza? Uwanja ndege ni mkoa wa Geita sio wa Chato
 
Binti wa magufuki aligawa piki piki badala ya kupeleka maji kwao?
Kwamba huyu binti ndio Pump ya kuweza kusukuma hayo maji ?

Kweli kwa majibu haya tuendelee kutegemea mediocrity..., maji ni moja ya huduma muhimu, na kwa Tanzania hii haifai iwepo hata sehemu moja ambayo maji hayatoki..., ila ndio hivyo tumezoea majibu mepesi kwa maswali magumu...

Hata kama alipendelea kwa vingine ambavyo hakupaswa kuvifanya..., lakini la kukosa maji ni lawama za waliopo sasa ila ndio hivyo lawama kwa waliopo sasa tutazitoa siku wakiondoka (always looking behind)
 
Uwezo mdogo wa kufiri. Unadhani ilikuwa sahihi kuendesha Ambulance kutoka Nyakanazi mpaka Mwanza? Uwanja ndege ni mkoa wa Geita sio wa Chato
Yeye shida yake ilikuwa Chato na angekuwepo hai saa hizi Chato ungeshakuwa mkoa,sema mnakuwa wakali sana mkiambiwa udhaifu wa Magufuli,kwangu alikuwa kiongozi wa ovyo tu.
 
Yeye shida yake ilikuwa Chato na angekuwepo hai saa hizi Chato ungeshakuwa mkoa,sema mnakuwa wakali sana mkiambiwa udhaifu wa Magufuli,kwangu alikuwa mtu wa ovyo tu.
Nitolee upumbavu wako hapa
 
Hotel ya Kitalii ya nyota kadhaa imeshamalizika?
 
Janeth magufuli yeye alihama chato au Yuko uko?
Misafara ya magari chato ilikufa na uwanjwa wa ndege nao umeota nyasi
 
Na hapo ipo km chache kutoka ziwa victoria,kumbe niendelee kufuga punda weng wa kusomba maji hii miradi iliyoanzishwa nchi nzima itakuwa ni ya muda tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…