Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Kwa vile jamaa hakudumu muda mrefu lakin uelekeo ulikuwa 99% ule wa GbadoliteChato haijawahi kupendelewa kama Gbdolite.
Mtu mwenye akili timamu kama mobutu sese seko anaenda jenga international Airport porini wakati jiji la pili Mwanza haina international Airport!!Kwa miaka mitano imetekelezwa miradi ya matrilioni ya fedha kiupendeleo,miradi ambayo haikuwa ma ulazima wowote mfano uwanja mkubwa wa ndege na hospitali ya kanda wakati Mwanza kuna hospitali kubwa ya kanda na hata uwanja wa ndege wenye ukubwa ule ulistahili uwepo mwanza kutokana na hadhi ya mji wa mwanza ukilinganisha na chato,Tanzania ilipata kiongozi wa ovyo kabisa sema ndiyo hivyo Mungu naye fundi.
Uwezo mdogo wa kufiri. Unadhani ilikuwa sahihi kuendesha Ambulance kutoka Nyakanazi mpaka Mwanza? Uwanja ndege ni mkoa wa Geita sio wa ChatoKwa miaka mitano imetekelezwa miradi ya matrilioni ya fedha kiupendeleo,miradi ambayo haikuwa ma ulazima wowote mfano uwanja mkubwa wa ndege na hospitali ya kanda wakati Mwanzabkuna hospitali kubwa ya kanda,Tanzania ilipata kiongozi wa ovyo kabisa sema ndiyo hivyo Mungu naye fundi.
hatari snKwani wilaya na Mikoa yote sasa inapata maji kila siku?
Yule shetani badala awahimize mamlaka za maji kusambaza maji kila mtaa yeye akayapeleka nyumbani kwake.
Haya ameoza sasa tuone .
Vipi ndege ngapi za abiria na mizigo zinatua Chato Airport per day?
Kwamba huyu binti ndio Pump ya kuweza kusukuma hayo maji ?Binti wa magufuki aligawa piki piki badala ya kupeleka maji kwao?
Yeye shida yake ilikuwa Chato na angekuwepo hai saa hizi Chato ungeshakuwa mkoa,sema mnakuwa wakali sana mkiambiwa udhaifu wa Magufuli,kwangu alikuwa kiongozi wa ovyo tu.Uwezo mdogo wa kufiri. Unadhani ilikuwa sahihi kuendesha Ambulance kutoka Nyakanazi mpaka Mwanza? Uwanja ndege ni mkoa wa Geita sio wa Chato
Hiyo ni aibu ya CCM!Hotel ya Kitalii ya nyota kadhaa imeshamalizika?
Huyo naye tapeliOngeeni vizuri na ChoiceVariable awaunganishe kwa Kafulila wa PPP
Mpumbavu ni mama yako na baba yako,mkundu wewe unafikiri kila mtu yupo kwa ajili ya kumsifia yule Shetani wenu.Nitolee upumbavu wako hapa